Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
i
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI
KUHUSU UKAGUZI WA TAARIFA ZA FEDHA ZA MAMLAKA
ZA SERIKALI ZA MITAA KWA MWAKA WA
FEDHA ULIOISHIA 30 JUNI, 2007
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,
Sanduku la Posta 9080,
Simu : 255 (022) 2115157/8
Barua ya upepo 255 (022) 2117527
Barua pepe
ocag@nao.go.tz
Tovuti: http://www.nao.go.tz
Dar es Salaam,
Tanzania.
26 Machi, 2008
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI
MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007ii
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuuwa Hesabu za Serikali
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi
Imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu namba 143 cha Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi na wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
vimeainishwa katika Sheria ya fedha za Umma namba 6 ya 2001
(ilivyorekebishwa 2004)
Dira ya Ofisi
Kuwa kituo cha ubora katika ukaguzi wa hesabu katika sekta za
umma.
Lengo ya Ofisi
Kutoa huduma bora ya ukaguzi wa hesabu ili kuimarisha
uwajibikaji na kupata thamani ya fedha katika kukusanya na
matumizi ya rasilimali za umma.
Sifa za Msingi za Ofisi
Kutopendelea
Ofisi ya ukaguzi ni taasisi isiyopendelea,
inayotoa huduma kwa wateja wake kwa haki.
Ubora
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni ya kitaalamu
inayotoa huduma bora za ukaguzi wa hesabu
kwa kuzingatia viwango vya kitaaluma.
Uadilifu
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazingatia na
kudumisha maandalizi ya misingi ya kisheria
katika utendaji wa kazi zake.
Huduma kwa
wadau
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazingatia mahitaji
ya wadau kwa kutoa huduma bora kwa wateja
na kuwa na wafanyakazi wenye ujuzi wa kazi na
hamasa.
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007iii
Ubunifu
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi bunifu
ambayo wakati wote inayaimarisha na
kukaribisha toka ndani na nje ya taasisi mawazo
mapya ya maendeleo.
Matumizi bora ya
rasilimali za
umma
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi
inayozingatia matumizi bora ya rasilimali
zilizokabidhiwa kwake.
© Taarifa hii ni kwa ajili ya matumizi ya mamlaka za Serikali.
Hata hivyo, baada ya taarifa kuwalishwa Bungeni, taarifa hii
inakuwa ni kumbukumbu ya umma na usambazaji wake
hautakuwa na kikomo.
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007iv
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI
Simu ya Upepo: “Ukaguzi” D’Salaam
simu: 255(022)2115157/8
Tanakishi: 255(022)2117527
Tovuti:
ocag@nao.go.tz
Tovuti:
Unapojibu tafadhali taja
Kumb.
na tarehe
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali,
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,
Barabara ya Samora /Ohio,
S.L.P. 9080,
DAR ES SALAAM.
26 Machi, 2008
Barua ya kuwasilisha
Mh. Jakaya M. Kikwete,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Sanduku la Posta 9120,
IKULU
,
Dar es Salaam.
Yah : KUWASILISHA RIPOTI YA MWAKA YA UKAGUZI WA
HESABU ZA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KWA
MWAKA 2006/07
Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa
2005) na kifungu cha 45 cha Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa Na.9 ya 1982 (iliyorekebishwa 2000),
ninawasilisha kwako ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka ulioishia 30 Juni,
2007.
Ludovick S.L. Utouh
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007v
Dibaji
Ninayo furaha kuwasilisha taarifa ya ukaguzi wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa kuhusu taarifa za fedha za mwaka ulioishia
tarehe 30 Juni, 2007. Taarifa hii inakusudia kuwapa wadau
majumuisho yatokanayo na ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za
Mitaa, ambapo taarifa za kina zinapatikana katika taarifa
mbalimbali zilizopokelewa kwa wenyeviti wa Halmashauri moja.
Bunge linamtegemea Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kujiridhisha katika usahihi wa
utoaji wa taarifa za fedha na usimamizi wa rasilimali za mamlaka
za Serikali za Mitaa na kuhusiana na uendeshaji na usimamizi
bora wa mipango iliyowekwa. Kwa njia ya ukaguzi, ofisi inatoa
mapendekezo katika kuimarisha ufanisi katika sekta ya Umma.
Kwa ujumla Mamlaka za Serikali za Mitaa na Ofisi ya Taifa ya
Ukaguzi, kila mmoja anao wajibu wa kuchangia katika kujenga
imani kwa umma na Bunge katika ufanisi katika sekta ya umma na
Bunge katika usimamizi wa rasilimali za Umma. Hata hivyo,
pamoja na kwamba majukumu yetu na ya wakaguliwa
yanatofatutiana, wote tunatarajia matumizi bora ya rasilimali za
umma.
Ili kukidhi matarajio ya wabunge na hasa ya Watanzania, Ofisi ya
Taifa ya Ukaguzi imeendelea kufanya uchambuzi wa njia bora
zaidi za kufanya ukaguzi na kuongeza wigo wa masuala
yanayokaguliwa na hivyo kuimarisha utendaji wa uwajibikaji
katika sekta ya Umma. Aidha, tunahakikisha ukaguzi wetu
unalenga na kuyapa kipaumbele maeneo muhimu ili kuchangia
katika sekta ya umma. Kwa kuwa kazi ya ukaguzi ni chachu
katika usimamizi wa fedha, tunaendelea kujadili
masualayanayoathiri utawala/uongozi katika sekta ya umma,hasa
katika utoaji wa taarifa za usimamizi wa fedha na masuala ya
utawala bora.
Ninaweka msisitizo katika kuzingatia sheria na kanuni kama
sehemu ya kazi ya ukaguzi wa taarifa za fedha. Uamuzi
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007vi
aliouchukua Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kuwahusisha Maafisa Masuuli kujadili masualaya
ukiukwaji au kutozingatia sheria na kanuni kama ilivyoonyeshwa
katika ripoti yangu ya ukaguzi ya mwaka uliopita ni jambo la
kupongezwa sana. Pamoja na umuhimu na wajibu wa Kamati za
Ukaguzi (Audit Committee) katika kusimamia uzingatiaji wa
sheria na kanuni katika taasisi za umma. Hata hivyo wajibu wa
kuhakikisha kwamba mfumo uliopo unazingatia sheria inabakia
kuwa wajibu wa Afisa Masuuli.
Napenda kupongeza juhudi zinazochukuliwa na Mhasibu Mkuu wa
Serikali katika kuajiri na kufundihsa wataalam wa fani ya uhasibu
na ukaguzi wa ndani ambayo ni hatua inayolenga kuimarisha
usimamizi wa fedha na utoaji taarifa katika Mamlaka za Serikali
za Mitaa. Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)
imefanya kazi nzuri katika kuwajibisha maafisa masuuli wa
Mamlaka husika ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao
kwa matarajio ya Kamati, hivyo kuimarisha dhana nzima ya
uwajibikaji.
Ninatambua mchango wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Mradi wa Maboresho ya Serikali
za Mitaa katika kuimarisha mfumo wa usimamizi wa rasilimali
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa .Kwa juhudi hizi zote,
tunaamini Madiwani na Menejimenti za Mamlaka za Serikali za
Mitaa zina wajibu mkubwa wa kuleta maboresho yanayotarajiwa
katika siku za usoni.
Inasemekana kwamba wajibu wa wakaguzi ni kuangalia mambo
yaliyopita. Dhana hii haizingatii maoni ya kuboresha uwajibikaji
yanayotolewa na ukaguzi si tu kwamba ukaguzi unatoa maoni ya
kuboresha, bali pia unafuatilia utekelezaji wake. Kwa njia hii,
tunachangia katika mchakato wa kuimarisha ubora wa mfumo wa
usimamizi wa rasilimali na utoaji wa taarifa katika Mamlaka za
Serikali za Mitaa.
Ni matumaini yangu kuwa, Bunge litapokea taarifa hizi ambazo
zinachangia katika kuimarisha uwajibikaji wa serikali juu ya
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007vii
usimamizi wa rasilimali za umma na utoaji wa huduma kwa
Watanzania. Kwa hiyo, nitashukuru kupokea maoni ya jinsi ya
kuboresha zaidi ripoti hii kwa siku zijazo.
Pamoja na mambo mengi yaliyokuwa yanaikabili Ofisi kwa mwaka
huu, tumeweza kutimiza malengo yetu kwa wakati kwa kutoa
taarifa kwa Bunge na Umma wa Watanzania kwa masuala
yaliyojitokeza katika ukaguzi wa hesabu. Napenda kutambua
mchango wa wafanyakazi wa Ofisi hii kwa utaaluma na juhudi
kubwa walizofanya katika kutimiza malengo tuliyojipangi licha ya
kufanya kazi katika mazingira magumu ambayo ni pamoja na
kukosa fedha za kutosha, kukosa vitenda kazi na mishahara duni.
Ludovick S.L. Utouh
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
_______________________________________
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,
Dar es Salaam,
26
Machi, 2008
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007viii
Shukrani
Ninapenda kutoa shukrani kwa wote walioniwezesha kutimiza
wajibu wangu wa Kikatiba na hatimaye kutoa ripoti hii kwa muda
uliowekwa kisheria.
Kwa hiyo, ninalazimika kulishukuru Bunge kupitia Kamati zake za
kudumu za PAC, LAAC na POC kwa kusisitiza uwepo wa uwajibikaji
katika matumizi na usimamizi wa rasilimali za umma kupitia
maamuzi wanayoyatoa baada ya kujadili taarifa za ukaguzi.
Ninaamini kuwa kwa vile taarifa hii imetolewa kwa wakati,
itaweza kujadiliwa mapema na Kamati husika ya Bunge.
Pia ninamshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ambapo kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii,
Rais alianzisha mjadala wa uongozi wa kitaifa ambao chimbuko
lake ni taarifa ya ukaguzi ya mwaka (2005/06). Mjadala huo
uliwahusisha Maafisa Waandamizi wa Mradi wa Maboresho katika
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Maafisa Waandamizi wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa, Katibu Mkuu – TAMISEMI na Waziri – TAMISEMI,
Wenyeviti Maafisa Masuuli waweka Hazina na Wakaguzi wa Ndani
wa Halmashauri zote.
Vile vile, ninawashukuru wafadhili (wadau wa maendeleo) hasa
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden, Serikali ya Sweden, (SNAO)
Benki ya Dunia kupitia Mradi wa PFMRP na wengine wote
waliochangia kwa namna moja au nyingine katika kuiwezesha Ofisi
ya Ukaguzi kuwa ya kisasa.
Hali kadhalika, ninawashukuru wadau wengne wote ikiwa ni
pamoja na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Hazina na Maafisa Masuuli
wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa ushirikiano wao
wakati wa kutimiza majukumu yangu kwa mujibu wa Katiba.
Napenda pia kuishukuru Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali kwa
kuharakisha uchapaji wa ripoti hii na hatimaye kuwezesha
kuwasilishwa kwa wakati.
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007ix
Mwisho, ninapenda kuwashukuru wafanyakazi katika Ofisi yangu
ambao walifanya kazi kwa juhudi na kuwezesha kukamilika kwa
ripoti hii kwa wakati. Kujitolea kwao na ushirikiano wao ulikuwa
ni muhimu sana hivyo, ninawasihi waendelee na juhudi pamoja na
ushirikiano waliouonyesha siku zijazo.
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007x
YALIYOMO
Ukurasa
Dibaji
v
Shukrani
viii
Muhtasari wa ripoti
Xiii
SURA YA 1
1.0
Utangulizi1
1.1
Msingi wa kisheria unaomuongoza Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa MamlaKa
za Serikali za Mitaa
1
1.2
Taratibu za Kutoa Taarifa4
1.3
Mpangilio wa Kazi za Ukaguzi4
1.4
Mawanda na viwango vya Ukaguzi5
1.5
Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa6
1.6
Wajibu wa Watendaji Wengine7
1.7
Mfumo wa udhibiti wa ndani7
1.8
Uandaaji na uwasilishaji wa hesabu za fedha kwa
ajili ya ukaguzi
8
SURA YA 2
2.0
Aina na Misingi ya hati za ukaguzi9
2.1
Hati za Ukaguzi10
2.2
Mambo yanayosababisha kutolewa kwa Hati zenye
Dosari
13
2.3
Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri16
SURA YA 3
3.0
Uwasilishaji wa taarifa za fedha na matokeo ya
ukaguzi
20
3.1
Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo zilipata hati
zinazoridhisha
20
3.2
Halmashauri zilizopewa hati zinazoridhisha na
mambo ya msisitizo
20
3.3
Halmashauri zilizopewa hati zenye shaka53
3.4
Halmashauri zenye hati isiyoridhisha62
3.5
Halmashauri zenye hati Mbaya63
3.6
Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha63
3.7
Utekelezaji wa matumizi ya Mfumo funganifu wa
usimamizi wa Fedha(IFMS)
75
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xi
SURA YA 4
4.0
Usimamizi wa fedha na mali za kudumu katika
Mamlaka za Serikali za Mitaa
79
4.1
Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi
katika Halmashauri kwa miaka iliyopita
79
4.2
Usimamizi wa Fedha80
4.3
Usimamizi wa mali za kudumu82
4.4
Wadaiwa wasiolipa87
4.5
Wadai wasiolipwa88
4.6
Masurufu yasiyorejeshwa toka Halmashuri89
4.7
Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa
ukaguzi
91
4.8
Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa yaliyokusanywa na mawakala
92
4.9
Matumizi yenye nyaraka pungufu93
4.10
Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo94
4.11
Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika96
4.12
Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika
mwaka 2006/07
98
4.13
Mishahara isiyolipwa ambayo haijarudishwa Hazina100
4.14
Mfumo wa udhibiti wa ndani102
4.15
Uchambuzi wa ugharimiaji
104
SURA YA 5
5.0
Uchambuzi wa mchakato wa manunuzi katika
Mamlaka za Serikali za Mitaa
108
5.1
Uzingatiaji wa Sheria ya Manunuzi108
5.2
Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi
na huduma
111
5.3
Kasoro nyingine zilizogunduliwa katika manunuzi125
5.4
Kasoro nyingine zilizogunduliwa katika manunuzi128
SURA YA 6
6.0
Hitimisho na Mapendekezo129
6.1
Ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo ya
ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali ya mwaka 2005/06
129
6.2
Hitimisho na Mapendekezo138
6.3
Mapendekezo ya Ukaguzi kwa mwaka 2006/07141
7.0
Viambatisho144
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xii
VIFUPISHO
BoQ Mchanganuo wa gharama za kazi
GAAP Viwango kubalifu vya uhasibu
H/W Halmashauri ya Wilaya
IFAC Shirikisho la Kimataifa la Wahasibu
IFMS Mfumo funganifu wa usimamizi wa fedha
IFRS Viwango vya kimataifa vya utoaji wa taarifa za fedha
INTOSAI Shirika la kimataifa la Asasi kuu za ukaguzi
IPSAS Viwango vya kimataifa vya uhasibu kwa sekta ya umma
ISA Viwango vya kimataifa vya uhasibu
JRF Mfuko wa pamoja wa Ukarabati
LAAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mamlaka za Serikali za
Mitaa
LAPF Mfuko wa akiba ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa
LGCDG Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo ya Serikali za Mitaa
MSD Bohari Kuu ya Madawa
PAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali
PFMRP Mpango wa maboresho katika usimamizi wa fedha za
Umma
POC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma
SNAO Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden
TAMISEMI Tawala za Mikoa na Serikali za Mikoa
TSRP Mwongozo wa Kihasibu Unaopendekezwa Tanzania
VEO Maafisa tendaji wa Vijiji
WEO Maafisa tendaji wa Kata
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xiii
Muhtasari wa ripoti
Maelezo kwa ufupi
Taarifa hii inatoa majumuisho ya Matokeo ya ukaguzi wa taarifa
za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa. Ukaguzi huu unahusu
usimamizi wa fedha na utoaji taarifa katika Sekta ya Umma.
Muhtasari wa Matokeo ya Ukaguzi
Ofisi ya Taifa ya ukaguzi inawajibu wa kukagua taarifa za fedha za
Mamlaka za Serikali za Mitaa zote nchini. Matokeo ya ukaguzi
katika taarifa hii yamewasilishwa kwa Menejimenti za kila
Mamlaka kupitia kwa Wenyeviti wa Halmashauri husika. Kwa
kifupi, matokeo ya ukaguzi wa 2006/2007 ya Mamlaka za Serikali
za Mitaa ni kama ifuatavyo :-
•
Kumekuwepo na hali inayoridhisha kuhusiana na hati za
ukaguzi zilizotolewa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kama
inavyoonekana katika Jedwali hapa nchini.
Jedwali la I: Mchanganuo linganifu wa hati za ukaguzi
zilizotolewa katika mwaka 2005/2006 na
2006/2007
Hati zinazoridhisha
Hati zenye shaka
Hati zisiyoridhisha
Jumla
Halmashaur
i
2005/06 2006/07 2005/06 2006/07 2005/06 2006/07 2005/06 2006/07
Halmashauri
za Jiji 1 5 2 – 1 – 4 5
Halmashauri
za Manispaa 4 13 10 3 1 – 15 16
Halmashauri
za Miji 4 3 5 1 – – 9 4
Halmashauri
za Wilaya 44 79 50 20 2 – 96 99
Jumla 53 100 67 24 4 – 124 124
81% 19%
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xiv
•
Pia thamani ya masuala yaliyohojiwa na ukaguzi mwaka huu
yameonekana kupungua ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Mfano matumizi yenye nyaraka pungufu ya Sh.2,403,092,747
yaliyohojiwa mwaka 2005/2006 yalihusisha Halmashauri 46
yamepungua hadi kufikia Sh.895,091,162 kwa mwaka
2006/2007 ikiwa yamehusisha Halmashauri 32. Pia matumizi
yasiyokuwa na hati za malipo ya Sh.1,934,374,846 yaliyohojiwa
mwaka 2005/2006 yakiwa yamehusisha Halmashauri 27 mwaka
2006/07 yamepungua na kufikia Sh.81,329,428 yakiwa
yamehusisha Halmashauri 12 tu.
Pamoja na maendeleo mazuri kama yalivyoelezwa hapo juu,
bado kuna uwezekano wa kufanya maboresho zaidi katika
maeneo yafuatayo :-
•
Usimamizi mzuri wa mali za kudumu kama magari na
Mitambo
•
Uzingatiaji wa Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya
mwaka
2004
•
Ufuatiliaji wa masuala yasiyojibiwa
•
Masuala ya ulinganisho wa kibenki
•
Usimamizi na uangalizi bora wa nyaraka za thamani
Sura ya
kwanza
Utangulizi
Sura hii inatoa maelezo ya kina kuhusu sheria
zinazosimamia utoaji wa taarifa za fedha za
ukaguzi. Hii ni pamoja na Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ya mwaka 1997 na Sheria
ya Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya 1982.
Mambo mengine ambayo yametajwa katika Sura
hii ni :-
Majukumu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Viwango
vya Kimataifa vinavyopaswa kuzingatiwa katika
ukaguzi, majukumu ya udhibiti wa ndani katika
Mamlaka hizo na utaratibu wa uandaaji na
uwasilishaji wa taarifa za fedha kwa ukaguzi.
Sura ya pili Misingi na Mtiririko wa Hati za Ukaguzi
Sura hii inaeleza maana na aina ya hati za
ukaguzi ambazo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xv
Hesabu za Serikali anatoa baada ya ukaguzi wa
taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa
ambazo ni: Hati zinazoridhisha, Hati zenye
shaka, Hati zisizoridhisha na Hati mbaya. Pia
aina ya hati za ukaguzi zilizotolewa kwa
Mamlaka za Serikali za Mitaa katika mwaka wa
fedha 2005/06 na 2006/07 zimeainishwa katika
sura hii kwa ajili ya ulinganisho.
Sura ya tatu Mchanganuo wa matokeo ya ukaguzi
Mchanganuo wa kina wa matokeo ya ukaguzi wa
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka
2006/07 umetolewa katika sura hii. Pia katika
sura hii, zinaonyeshwa sababu zilizosababisha
kutolewa kwa aina ya hati iliyotolewa kwa
mwaka huu kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa
husika. Mchanganuo wa matokeo ya ukaguzi
unaonyesha kwamba, kati ya Halmashauri 124
zilizokaguliwa 100 (81%) zilipata hati
zinazoridhisha ambapo Halmashauri 24 (19%)
zilipata hati zenye shaka. Sura hii pia inaelezea
utekelezaji wa mfumo funganifu wa fedha (IFMS)
kwa kutumia mfumo wa EPICOR ambapo
Halmashauri 26 kati ya 74 zinaoutumia mfumo
huu zimebainishwa. Halmashauri zilizobakia 46
hazijaanza kutumia mfumo huo licha ya kwamba
iliamuliwa utumike katika Halmashauri
zinazohusika. Kwa mwaka huu wa fedha, hakuna
hati zisizoridhisha zilizotolewa ikilinganishwa na
mwaka 2005/06 ambapo Halmashauri 4 zilipata
hati zisizoridhisha.
Jedwali lililopo hapa chini linatoa muhtasari wa hati
zilizotolewa kwa mwaka 2006/07
Na Halmashauri % Aina ya Hati
1. 100 81% Hati inayoridhisha
yenye masuala ya
msisitizo
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007xvi
2. 24 19% Hati yenye shaka
3. 0 0 Hati isiyoridhisha
Jumla 124
100%
Mchanganuo wa matokeo ya ripoti za Mamlaka za Serikali
za Mitaa unaonyesha kwamba kuna matatizo katika taarifa
za fedha katika Halmashauri nyingi za Wilaya ikilinganishwa
na Halmashauri za Manispaa au Jiji .
Zaidi ya hayo, Halmashauri 100 zilizopewa hati
zinazoridhisha na masuala ya msisitizo zinaweza kuangukia
katika hati zenye shaka mwaka ujao kama hazitarekebisha
masuala yaliyosisitizwa.
Sura ya
nne
Usimamizi wa fedha na Mali katika
Halmashauri
Sura hii inaonyesha udhaifu na mapungufu
yaliyoonekana katika usimamizi wa fedha na
mali za halmashauri. Sura hii pia inajumuisha
ufuatiliaji wa utekelezaji wa taarifa za
ukaguzi kwa miaka iliyopita
Sura ya
tano
Mapitio ya taratibu za ununuzi katika
Halmashauri
Sura hii inaonyesha matakwa ya uzingatiaji
wa Sheria ya manunuzi Na.21 ya 2004 na
kanuni husianifu, taratibu za Manunuzi ya
bidhaa, kazi za ujenzi na utoaji wa huduma
katika Halmashauri na tathmini ya usimamizi
wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri
Sura ya
sita
Majumuisho na Mapendekezo
Sura hii inatoa majumuisho na mapendekezo
ya ukaguzi wa hesabu za Halmashauri na jinsi
ya kuboresha usimamizi wa masuala ya fedha.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
1
SURA YA 1
1.0 Utangulizi
1.1 Msingi wa kisheria unaomuongoza Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa Mamlaka
za Serikali za Mitaa
1.1.1 Ripoti hii inatolewa kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977
Ripoti hii inajumuisha matokeo ya ukaguzi wa taarifa za
fedha za
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha
unaoshia tarehe 30 Juni, 2007.
Katika Tanzania, Halmashauri zipo kwa mujibu wa sehemu
ya nane (8) ya Ibara ya 145 na 146 ya Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Sehemu hizi
zinahusika na utoaji wa madaraka kwa Umma.
Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (2) (c) ya Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ninawajibika kufanya Ukaguzi
angalau mara moja kila mwaka, na kuwasilisha ripoti
kuhusu taarifa ya ukaguzi kuhusu fedha za Serikali Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mahakama na taarifa za
hesabu za Bunge.
Kwa upande mwingine kifungu 45 (1) cha Sheria ya Fedha
za Serikali za Mitaa Na.9 ya 1982 kinatamka “Hesabu za
kila Halmashauri ya Wilaya, Mamlaka ya za Miji zinapaswa
kukaguliwa na mkaguzi wa ndani aliyeajiriwa na Mamlaka
husika, Ukaguzi wa nje wa mamlaka hizo unapaswa
kufanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali”.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
2
Kifungu cha 45 (4) cha Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa
ya 1982 kwa upande mwingine kinabainisha kwamba “Mara
tu baada ya kufunga mwaka wa fedha wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa, Mamlaka itawasilisha hesabu za fedha
kwa wakaguzi ambao watakamilisha ukaguzi katika kipindi
cha miezi sita baada ya kufunga mwaka wa fedha’’.
Kifungu cha 45 (5) cha Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa
ya 1982 kinafafanua zaidi kwamba “Kila Mamlaka
itamruhusu mkaguzi kukagua fedha, vitega uchumi au
rasilimali nyingine ambazo zinamilikiwa au zilizo chini ya
udhibiti wao na wakaguzi wawe na fursa ya kukagua
hesabu, vitabu, hati za malipo na nyaraka zote
zinazohusiana”.
Zaidi ya hayo kifungu cha 48 (1) cha Sheria ya Fedha ya
Serikali za Mitaa ya 1982 kinabainisha kwamba “Mkaguzi
ataandaa na kuweka sahihi katika ripoti ya ukaguzi wa
Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuhusu hesabu na mizania ya
mwaka na taarifa nyingine zinazohusiana nazo, nakala moja
ya kila ripoti pamoja na mizania na taarifa nyingine zinazo
husiana nazo zitapelekwa kwa Waziri, Mkuu wa Mkoa na
Mkurugenzi ambaye ataziwasilisha kwa Baraza la
Madiwani”.
Kifungu hiki aidha kinanitaka kufanya yafuatayo:-
(a) kubainisha kila kipengele cha matumizi ambacho
kimefanyika bila kuidhinishwa na sheria au ambacho
hakikuruhusiwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
(b) Kubainisha mapungufu au hasara ambayo imetokea
aidha kwa uzembe au mtu yeyote aliyeshindwa kutoa
taarifa ya matumizi ya fedha alizokabidhiwa;
(c) Kuthibitisha kiasi cha matumizi batili, upungufu, au
hasara ambayo haijaonyeshwa vitabuni;
(d) Kuwasilisha nakala ya ripoti ya ukaguzi kwa Waziri
mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa, Bunge,
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
3
Wakuu wa Mikoa na Wakurugenzi Watendaji wa
Mamlaka za Halmashauri.
Kifungu cha 49 cha Sheria ya Serikali za Mitaa ya
1982 kinabainisha Kwamba “Kila Mamlaka ya
Serikali za Mitaa katika ofisi zake au kwa maagizo
yatakayotolewa na Mkuu wa Mkoa, itaweka bayana
katika maeneo yake:
(a) Mizania ya hesabu na taarifa ambatanifu
(b) Ripoti yeyote kuhusu hesabu iliyotayarishwa
na kutiwa saini na Mkaguzi, ndani ya kipindi cha
miezi sita baada ya kufungwa kwa mwaka wa fedha
unaohusika na hesabu hizo au ndani ya miezi sita
ya kupokelewa ripoti ya wakaguzi, kutegemea hali
itakavyokuwa”
Agizo Na.90 la Memoranda ya Fedha za Serikali za
Mitaa ya mwaka (1997) pia linaitaka Halmashauri
kuchapisha katika ofisi zake na katika gazeti la
eneo lake yafuatayo:-
(i) Mizania jumuifu iliyokaguliwa na taarifa ya
mapato na matumizi (muhtasari wa hesabu)
na
(ii) Ripoti yoyote iliyotiwa saini na mkaguzi
Kuridhia na kuchapishwa hesabu na ripoti za ukaguzi
wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ni fursa nyingine
kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhimiza
mawasiliano mapana zaidi na mazungumzo na wakazi
wao, kuhusu mafanikio yao na mustakabali wao.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi kuu ya Ukaguzi wa
hesabu ambayo ina wajibu pekee wa kuhakikisha kwamba
kuna uwajibikaji, nidhamu ya fedha na uwazi katika Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tazania. Aidha, Ofisi ya Taifa
ya Ukaguzi ina jukumu pekee la kutoa ripoti za ukaguzi kwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
4
kiwango bora na kuhakikisha kwamba ripoti hizo zinatolewa
kwa wakati. Ripoti hizi zinaonyesha kwa kina matokeo ya
ukaguzi wa mapato na matumizi na masuala ya utawala
bora katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.
1.2 Taratibu za Kutoa Taarifa
Kama mwanachama wa Shirika la Kimataifa la Asasi za
Ukaguzi (INTOSAI), Ofisi yangu inawajibika kufanya ukaguzi
wa taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa
mujibu wa viwango vya INTOSAI na Viwango vya Kimataifa
vya Ukaguzi (ISA) vinavyotolewa na Shirikisho la Kimataifa
la Wahasibu (IFAC).
Wakati wa ukaguzi tulichunguza na kuhakiki taarifa za
fedha pamoja na kumbukumbu za uthibitisho ili kuhakikisha
uhalali wake katika matumzi ya Halmashauri. Mwisho wa
ukaguzi, maoni mbalimbali ya ukaguzi yametolewa kuhusu
taarifa za fedha kwa msingi wa matokeo.
Ili kukidhi matakwa ya Ibara 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania 1977 (iliyorekebishwa 2005)
ripoti hii imewasilishwa kwa Mheshimiwa Rais tarehe 27
Machi, 2008.
Ripoti za ukaguzi za kila Halmashauri zimewasilishwa kwa
Wenyeviti wa Halmashauri husika ambao watawajibika
kuziwasilisha ripoti hizo katika Baraza la Madiwani.
1.3 Mpangilio wa Kazi za Ukaguzi
Ripoti inatoa muhtasari wa matokeo ya mwisho ya shughuli
ya ukaguzi uliofanywa na Ofisi yangu nchini kote katika
kipindi chote cha mwaka. Ili ofisi yangu iweze
kushughulikia kazi hii kubwa ya kukagua Mamlaka za
Serikali za Mtaa zote nchini, kiutawala imefungua Ofisi
katika mikoa yote ishirini na moja (21) ya Tanzania Bara.
Ofisi hizi za Mkoa ziko chini ya usimamizi wa Wakaguzi
Wakazi wanaowajibika kwa Wakaguzi wa Kanda. Aidha,
nchi imegawanyika katika kanda tano (5) chini ya usimamizi
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
5
wa Wakaguzi wa Kanda wanaowajibika kwa Wakaguzi
Wakuu Wasaidizi walioko Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya
Ukaguzi. Kwa sasa nchi imegawanyika katika kanda tano
(5) kwa ajili ya ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa
kama ifuatavyo:-
Na Kanda Mikoa Makao Makuu
ya Kanda
1. Dar es
Salaam
Dar es Salaam,
Pwani, Mtwara,
Morogoro na Lindi
Dar es Salaam
2. Mbeya Mbeya, Iringa,
Songea na Rukwa
Mbeya
3. Mwanza Mwanza, Mara,
Kagera na Shinyanga
Mwanza
4. Dodoma Dodoma, Singida,
Tabora na Kigoma,
Dodoma
5. Arusha Arusha, Kilimanjaro,
Manyara na Tanga
Arusha
1.4 Mawanda na viwango vya Ukaguzi
1.4.1 Mawanda ya Ukaguzi
Mawanda ya ukaguzi ni shughuli zinazokamilishwa wakati
wa ukaguzi. Mawanda ya ukaguzi ni pamoja na malengo ya
ukaguzi, aina, maeneo na taratibu zilizotumika
wakati wa ukaguzi, kipindi kilichohusika wakati wa ukaguzi
na shughuli husianifu ambazo hazikukaguliwa ili kuweka
mipaka ya ukaguzi.
Madhumuni ya kufanya ukaguzi ni kumwezesha Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu kutoa maoni huru ya kitaalam katika taarifa
za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kipindi
kilichoishia 30 Juni, 2007. Ukaguzi ulihusu tathmini ya
ubora wa mfumo wa utunzaji hesabu na udhibiti wa ndani
wa shughuli za Halmashauri, ukaguzi na uhakiki wa taarifa
zinazoambatana na taarifa za fedha, taarifa za utendaji na
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
6
taratibu nyingine zilizoonekana muhimu kutokana na
mazingira yaliyojitokeza katika kutoa maoni katika
hesabu za fedha. Ukaguzi ulifanywa kwa misingi ya sampuli
kwa hiyo matokeo ya ukaguzi yamejikita katika kiwango
ambacho kilipatikana kwa kumbukumbu na taarifa
zilizoombwa
kwa madhumuni ya ukaguzi.
1.4.2 Viwango vilivyotumika wakati wa ukaguzi
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni mwanachama wa Shirika la
Kimataifa la Asasi za Ukaguzi (INTOSAI) na taasisi nyingine
za kitaaluma. Kwa hiyo ninatumia viwango vya ukaguzi
vilivyotolewa na INTOSAI na viwango vya kimataifa vya
ukaguzi (ISA) vilivyotolewa na shirikisho la wahasibu la
kimataifa(IFAC).
1.5 Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
Jukumu la kutayarisha taarifa za fedha kwa madhumuni ya
ukaguzi ni la kila Halmashauri. Kifungu 40 (1) cha Sheria ya
Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 kinatamka
kuwa “Kwa mujibu wa masharti ya kifungu hiki, kila
Mamlaka ya Serikali za Mitaa itasababisha kupatikana,
kuweka na kutunzwa kwa vitabu vya hesabu za fedha na
kumbukumbu kuhusu:-
(a) Mapato na matumizi ya fedha na miamala mingine ya
fedha ya Mamlaka
(b) Rasilimali na dhima za Mamlaka, na kutayarishwa kila
mwaka wa fedha, mizania inayoonyesha maelezo ya
mapato na matumizi ya mamlaka na rasilimali zake
zote na dhima.
Kwa hiyo, utayarishaji na uwasilishaji wa hesabu za
Mamlaka za Serikali za Mitaa ni sharti la kisheria kwa
mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya
Mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000). Menejimeti za
Mamlaka za Serikali za Mitaa inapaswa kufuata Sheria hii.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
7
Ripoti za mwezi za Mamlaka za Serikali za Mitaa zinatoa
taarifa itakayowasaidia wananchi kupima utendaji wao na
kuwawajibisha kwa utendaji huo. Utoaji taarifa kwa
wakati ni muhimu ili hali hiyo itokee. Hiki ndicho kiini cha
uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma.
Uchapishaji wa taarifa za fedha zilizokaguliwa utafanywa
ndani ya miezi sita baada ya kupokewa kwa ripoti ya
mkaguzi kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 49 cha
Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Na. 9 ya 1982.
Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini zinatarajiwa kuwa na
utaratibu mzuri wa utoaji wa taarifa za fedha zinazohimiza
taratibu za utayarishaji wa taarifa za fedha ukiwemo
utambuaji na utatuzi wa masuala yanayogusa taarifa za
fedha zenyewe. Matokeo ya ukaguzi wangu mwaka huu,
yameonyesha kuwa zile Mamlaka za Serikali za Mitaa
zinazotekeleza ufuataji wa michakato ya utoaji taarifa zao
za fedha kila mwisho wa mwaka kwa mifumo ya udhibiti wa
ndani inayofaa, mgawanyo wa kazi katika Idara ya Fedha,
malinganisho ya benki ya kila mwezi, utunzaji kwa usalama
wa nyaraka zote muhimu, n.k zimefanikiwa katika kutimiza
tarehe za kuwasilisha hesabu zilizo bora kwa madhumuni ya
ukaguzi, kuliko zile ambazo hazikufuata taratibu hizo.
1.6 Wajibu wa Watendaji Wengine:
Kama ilivyodhihirika katika taarifa kuu, sehemu kubwa ya
fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa (90%) zinatoka katika
Mfuko Mkuu wa Serikali Kuu, hali inayosisitiza umuhimu wa
Mamlaka hizi kukaguliwa kwa ukamilifu na Ofisi yangu. Hii
pia, inaonyesha upande mwingine wa haja ya Mlipaji Mkuu
wa Serikali na Mhasibu Mkuu wa Serikali kuwa na jukumu la
kufuatilia matumizi ya fedha hizi bila kuathiri uhuru wa
ujiendesha wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
1.7 Mfumo wa udhibiti wa ndani
Kwa mujibu wa matakwa ya agizo Na. 9 hadi 16 (mfumo wa
udhibiti wa ukaguzi wa ndani) agizo la Memoranda ya
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
8
Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa, 1997 ni wajibu
wa Kamati ya Fedha kuweka taratibu za maandishi
kama itakavyoonekana inafaa kwa udhibiti wa fedha na
mali. Pia ni wajibu wa Mkurugenzi wa Halmashauri
kuzigawa taratibu zilizoridhiwa kwa maafisa wote
wanaohusika ili taratibu hizo ziweze kutumika.
Zaidi ya hayo, kifungu 45 (1) cha Sheria ya Fedha ya Serikali
za Mitaa Na. 9 ya 1982 kinabainisha kwamba wajibu wa
msingi wa menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa
kuweka mfumo dhabiti wa ukaguzi wa ndani na kuchukua
hatua madhubuti kuhusiana na mapungufu katika mazingira
yanayosababisha mfumo kutofanya kazi kama ilivyoainishwa
na wakaguzi.
Kutokana na hayo hapo juu, inaeleweka kwamba kazi ya
kuweka mfumo wa udhibiti wa ndani hatimaye inakuwa ni
jukumu la Menejimenti ya Halmashauri. Hata hivyo,
kutokana na baadhi ya udhaifu katika udhibiti wa mifumo
ya ndani katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, matokeo ya
ukaguzi katika ripoti yanaihusu mifumo hii.
1.8 Uandaaji na uwasilishaji wa hesabu za fedha kwa ajili ya
ukaguzi
Mamlaka za Serikali za Mitaa, zinawajibu chini ya vifungu
40-41 vya Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa
ya 1982 kutunza vitabu sahihi na kumbukumbu zilizotumika
katika uandaaji wa taarifa za fedha za mwisho wa mwaka.
Pia kifungu 45 (4) kinazitaka menejimenti za Halmashauri
baada ya mwisho wa mwaka wa fedha kuwasilisha hesabu
kwa wakaguzi kwa ajili ya kukaguliwa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
9
SURA YA 2
2.0 AINA NA MISINGI YA HATI ZA UKAGUZI
Hati za ukaguzi ni maoni rasmi (au kukataa kutoa maoni)
yanayotolewa na mkaguzi wa nje huru yakiwa ni matokeo
ya ukaguzi wa hesabu au uchambuzi uliofanyika katika
taasisi au sehemu ya taasisi ijulikanayo kama (Mkaguliwa).
Maoni ya ukaguzi yanatolewa kwa mtumiaji kama
uhakikisho wa usahihi wa hesabu za fedha ili kufikia
maamuzi kwa misingi ya matokeo ya ukaguzi.
Maoni ya ukaguzi yanachukuliwa kama zana muhimu wakati
wa kutoa taarifa ya fedha kwa watumiaji. Maoni haya
yanakusudiwa kushauri Bunge na wadau wengine kama
hesabu za fedha za Halmashauri zimetengenezwa
kufuatana na kanuni kubalifu za uhasibu pamoja na
uzingatiaji wa sheria na kanuni za Halmashauri, kama
hakuna makosa makubwa katika utoaji wa taarifa na kama
yanaonyesha usahihi katika shughuli yake, taarifa ya fedha
na mtiririko halisi wa fedha kwa mwaka ulioishia 30 Juni,
2007.
Katika lugha ya kawaida neno ukaguzi ni udhibitisho kama
taarifa za fedha iliyowasilishwa na mkaguliwa ni sahihi na
za kuaminika kwa kufanya maamuzi mbalimbali kama vile
uamuzi wa serikali kuhusu ruzuku iliyotolewa kwa Mamlaka
za Serikali za Mitaa zimetumika kwa manufaa ya wananchi.
Ni muhimu kuona kwamba maoni ya ukaguzi katika taarifa
ya fedha aidha hayapimi wala kutoa maoni katika utajiri wa
fedha, utendaji, mvuto, uimara au aina nyinginezo
zinazofanana na hizo zinazotumika kupima taasisi ili kufikia
maamuzi. Ni maoni yanayotolewa tu kwa ajili ya kupima
kama taarifa iliyotolewa ni sahihi na haina makosa, ambapo
mambo mengine huachwa kwa mtumiaji kufanya uamuzi
yenye mwenyewe kulingana na hali ya Halmashauri ilivyo.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
10
2.1 Hati za Ukaguzi
2.1.1 Maana ya Hati za Ukaguzi
Kamusi ya Uhasibu ya Oxford inaeleza hati za ukaguzi kuwa
ni maoni yaliyomo katika ripoti ya wakaguzi. Maoni hayo
yanaeleza iwapo taarifa za fedha zilizokaguliwa
zimetayarishwa kwa kutumia sera za hesabu za fedha kwa
mujibu wa sheria zinazohusika, kanuni au viwango/misingi
ya hesabu za fedha vinavyotumika.
Maoni hayo hayana budi kuonyesha iwapo kuna uwazi wa
kutosha wa taarifa zinazohusika kuwezesha kuelewa vizuri
taarifa za fedha au hapana.
Kwa madhumuni ya uwajibikaji na uwazi kwa Bunge, bila ya
kujali aina ya maoni yaliyotolewa kwa taarifa husika za
ukaguzi, matokeo ya ukaguzi yameelezwa pamoja na athari
zake, mapendekezo, jibu la mteja na maoni ya wakaguzi.
Naamini kwamba mtindo huu wa uwasilishaji wa matokeo
ya ukaguzi na utoaji ripoti, unakuza majukumu
aliyokabidhiwa Afisa Masuuli na kwangu.
2.1.2 Aina za Hati
Zipo aina tano za hati za ukaguzi kila moja ikiwakilisha hali
totauti iliyojitokeza wakati wa ukaguzi. Aina hizo
zimeonyeshwa kama ifuatavyo:-
(i) Hati zinazoridhisha
Hati inayoridhisha kwa maana nyingine inatafsiriwa
kama hati safi. Hati ya aina hii inatolewa wakati
taarifa za fedha zilizowasilishwa ukaguzi hazina
makosa na zimetengenezwa kwa mujibu wa kanuni
kubalifu za uhasibu (GAAP) ambayo inamaanisha kuwa
hali ya fedha na shughuli za Halmashauri kama
zilivyoonyeshwa katika hesabu zilizowasilishwa ni
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
11
sahihi. Hii ni aina nzuri zaidi kati ya hati zinazotolewa
na Ukaguzi
Hata hivyo, utoaji wa hati inayoridhisha haina maana
kwamba Halmashauri ina mfumo safi kabisa wa
udhibiti wa ndani. Ina maana kwamba hakuna jambo
lolote nililoliona ambalo lingesababisha kutolewa kwa
hati yenye shaka.
(ii) Hati inayoridhisha na yenye msisitizo wa masuala
Katika baadhi ya mazingira, ripoti ya ukaguzi inaweza
kurekebishwa kwa kuongeza msisitizo wa aya
inayotaja masuala yanayoathiri taarifa za fedha.
Kuongeza huko kwa aya ya msisitizo wa masuala
hakuwezi kuathiri maoni ya ukaguzi. Kwa kawaida aya
hiyo inaongezwa baada ya maoni na kwamba hati
iliyotolewa si yenye shaka.
Aya ya msisitizo wa masuala inaambatisha kwa kila
hali, ambayo inahitaji uzingativu wa haraka kwa Ofisa
Masuuli kwa kumhadharisha kuhusu masuala hayo
yanayohitaji kushughulikiwa haraka na kushindwa
kufanya hivyo kutaweza kusababisha kutolewa kwa
hati yenye shaka katika ukaguzi utakaofuata. Hata
hivyo lengo kuu la msisitizo wa suala ni kuleta karibu
uelewa wa hali hiyo ndani ya asasi iliyokaguliwa
ingawa kumetolewa hati inayoridhisha.
(iii) Hati yenye shaka
Hati yenye shaka inatolewa iwapo ninaridhika kuwa
hati inayoridhisha haiwezi kutolewa lakini kutokana na
kutokubaliana na menejimenti au kukwazwa kwa
mawanda ambapo athari yake ni kubwa lakini si
muhimu katika usahihi wa taarifa ya fedha. Maneno
yanayotumika katika hati yenye shaka hayatofautiani
sana na yale yaliyo katika hati isiyo na shaka, lakini
aya inaongezewa kuelezea sababu za kutolewa kwa
hati yenye shaka. Kwa hali hiyo inaonyesha kwamba
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
12
taarifa za fedha zilizotolewa zinaonyesha hali halisi
isipokuwa kwa mambo maalum yaliyoonekana katika
ukaguzi.
(iv) Hati Isiyoridhisha
Hati isiyoridhisha inatolewa pale ambapo taarifa za
fedha za Halmashauri kwa ujumla wake zina
mapungufu makubwa kwa ujumla na hazikubaliani na
kanuni kubalifu za uhasibu (GAAP). Hati hii ni
kinyume cha hati inayoridhisha, kimsingi inaeleza
kwamba taarifa zilizopo kwa kiwango kikubwa zina
makosa, haziaminiki na si sahihi katika kupima hali ya
kifedha na matokeo ya shughuli zake. Maneno
yanayotumika katika hati hii yanaeleza wazi kuwa
taarifa za fedha hazikubaliani na kanuni kubalifu za
fedha ikimaanisha kwamba kwa ujumla wake
hazikubaliki, si sahihi na hazionyeshi hali halisi ya
kifedha na shughuli za Halmashauri husika..
(v) Hati mbaya
Hati mbaya hutolewa wakati ninaposhindwa kupata
uthibitisho wa ukaguzi wa kutosha na hivyo kushindwa
kutoa maoni juu ya taarifa za fedha zilizowasilishwa.
Hali hiyo hutokea wakati ninaposhindwa kukagua au
kumaliza ukaguzi kwa sababu mbalimbali hivyo
kupelekea kutotoa hati. Mazingira ambayo hati hii
hutolewa ni pale ambapo mkaguzi hawi huru kufanya
kazi ya ukaguzi au, kukwazwa kwa mawanda ambako
ni muhimu na ambako ni kuficha au kwa makusudi
kunako nizuia kufuata taratibu za ukaguzi nilizopanga.
Mfano ni pale mkaguliwa kwa makusudi anaficha au
kukataa kutoa taarifa kwa mkaguzi katika maeneo
muhimu ya taarifa za fedha.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
13
2.2 Mambo yanayosababisha kutolewa kwa Hati zenye Dosari
Mambo yanayosababisha kutolewa kwa hati za ukaguzi
zenye dosari kwa ujumla yapo katika makundi mawili:-
(a) Kukwazwa kwa mawanda kunakomzuia mkaguzi kutoa
maoni.
Kutokana na kifungu cha 32 (5) cha Sheria ya Fedha za
Umma Na.6 ya mwaka 2001 (iliyorekebishwa 2004)
nina mamlaka ya kuangalia taarifa zote, vitabu vya
hesabu, hati za malipo, nyaraka, amana, vifaa vya
umma vilivyoko chini ya ofisa au mtu yeyote ambaye
amepokea fedha na mali za umma. Pale ambapo
nashindwa kupata taarifa za kutosha zinazohusiana na
uandaaji wa taarifa za fedha au nyaraka, au
kukwazwa kwa mawanda ya kaguzi kiasi kwamba
nashindwa kutoa maoni, yafuatayo ni baadhi ya
mambo yanayojitokeza:-
•
Malipo kufanywa bila hati za malipo;
•
Vifaa au huduma kununuliwa bila kuwa na
viambatisho kama
hati za mapokezi, hivyo kukosekana kwa
uthibitisho wa upokeaji wa vifaa au huduma hizo;
•
Malipo kufanywa bila kuwa na viambatisho sahihi;
•
Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutowasilishwa
kwa ajili ya
ukaguzi;
•
Mali inayomilikiwa au iliyonunuliwa kutokuingizwa
vitabuni. Hii
inaleta shaka kuwepo kwa mali hizo;
•
Kutopatikana kwa ushahidi kwa fedha iliyolipwa
toka kwa mlipwaji. Kukosekana kwa stakabadhi
kutoka kwa mlipwaji kunaashiria ubadhirifu wa
fedha kwa maana hiyo kuna kukwazwa kwa
mawanda ya ukaguzi.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
14
(b) Inapotokea mkaguzi anatoa maoni yanayotofautiana
na yale yaliyopo katika taarifa za fedha
(kutokubaliana katika namna bora ya utunzaji wa
kumbukumbu na kutokuzingatia sheria na kanuni).
Memoranda ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa
(1997) maagizo namba 53-57 yanaeleza jukumu la
menejimenti za Halmashauri kwa kuzingatia
kanuni kubalifu za uhasibu na inapobidi kutumia
kanuni bora za utunzaji kumbukumbu na kuzingatia
sheria.
Kutokubaliana na menejimenti kuhusu kanuni bora za
utunzaji wa kumbukumbu, kuzingatia sheria
kunaweza kutokea katika hali zifuatazo:-
•
Mali zinazomilikiwa na Halmashauri kutoingizwa
katika regista
•
Vifaa vilivyonunuliwa na kulipiwa kutoingizwa
kwenye leja na hivyo utoaji na utumiaji hauwezi
kuhakikishwa;
•
Kutoonyeshwa masalio ya benki katika vitabu
vya hesabu;
•
Kuachwa kwa kukosewa na kutokamilika kwa
kumbukumbu za hesabu;
•
Kutoonyeshwa kwa ukamilifu sera za utunzaji
hesabu za fedha na,
•
Halmashauri inapotumia mfumo wa hesabu usio
sahihi kama kutumia kiwango kisicho sahihi cha
uchakavu.
Kila kundi lililoorodheshwa hapo juu linasababisha maoni
mbadala ya ukaguzi kutegemea na suala lenyewe kama ni
kukwazwa kwa mawanda au kutokubaliana na menejimenti
kunakochukuliwa kuwa ni kwa msingi na hivyo kupotosha
hali halisi iliyopo katika taarifa za fedha ikichukuliwa kwa
ujumla.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
15
Aina tofauti za hati zenye dosari zinazoweza kutumika
katika hali tofauti ni kama zifuatazo:-
Jedwali linaloonyesha misingi ya kutoa hati za ukaguzi
Matokeo ya
ukaguzi
Mapungufu makubwa
yasiyo na athari kubwa
Mapungufu
yenye athari
kubwa
Kutokubaliana na
menejimeneti
Hati isiyoridhisha
Kukwazwa kwa
mawanda
Hati yenye shaka
Hati mbaya
Jedwali hapo juu linatoa mwongozo na ufafanuzi wake
unaweza kutafsiriwa kama ifuatavyo:-
(a) Pale ambapo matokeo ya ukaguzi ni kutokubaliana
na menejimenti na;
(i) Mapungufu ni makubwa na yasiyo na athari
kubwa, hati
inayotolewa na ukaguzi ni Hati yenye shaka
(ii) Mapungufu yenye athari kubwa, hati
inayotolewa na ukaguzi ni Hati mbaya.
(b) Pale ambapo matokeo ya ukaguzi yanaonyesha
kukwazwa kwa mawanda na;
(i) kukwazwa kwa mawanda ambako kunachangiwa na
mapungufu ambayo ni makubwa na yasiyo na athari
kubwa, hati inayotolewa na ukaguzi ni hati
isiyoridhisha.
(ii) kukwazwa kwa mawanda ambako kunachangiwa na
mapungufu yenye athari kubwa, hati inayotolewa na
ukaguzi ni hati mbaya.
Malengo ya ukaguzi ni kutoa ripoti ambazo zinaonyesha
taswira linganifu (zisizo na upendeleo), zinazotilia mkazo
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
16
katika mambo muhimu yanayohitaji kushughulikiwa na
kubainisha nafasi zilizopo za maboresho.
Kufuatana na viwango vya ukaguzi, ripoti za ukaguzi kwa
ujumla zinatoa uhakika, lakini si lazima uwe ni uhakika wa
jumla. Kuhusiana na maoni yanayotolewa na kwa
kuzingatia malengo ya ukaguzi, kiwango cha uhakika
kinatolewa kwa kuzingatia maamuzi ya kitaaluma ya
mkaguzi ili kupunguza athari za maamuzi yasiyostahili kwa
kiasi kikubwa kwa kutumia taratibu kama vile uchunguzi,
ushuhuda, maulizo, ukokotoaji, upembuzi na majadiliano.
Uhakika wa ujumla siyo rahisi kufikiwa au hauwezi
kupatikana kutokana na sababu kama vile kukwazwa
kunakotokana na kutumia mbinu za majaribio, matatizo ya
asili ya udhibiti wa ndani katika Mamlaka za Serikali za
Mitaa na ukweli kwamba ushahidi anaopata mkaguzi ni wa
kushawishi na siyo kutoa hitimisho. Kiwango cha uhakika
kinachotolewa kwa kiasi kikubwa kinasababishwa na jambo
lenyewe.
Ni muhimu kutambua kwamba hati inayoridhisha haitoi
uhakika kwamba taarifa za fedha ni sahihi kabisa na zisizo
na makosa yoyote.
2.3 Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri
Sehemu hii inakusudia kuonyesha mwelekeo wa hati za
ukaguzi zilizotolewa kwa miaka miwili 2005/06 na 2006/07.
Mantiki ya taarifa hii ni kulinganisha hali ya kiutendaji
kifedha katika Halmashauri kwa kipindi cha miaka miwili.
Mchanganuo wa aina ya hati za ukaguzi zilizotolewa katika
mwaka wa fedha 2005/06 na 2006/07 umeonyesha kwamba
ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa 124 ulikamilika.
Kati ya Halmashauri 124 zilizokaguliwa, 100 (81%) zilipata
hati inayoridhisha ambapo katika mwaka wa fedha
2005/06, Hamashauri 53 ndizo zilizopata hati
zinazoridhisha. Aidha, Halmashauri 24 (19%) zilipata hati
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
17
zenye shaka katika mwaka 2006/07 ukilinganisha na
Halmashauri 67 katika mwaka uliopita.
Kutokana na mchanganuo hapo juu, tunaweza kutoa
hitimisho kama ifuatavyo:-
(a) Kwa ujumla idadi ya Halmashauri zilizopata hati
zinazoridhisha zimeongezeka kutoka 53 kwa mwaka
2005/06 mpaka 100 (81%) kwa mwaka 2006/07.
(b) Idadi ya hati zenye shaka zimepungua kutoka
Halmashauri 67 kwa mwaka 2005/06 mpaka
Halmashauri 24 (19%) kwa mwaka 2006/07.
Kati ya Halmashauri 24 zilizopata hati zisizoridhisha mambo
makubwa yaliyosababisha ni:-
•
Mambo yanayohusu ulinganisho wa kibenki yasiyo
shughulikiwa
•
Udhaifu katika usimamiaji wa mali
•
Masurufu yasiyorejeshwa
•
Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutopatikana
•
Maduhuli kutowasilishwa na wakala wa
ukusanyaji
•
Maduhuli kutowasilishwa katika akaunti za
Halmashauri
•
Malipo yenye nyaraka pungufu
•
Kukosekana kwa hati za malipo
•
Kutotumika kwa ruzuku za serikali kuu
(c) Kwa mwaka 2006/07 hakuna Halmashauri iliyopata
hati isiyoridhisha ikilinganishwa na mwaka 2005/06
ambapo Halmashauri 4 zilipata hati zisizoridhisha.
Muhtasari wa yaliyojadiliwa hapo juu ni kama ilivyo katika
jedwali hapa chini:-
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
18
Halmashauri Hati zinazoridhisha Hati zenye shaka Hati zisizoridhisha Jumla
2005/06 2006/07 2005/06 2006/07 2005/06 2006/07 2005/06 2006/07
Jiji 1 5 2 – 1 – 4 5
Manispaa 4 13 10 3 1 – 15 16
Miji 4 3 5 1 – – 9 4
Wilaya 44 79 50 20 2 – 96 99
Jumla 53 100 67 24 4 – 124 124
Asilimia 81% 19%
Orodha kamili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na aina ya
hati zilizotolewa kwa mwaka 2005/06 na 2006/07 ni kama
ilivyoonyeshwa katika kiambatisho cha 2 cha ripoti hii.
Mihimili Na. 1 na 2 hapa chini zinaonyesha aina za hati
zilizotolewa katika Halmashauri katika kipindi cha miaka
miwili.
2.3.1 Mchanganuo wa hati zilizotolewa katika mwaka wa fedha
2005/06
Mhimili Na.1
0
10
20
30
40
50
60
Hati zenye shaka Hati zisizoridhisha
Jiji
Manispaa
Miji
Wilayas
Hati zinazoridhisha
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
19
2.3.2 Mchanganuo wa hati zilizotolewa katika mwaka wa fedha
2006/07
Mhimili Na.2
Mihimili Na.1 na 2 inaonyesha kwamba kuna matatizo
katika utoaji wa taarifa za fedha ndani ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa ukilinganisha na Miji, Manispaa na
Halmashauri za Jiji. Katika mwaka 2005/06 Halmashauri za
Wilaya 50 kati ya 92 (52%) zilipata hati zenye shaka wakati
Halmashauri 2 kati ya 4 zilipata hati zisizoridhisha. Hali
kadhalika, katika mwaka 2006/07 Halmashauri za wilaya 20
kati ya 24 zimepata hati zenye shaka.
Orodha kamili ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na aina ya
hati zilitolewa kwa mwaka 2006/07 zipo katika kiambatisho
Na 2.
Aina za hati zilizotolewa kwa Halmashauri
kwa 2006/2007
0
10
20
30
40
50
60
70
80
90
Hati
zinazoridhisha Hati zisizoridhisha
Jiji
Manispaa
Miji
Wilaya
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
20
SURA YA 3
3.0 UWASILISHAJI WA TAARIFA ZA FEDHA NA MATOKEO YA
UKAGUZI
Katika sehemu hii, jitihada zimefanyika ili kuonyesha kwa
undani mchanganuo wa aina ya maoni na masuala
yaliyonisababisha kutoa aina fulani ya hati katika
Halmashauri husika. Kama ilivyoelezwa katika sura za
mwanzo ya ripoti hii, msingi wa kutoa aina fulani ya maoni
kumezingatia vigezo vilivyofafanuliwa kwenye viwango vya
kimataifa vya ukaguzi wa hesabu (ISA). Zaidi ya hayo,
uangalifu zaidi umezingatiwa katika matakwa ya kisheria.
Yafuatayo ni maelezo ya kina kuhusu matokeo ya ukaguzi
ambayo yaliyosababisha kutolewa kwa aina fulani ya hati ya
ukaguzi.
3.1 Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo zilipata hati
zinazoridhisha
Kwa mwaka 2006/07 hakuna Halmashauri iliyopata hati
inayoridhisha bila mambo ya msisitizo katika taarifa za
fedha zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi. Ukweli huu
umechangiwa na mambo mbalimbali ambayo ninahisi
yatakuwa ni ya manufaa kwa ajili ya kushughulikiwa na
mamlaka husika, mambo hayo ni kiwango cha uzingatiaji
wa kanuni mbalimbali, taratibu za manunuzi, ufuatiliaji wa
wadai na wadaiwa, ufuatiliaji wa mishahara isiyolipwa
pamoja na usimamizi na uangalizi wa miradi ya maendeleo.
Matokeo ya ukweli huu ni kwamba aina nyingine ya hati
inayoridhisha ilitolewa ambayo ni hati inayoridhisha
pamoja na mambo ya msisitizo.
3.2 Halmashauri zilizopewa hati zinazoridhisha na mambo ya
msisitizo
Kwa kuwa ukaguzi una dhamira ya kutoa uhakikisho wa
kufaa kwa watumiaji wa taarifa za fedha, kuna hali
zinazosababisha nitoe hati inayoridhisha, ambayo
haimaanishi kwamba usimamizi na utoaji wa taarifa za
fedha ni sahihi kabisa kama inavyotakiwa, isipokuwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
21
kinachozingatiwa ni ukubwa wa tatizo katika kuonyesha
hali halisi ya taarifa za fedha. Katika mazingira haya
ninaona ni muhimu kuwataarifu watumiaji wa taarifa za
fedha uwezekano wa kuwepo mambo yenye athari kwa
kuongeza aya yenye masuala ya msisitizo ambayo
hayasababishi kutolewa hati yenye shaka. Katika mwaka
huu wa ukaguzi, Halmashauri zifuatazo zilipata hati
inayoridhisha na masuala ya msisitizo. Halmashauri hizi ni
81% ya Halmashauri zote 124 kama zinavyoonekana hapa
chini.
1. Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru 001
– Skakabadhi za kukiri mapokezi hazikupatikana
Sh.5,000,000
– Ujenzi wa daraja la Ushili/ Seela haukukamilika
– Wadai wa Halmashauri Sh.352,401,229
2. Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 002
– Maduhuli yasiyohakikiwa Sh.12,600,000
– Makosa katika thamani ya mali za kudumu Sh.317,415,428
– Matumizi ya fedha yasiyothibitishwa Sh.9,230,000
– Masurufu yasiyorejeshwa Sh.4,820,000
3. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 003
– Mchanganuo na umri wa wadai haukutolewa Sh.14,085,286
– Miradi isiyokamilika Sh.103,967,660
4. Halmashauri ya Wilaya ya Monduli 004
– Karadha za mishahara zisizorejeshwa Sh.800,000
– Mikopo isiyorejeshwa Sh.1,750,310
– Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.15,934,284
– Miradi ya maendeleo isiyokamilishwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
22
5. Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro 005
– Hakuna sera za uwazi katika kukusanya madeni na ulipaji
wa wadai Sh.167,731,734 ambayo umri wake ni zaidi ya
siku 180
– Ucheleweshaji na udhaifu katika usimamizi wa miradi ya
maendeleo Sh.267,931,074
6. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 006
– Vitabu kumi vya kukusanyia maduhuli havikuwasilishwa
kwa ukaguzi
– Kushuka kwa ukusanyaji wa maduhuli Sh.318,643,652
– Matumizi yaliyozidi bajeti iliyoidhinishwa Sh.104,906,305
– Maduhuli yasiyopelekwa benki Sh.6,745,830
– Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.22,071,216
– Mabadiliko katika tenda yasiyoidhinishwa na Bodi ya
Zabuni Sh.17,312,960
– Mambo yatokanayo na ukaguzi maalumu yanayohitaji
angalizo la Baraza la Madiwani na Kamati ya Uchumi na
Fedha
7. Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 007
– Fedha zilizopelekwa benki pungufu Sh.3,840,987
– Malipo ya posho hayakupokelewa na wahusika Sh.1,837,000
– Mishahara iliyolipwa kwa makosa kwa watu ambao si
watumishi wa Halmashauri Sh.1,478,300
– Fedha za mishahara isiyo lipwa imetumika kwa shughuli
nyingine Sh.17,386,117
– Masurufu na karadha zisizorejeshwa Sh.9,340,419
– Fedha ambazo hazikuingizwa katika akaunti ya benki
Sh.1,214,669
– Vitabu vinne vya kukusanyia maduhuli havikutolewa kwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
23
ukaguzi
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.4,012,267
– Kutotumika fedha za ruzuku Sh.635,682,068
– Ulegevu katika udhibiti wa bajeti uliosababisha matumizi
ya ziada Sh.35,145,348
8. Halmashauri ya Mji Kibaha 008
– Gari ya zima moto halijapokelewa
– Ununuzi wa samani ulifanywa bila kuzingatia matakwa ya
sheria ya manunuzi Sh.52,000,000
– Miradi iliyokamilika haijakabidhiwa Sh.58,091,749
– Ucheleweshwaji na upelekaji pungufu benki fedha za
maduhuli Sh.53,409,549
9. Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 009
– Matumizi yasiyokuwa na nyaraka
Sh.1,496,800
– Kukosekana kwa muhtasari wa bodi ya zabuni iliyoidhinisha
Sh.10,611,600
– Matengenezo ya magari yenye shaka Sh.6700,000
– Malipo ya ziada ya mishahara Sh.2,714580
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.28,081,322
– Mafao ya mfuko wa wafanyakazi wa Serikali za mitaa yalilipwa
kwa makosa toka mfuko mkuu wa Halmashauri Sh.14,626,034
– Ununuzi wa meza na viti wenye shaka Sh.9,180,000
– Masuala yasiyojibiwa ya miaka ya nyuma Sh.27,917,462
10. Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 010
–
Matumizi yasiyokuwa na bajeti Sh.110,296,340
– Bakaa za wadai Sh.31,296,196 na wadaiwa Sh.18,072,263
– Manunuzi ya vifaa yenye shaka Sh.1,680,000
11. Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji 012
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
24
– Matumizi yaliyozidi bajeti Sh.16,257,220
– Bakaa ya wadai Sh.6,752,300 na wadaiwa Sh.6,551,000
– Malipo ya mishahara yaliyolipwa zaidi ya kiasi kilichotolewa
Sh.18,144,205
– Ukiukwaji wa taratibu za manunuzi Sh.8,629,650
– Hundi zilizochacha zilifanywa kuwa sehemu ya mapato
Sh.14,702,855
12. Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam 013
– Maduhuli yasiyokusanywa Sh.119,603,140
– Vitabu sita vya kukusanyia maduhuli havikupatikana
– Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.5,926,255
– Matumizi yalikuwa na nyaraka pungufu Sh.12,686,110
13. Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni 015
– Masuala ya ukaguzi wa miaka iliyopita yasiyojibiwa
Sh.460,963,409
– Ada na ushuru usiokusanywa Sh.87,766,000
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.29,717,000
– Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.7,890,400
– Gharama za ziada za matela 25 ya matrekta Sh.100,000,000
– Bakaa ya wadaiwa Sh.227,188,436
– Kukosekana kwa mchanganuo wa amana mbalimbali
Sh.254,539,174
– Hundi zisizowasilishwa benki Sh.36,585,465
– Fedha zilizokopwa hazikurejeshwa Sh.250,250,000
– Ada ya uegeshaji magari isiyolipwa Sh.3,600,000
14. Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 016
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.2,076,000
– Miradi iliyocheleweshwa Sh.146,676,443
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
25
– Bakaa ya fedha za ruzuku zisizotumika Sh.270,198,691
– Usimamizi wa mali usioridhisha Sh.14,221,294
15. Halmashauri ya Wilaya ya Dodoma 017
– Ardhi na majengo yasiyokuwa na hati miliki Sh.361,640,048
– Umri wa madeni haukuoneshwa Sh.70,339,362
– Miradi ya maji isiyokamilika Sh.38,500,000
– Masuala ya ulinganisho ya kibenki yasiyosuluhishwa
16. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma 018
– Maduhuli toka wakala wa ukusanyaji mapato hayakuwasilishwa
Sh.14,768,768,436
– Miradi ya maendeleo isiyokamilika Sh.15,000,000
17. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 019
– Matumizi yasiyokuwa na faida Sh.1,800,000
– Kukosekana kwa maelezo ya matumizi ya fedha Sh.16,000,000
– Shs.12,000,000 kwa ajili ya ununuzi wa fomu za OPRAS ambazo
hazikuingizwa vitabuni
– Kiasi cha matumizi ya Sh.38,739,685.31 kilionyeshwa katika
taarifa ya mapato na matumizi.
– Wadai wasiolipwa Sh.48,889,718
18. Mamlaka ya Mji Kondoa 020
– Kutokuwa na sera ya kukusanya madeni na kulipa wadai. Pia
wadai na wadaiwa hawakuainishwa kwa umri
– Salio la fedha taslimu na benki lilionyeshwa pungufu katika
taarifa za fedha Sh.918,334.18
19. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 021
– Kutokushughulikiwa masuala ya ukaguzi uliopita
Sh.77,976,538
– Wadai wasiolipa na wadaiwa wasiolipwa Sh.212,249,099
– Majengo yasiyokuwa na hati miliki Sh.6,712,000,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
26
– Uwasilishwaji usiokuwa sahihi wa taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za maendeleo
– Miradi isiyokamilika Sh.168,969,000
20. Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa 022
– Malipo mara mbili kwa chama cha waalimu
Sh.22,317,711
– Deni linalodaiwa Hazina Sh.11,242,228.77
21. Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 023
– Bakaa isiyotumika Sh.499,085,506
– Fedha zilizolipwa zaidi kutoka fidia ya ardhi
hazikurejeshwa
Sh.3,165,000
– Wadaiwa wasiyolipa Sh.13,618,140
– Wadai wasiolipwa Sh.54,211,586
22. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa 024
– Kodi ya majengo isiyokusanywa kutoka kwa wadaiwa
Sh.23,887,500
– Ushuru wa huduma ambao haukukusanywa Sh.4,767,611
– Mishahara isiyolipwa ilionyweshwa pungufu Sh.11,804,678
– Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.30,232,66
– Wadaiwa wasiolipa Sh. 7,195,987
– Wadai wasiolipwa Sh.35,445,594
23. Halmashauri ya Wilaya ya Makete 026
– Wadai wasiolipwa Sh.9,899,783
– Ushuru wa huduma kwa miaka ya nyuma usiokusanywa
Sh.1,721,967
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.10,000,000
– Mishahara isiyolipwa iliyoonyeshwa pungufu Sh.11,804,678
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
27
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.22,462,945
– Madeni ya muda mfupi yasiyolipwa Sh.117,129,634
24. Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 027
– Bakaa ya wadai wa miaka ya nyuma inayosubiri uamuzi wa
Mahakama Sh.11,918,336
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina sh 16,004,865
– Wadaiwa wasiolipa Sh.32,444,694
25. Halmashauri ya Wilaya ya Njombe 028
– Kodi ya majengo ya miaka ya nyuma isiyolipwa ikisubiri uamuzi
wa
Mahakama Sh.2,267,650
– Wadaiwa wasiolipa wakisubiri uamuzi wa Mahakama
Sh.2,100,000
– Karadha zisizorejeshwa Sh.1,498,859
– Wadai wasiolipwa Sh.13,110,290
– Orodha ya mishahara isiyolipwa haikutolewa Sh.10,874,021
26. Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 029
– Wadai wasiolipa Sh.4,884,950
– Karadha zisizorejeshwa Sh.49,316,541
– Wadaiwa wasiolipwa Sh.22,982,937
– Taarifa za bodi ya wakurugenzi na taarifa jumuifu ya
mapato na matumizi zilitofautiana Sh.5,742,500
– Malipo ya awali kwa mkandarasi bila dhamana
Sh.16,378,560
27. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 030
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.19,075,608
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
28
– Masurufu yasiyorejeshwa Sh.2,150,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.35,805,664
28. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 031
– Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji
hayakuwasilishwa Sh.14,402,000
– Madawa yaliyoagizwa hayakupokelewa Sh.5,942,000
– Mradi wa ujenzi wa bwawa la maji haukufanyika
Sh.11,549,850
– Malipo ya Sh.10,299,060 hayakuthibitishwa kupokelewa na
walipwaji
29. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba 032
– Mchanganuo wa mali za kudumu ulikosekana
Sh.555,438,378
– Maduhuli hayakupelekwa benki Shs.5,824,564
– Mishahara isiyolipwa haikuwasilishwa Hazina Sh.2,125,100
– Fedha hazikuwasilishwa benki Sh.6,500,924
30. Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe 033
– Malipo kwa walipwaji mbalimbali hayakuthibitishwa
kupokelewa Sh.22,465,721.
– Malipo yasiyo na nyaraka Sh.5,920,042.
– Vifaa vilivyonunuliwa havikuingizwa vitabuni Sh.7,549,800.
31. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 034
– Maduhuli kutoka kwa wakala wa ukusanyaji
hayakuwasilishwa Sh.6,410,000
– Fedha zilizohamishwa hazikurejeshwa Sh.40,532,564
– Wadaiwa wasiolipa Sh.22,013,844
– Miche ya Mibuni ilipokelewa pungufu Sh.3,601,200
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
29
32. Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 035
– Malipo ya kampuni binafsi hayakuidhinishwa na bohari ya
madawa (MSD) Sh.11,309,540
– Fedha zilizohamishwa hazikurejeshwa Sh.5,000,000
– Malipo yasiyothibitishwa kupokelewa Sh.12,744,830
– Wadaiwa wasiolipa Sh.23,079,750
33. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 036
– Kulikuwa na masuala ya ukaguzi ambayo hayajajibiwa
Sh.65,628,704
– Karadha na posho ya kujikumu Sh.5,040,000
hazijarejeshwa
– Mishahara iliyolipwa kimakosa Sh.712,436
– Wadai walioneshwa pungufu katika mizania ya hesabu
Sh.62,575,323
– Mapato yalionyeshwa zaidi Sh.77,674,426
– Miradi mbalimbali haikukamilika katika mwaka husika
34. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 037
– Vifaa havikuingizwa vitabuni Sh.14,335,400
– Rejista ya mali za kudumu haijahuishwa kwa miaka minne
– Malipo yasiyokuwa na nyaraka na yenye nyaraka pungufu
Sh.23,479,100
– Maduhuli yasiyokusanywa Sh.50,876,882
– Makosa katika taarifa ya ulinganisho wa kibenki
Sh.75,349,083 hayakushughulikiwa
– Vifaa vya ujenzi vilinunuliwa kwa kutumia masurufu
Sh.53,278,831
– Makosa katika kuonyesha mali za kudumu kwenye vitabu
Sh.81,128,309
– Nyaraka za kuthibitisha wadaiwa hazikuonyeshwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
30
Sh.167,731,734
– Wadai hawakujumuishwa katika hesabu Sh.4,648,307
– Kutokuzingatia maagizo, sheria na kanuni
– Uthibiti hafifu wa ununuzi, usimamizi na utunzaji wa
kumbukumbu
35. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 039
– Masuala yasiyojibiwa katika kaguzi zilizopita Sh.103,492,000
– Mchanganuo wa umri wa wadaiwa haukutolewa Sh.224,813,634
– Kutokutumika wa chanzo cha maji cha Kalenge Fungwe
kilichojengwa Sh.6,715,000
– Kutotumika kwa fedha za maendeleo kwa ajili ya mradi wa
Kazuramimba Sh.80,000,000
– Uharibifu wa msitu katika machimbo ya chumvi ya uvinza
36. Halmashauri ya Wilaya ya Hai 040
– Masuala ya ukaguzi yasiyojibiwa ya kipindi kilichopita
Sh.45,625,725
– Maduhuli yasiyowasilishwa Halmashauri kutoka kwa wakala wa
ukusanyaji Sh.5,780,000
– Masurufu na karadha zisizorejeshwa Sh.6,406,770
– Kutotekelezwa miradi ya maendeleo ya wananchi (TASAF )
Sh.13,452,700
– Miradi ya PADEP haikukamilika Sh.126,703,000
– Ucheleweshaji katika kujibu hoja katika kaguzi zilizopita
– Ucheleweshaji katika kukamilisha miradi
37. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 041
– Masuala ya ukaguzi yasiyojibiwa Sh.14,000,000
– Vifaa havikuingizwa vitabuni Sh.1,008,950
– Kasoro ziligunduliwa katika mikataba Sh.63,762,836
– Karadha hazikurejeshwa Sh.4,943,806
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
31
– Kiasi kilichoonyeshwa katika matumizi ya jumla
hakikurekebishwa
Sh.100,000,000
– Mchanganuo wa umri wa wadaiwa Sh.6,204,803 na wadai
Sh.15,868,574 haukutolewa
– Kutokuwepo kwa sera na udhibiti wa wadaiwa na wadai
– Hati za malipo zenye nyaraka pungufu Sh.203,373,576
38. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 042
– Fidia/tozo za gharama za ujenzi hazikukusanywa
Sh.46,819,337
– Ujenzi wa zahanati mbili ambao haukutengewa bajeti
Sh.28,500,000
39. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 043
– Matumizi yasiyokuwa na nyaraka za kutosha Sh.54,146,325
– Hati za malipo zilikosekana Sh.7,365,000
– Malipo kwa wasiostahili Sh.38,691,495
– Miradi iliyohitaji fedha za ziada Sh.340,640,000
– Mambo yaliyojitokeza katika ukaguzi maalum
40. Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 044
– Vifaa havikuingizwa katika leja Sh.1,284,200
– ucheleweshaji katika ukamilishaji wa miradi mbalimbali
Sh.257,900,925
41. Halmashauri ya Wilaya ya Same 045
– Maduhuli hayakuwasilishwa kwa mtunza fedha Sh.1,768,500
– Vifaa havikuinginzwa katika leja Sh.3,400,000
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.4,186,240.25
– Vifaa ambavyo havikuonekana Sh.29,896,070
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
32
42. Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 046
– Vifaa vililipiwa lakini havikupokelewa Sh.6,057,166
– Mauzo ya chakula cha msaada hayakuwasilishwa katika
ofisi ya Waziri Mkuu
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.3,824,000
– Bidhaa zilinunuliwa bila kufuata mpango wa ununuzi
Sh.48,995,000
– Malipo zaidi ya posho ya kujikimu Sh.5,300,000
– Fedha za Halmashauri zilitumika kulipia mikopo ya
watumishi wa benki ya NMB Sh.3,434,102
43. Halmashauri ya Mji wa Lindi 048
– Udhaifu katika utoaji wa kazi za ujenzi wa barabara
– Ucheleweshaji katika ukamilishaji miradi ya barabara
Sh.103,606,596
– Ucheleweshaji katika ukamilishaji wa nyumba za waalimu
na madarasa Sh.80,000,000
– Hati za kuthibitisha uwekezaji hazikutolewa Sh.10,500,000
44. Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 051
– Thamani ya madarasa na nyumba za waalimu
hazikuingizwa katika mali za kudumu Sh.219,000,000
– Wadaiwa Sh.75,370,200 na wadai Sh.73,963,249
– Thamani ya madaraja na makaravati yaliyojengwa
Sh.41,189,518 hayakujumuishwa katika mizania ya hesabu
45. Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ 053
– Masuala ya nyuma ya ukaguzi yasiyojibiwa Sh.23,723,180
– vitabu 27 vya kukusanyia maduhuli havikutolewa wakati
wa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
33
ukaguzi
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.33,095,400
– Mchanganuao wa umri wa wadaiwa haukuonyeshwa
Sh.202,476,835
46. Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 054
– Ucheleweshaji katika kujibu hoja za ukaguzi Sh.95,393,780
– Kutolingana kwa kiasi kilichoonyeshwa kwenye jumla ya
malipo Sh.20,562,000
– Masurufu yasiyorejeshwa Sh.38,782,400
– Kutokutumika kwa fedha za maendeleo Sh.528,802,887
– Ununuzi wa madawa kutoka kwa msambazaji asiye
idhinishwa Sh.15,482,887
– Gari lilolipiwa lakini halijapokelewa Sh.68,000,000
– Mabadiliko katika ujenzi wa barabara ambayo
hayakuidhinishwa Sh.28,835,330
– Matumizi yasiyokuwa na nyaraka za kutosha Sh.18,534,820
– Malipo ya posho hayakuzingatia utendaji kama
ilivyokubaliwa
47. Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu 055
– Ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa kutumia masurufu
Sh.13,282,500
– Vifaa vilivyonunuliwa kwa ajili ya hospitali havikuingizwa
vitabuni Sh.35,256,950
– Malipo yalifanyika kwa kazi isiyokasimiwa Sh.6,000,000
– Karadha kwa waajiriwa wapya hazikurejeshwa
Sh.1,903,091
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
34
– Wadaiwa wasiolipa Sh.71,484,963
– Fedha za mfuko mkuu zilionyeshwa zaidi Sh.18,665,600
– Fedha za ruzuku zisizotumika Sh.129,544,353
48. Halmashauri ya Mji Babati 057
–
Masuala ya ukaguzi yasiyojibiwa miaka ya nyuma
Sh.5,911,610
– Fedha za ruzuku ya maendeleo hazikutumika
Sh.5,911,610
– Malipo katika mikataba yenye shaka Sh.22,262,926
– Mafuta yasiyoingizwa vitabuni Sh.1,410,000
– Gari la zima moto halijapokelewa Sh.258,000,000
– Umri wa wadai na wadaiwa hakuonyeshwa
Sh.281,208,647
– Kutokuwepo kwa utayari wa kukabiliana na Mafuriko
katika mji wa Babati
49. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 058
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.3,000,000
– Majedwali kuhusu wadai na amana yalikosekana
Sh.55,00,287
– Masuala katika ukaguzi ulipita hayakujibiwa
Sh.55,071,239
– Msaada uliotolewa kwa ajili ya shule ya Sekondari
Mwimbara haukutumika Sh.3,300,000
– Uimarishaji wa barabara ya Karukekere – Haruzale
Sh.16,472,000 haujakamilika
– Kulikuwa na wadaiwa Sh.2,254,000, wadai
Sh.55,007,287 na karadha za Sh.309,960
– Mambo yasiyoshughulikiwa katika ulinganisho wa kibenki
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
35
50. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 059
– Masuala ya ukaguzi ambayo hayakushughulikiwa yalikuwa
na thamani ya Sh.16,691,823.
– Ucheleweshaji katika kukamilisha miradi ya maendeleo
Sh.100,652,094
– Mchanganuo wa umri wa wadaiwa Sh.48,389,117
haukutolewa
– Mchanganuo wa umri wa wadai Sh.57,625,093
haukutolewa
– Masuala ya ulinganisho wa kibenki ya muda mrefu
hajashughulikiwa Sh.169,228,275
– Kutowasilishwa kwa taarifa ya tathimini miradi ya kilimo,
mifugo na maliasili
51. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 060
– Masuala ya ukaguzi uliopita yasiyoshughulikiwa
Sh.125,797,021
– Kitabu kimoja cha ukusanyaji wa maduhuli
hakikuonenaka wakati wa ukaguzi
– Kiasi cha Sh.12,500,000 kutoka kwa mawakala wa
ukusanyaji maduhuli hakikuwasilishwa Halmashauri kama
ilivyo kwenye mkataba
– Hati za malipo Sh.5,749,000 hazikutolewa kwa ukaguzi
hivyo usahihi wa malipo yaliyofanyika hayakuweza
kuthibitishwa
– Kulikuwepo na masuala ya ulinganisho wa kibenki
yasiyoshughulikiwa
– Wadaiwa wasiolipa Sh.32,506,523
– wadai wasiolipwa Shs.43,180,078
52. Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti 061
– Masurufu, karadha, wadai na mikopo ya muda mrefu
yalifikia Sh.61,884,663
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
36
– Fedha za mauzo ya chakula cha njaa ambazo
hazikukusanywa Sh.25,018,800
– Wadaiwa wa muda mrefu Sh.134,575,648
– Mambo yasiyoshughulikiwa katika ulinganisho wa kibenki
Sh.207,860,735
– Udhaifu katika usimamizi katika miradi ya maendeleo
53. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 062
– Kutokushughulikiwa masuala ya ukaguzi katika ripoti
zilizopita Sh.463,074,416
– Fedha zilizohamishwa kutoka akaunti moja kwenda
nyingine Sh.34,090,334
– Ujenzi wa sehemu ya takataka haukufanyika japo malipo
ya awali ya Sh. 512,270 yalilipwa kwa mkandarasi
– Wadaiwa wasiolipa Sh.51,107,500
– Maduhuli yasiyowasilishwa Halmashauri na wakala wa
ukusanyaji Sh.44,275,000
– Malipo yenye nyaraka pungufu sh.6,028,000
– Mishahara ambayo haikulipwa haikurejeshwa Hazina
Sh.8,235,767
– Madeni ya mishahara kwa watendaji wa kata (WEOs),
watendaji wa vijiji (VEOs) na makato ya LAPF
Sh.218,120,555 hayajalipwa
54. Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 065
– Wafanyakazi wachache katika kitengo cha ukaguzi wa
ndani
– Halmashauri haijatekeleza mfumo wa malipo kwa kutumia
mtandao wa kompyuta – IFMS (EPICOR System)
– Ucheleweshwaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo
55. Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 067
–
Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.8,712,161
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
37
– Matumizi yenye nyaraka pungufu sh.1,597,500
– Vifaa vilipokelewa pungufu toka Mchapishaji wa Serikali
na Bohari ya Madawa Shs.824,500.
– Fedha katika akaunti ya amana zilichukuliwa zaidi
Sh.7,322,500.
–
Mishahara ambayo haikulipwa haikurejeshwa kwa Mhasibu
Mkuu wa Serikali Sh.6,593,863
56. Halmashauri ya Jiji la Mbeya 068
– Maduhuli ambayo hayakuwasilishwa Halmashauri kutoka
kwa mawakala Sh.241,022,490
– Karadha ambazo hazijarejeshwa Sh.7,407,544
– Hundi ambazo hazikuwasilishwa benki Sh.7,390,100
– Wadaiwa wasiolipa Sh.41,751,719
– Wadai wasiolipwa Sh.210,192,092
57. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 070
– Faida ya sh.139,037,500 iliyotokana na kufutwa kwa mali
haikutolewa maelezo
– Halmashauri haikuandaa mpango wa mwaka wa
manunuzi
– Matumizi yasiyoidhinishwa Sh.213,374,870
58. Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero 071
– Halmashauri haina sera ya kukusanya toka kwa wadaiwa
na kuwalipa wadai ambapo kulikuwa na wadai na
wadaiwa wa muda mrefu wa Sh.45,497,338
– Halmashauri ina tabia yakuweka fedha nyingi ofisini kwa
muda mrefu bila kupeleka benki.
– Halmashauri haijaanzisha kamati ya ukaguzi kama
sehemu ya udhibiti na ustawala bora.
– Kulikuwa na kiasi kikubwa cha fedha kisichotumika cha
Sh.1,974,199,428.46 ambacho ni 21% ya mapato yote ya
Halmashauri
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
38
59. Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 072
– Mishahara isiyolipwa Sh.5,001,608.63 iliwasilishwa Hazina
lakini kulikosekana ushahidi wa mapokezi ya mishahara
hiyo.
– Mikopo ya Sh.3,340,000 haijarejeshwa.
– Wadaiwa wa miaka iliyopita wenye thamani ya Sh.
22,800,845 hawajalipa.
– Ruzuku zilizopokelewa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya
maendeleo za thamani Sh.59,400,000 hazikutumika.
– Hadi kufikia 30 Juni,2007 kulikuwa na wadaiwa wasiolipa
Sh.77,378,153 na wadai wasiolipwa Sh.32,499,992.57
– Kulikuwa na ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo
yenye thamani Sh.9,025,570 kulikoashiria kwamba
taratibu za manunuzi hazikufuatwa.
60. Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro 073
–
Vitabu 7 vya kukusanya maduhuli vilikosekana
– Matumizi yasiokuwa na nyaraka Sh.19,370,334
– Maduhuli ya Sh.1,022,200 hayakuwasilishwa benki
– Mishahara isiyolipwa ya Sh.35,015,966 haikurejeshwa
Hazina.
– Mchanganuo wa matumizi ya posho za waalimu ya
Sh.2,422,356 haikuwasilishwa.
– Orodha ya walipwaji ya Sh.26,382,483 ilikosekana
– Manunuzi ya Shs.9,318,100 yalifanyika bila ushindanishi.
– Samani za ofisi za Shs.24,420,000 hazikuingizwa katika
rejista ya mali za kudumu.
– Masuala ya Sh.1,198,834.46 ya ulinganishi wa kibenki
hayajashughulikiwa.
– Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya maendeleo
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
39
iliyotayarishwa haikuwa sahihi.
– Mchanganuo wa umri wadaiwa Sh.94,567,357
haukutolewa
– Mchanganuo wa umri wa wadai Sh.355,924,489.81
haukutolewa
61. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 074
– Fedha zilizohamishwa Sh.13,351,543 hazikurejeshwa
kwenye akaunti husika.
– Manunuzi ya nyaraka za samani yaliyo kinyume na
taratibu za mfuko wa akiba wa serikali za mitaa
Sh.7,106,400.
– Malipo yaliyofanyika bila nyaraka Sh.4,596,547.80
– Bakaa ya wadaiwa kutoka miaka ya nyuma inayofikia
Sh.9,840,931 inayosubiri uamuzi wa mahakama
– Kulikuwa na bakaa ya wadaiwa Sh.18,856,535 na wadai
Sh.46,820,800.
62 Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 075
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.1,500,000
– Manunuzi ya bidhaa na huduma bila kufuata taratibu za
manunuzi Sh.6,389,900.
– Mikopo iliyotolewa kwa waalimu wa sekondari
haijarejeshwa Sh.8,641,900
– Miradi ya maendeleo iliyocheleweshwa Sh.64,289,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.11,287,257
– Wadai wasiolipwa Sh.169,761,646
63. Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero 076
– Masuala ya nyuma ya ukaguzi ambayo hayajatekelezwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
40
– Kukosekana kwa kitabu kimoja cha kukusanya maduhuli
– Ucheleweshaji wa upelekaji wa maduhuli benki
Sh.1,094,987
– Uchelewesheji wa miradi ya maendeleo Sh.487,975,194
– Wadaiwa wasiolipa Sh.181,469,840 na wadai wasiolipwa
Sh.9,015,245.
64. Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 078
– Kukosekana kwa vitabu vya kukusanya maduhuli
– Masuala ya ukaguzi ya miaka nyuma ambayo hajajibiwa
Sh.257,198,297
– Kutokufuata mpango wa mwaka wa manunuzi
Sh.21,736,575
– Manunuzi yaliyofanyika kabla ya kutoa hati ya manunuzi
Sh.43,838,704
– Makato ambayo hayakulipwa kwa wakala husika
Sh.2,099,175.50
– Shs.49,370,200 hazikuonyweshwa katika hesabu
65 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 077
–
Vitabu viwili vya kukusanya maduhuli havikutolewa kwa
ukaguzi
– Maduhuli yaliyokukusanywa hayakupelekwa benki
Sh.17,413,927
– Nyaraka za marejesho ya masurufu maalum Sh.12,416,500
hazikupatikana.
– Matumizi yaliyofanywa bila hati za malipo Sh.12,246,663 na
matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.18,354,275.
– Kutokutekelezwa kwa mapendekezo ya wakaguzi yaliyotolewa
miaka ya nyuma Sh.9,119,186
– Matumizi ambayo hayakuwa na faida Sh.12,920,000
– Kutoonyeshwa kwa fedha taslimu katika mizania ya fedha
Sh.44,545,579
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
41
– Wadaiwa wa masurufu, karadha na uhamishaji wa fedha
kulipia mishahara jumla Sh.444,356,418.13
– Matukio yaliyotokea baada ya kufunga mwaka hayakuonyeshwa
katika hesabu Shs.316,790,000
– Vifaa vya thamani ya Sh.23,614,400 havikuingizwa vitabuni
– Upelekaji fedha benki wa udanganyifu/ulagai Sh.19,800,000
66. Halmashauri ya Wilaya ya Newala 080
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Sh.82,845,734
– Malipo ya miaka ya nyuma yaliyocheleweshwa
Sh.3,651,200
– Tofauti ya vifaa vitabuni na idadi halisi ndani ya stoo
Sh.28,031,200
– Vifaa vilivyolipiwa bila kupokelewa katika Halmashauri
Sh.433,800
– Fedha ambayo haikukusanywa kutokana na mauzo ya
pembejeo za kilimo Sh.57,386,155
– Malipo yenye shaka Sh.29,257,139
– Manunuzi yaliyofanywa zaidi ya yalioidhinishwa katika
mpango wa mwaka wa manunuzi Sh.43,957,200
– Makato ya kisheria yasiyowasilishwa Sh.4,901,207
– Kutotolewa kwa mchanganuo unaoonyesha umri wa
wadai na wadaiwa Sh.58,133,857
– Kukosekana kwa hati za kumiliki hisa Sh.5,000,000
– Matumizi yatokanayo na mikataba hayakuwa na
viambatisho Sh.14,188,000
67. Halmashauri ya Wilaya ya Geita 083
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Sh.12,162241
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
42
– Malipo yaliyozidi ya posho ya usumbufu Sh.909,693
– Wadaiwa wasiolipa Sh.107,445,280 na wadai wasiolipwa
Sh.27,001,240
– Hundi ambazo hazikupelekwa benki Sh.22,288,359
68. Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 084
– Kitabu kimoja cha kukusanyia maduhuli cha mwaka
2004/2005 hakijapatikana
– Vitabu vitatu vya kukusanyia maduhuli vyenye thamani ya
Shs.600,000 havikupatikana
– Masurufu yasiyoingizwa vitabuni Sh.3,675,400
– Mishahara isiyolipwa hakurejeshwa Sh.64,482,147
-Kutorejeshwa kwa Masurufu na karadha za Sh.36,255,780
– Wadaiwa wengine Sh.49,679,156 hawakulipa
– Masuala ya Sh.85,625,285 ya ulinganisho wa kibenki
hayajashughulikiwa
– Wadai wengine wasiolipwa Sh.112,835,542
69. Halmashauri ya Wilaya ya Magu 085
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Shs.10,268,000
– Mikopo isiyorejeshwa Sh.4,709,000
– Mishahara isiyorejeshwa Sh.17,392,615
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.5,501,000
– Vifaa vyenye thamani ya Sh.8,255,400 havikupokelewa
– Wadaiwa ambao hawajalipa Sh.106,601,164
– Wadai wasiolipwa Sh.92,156,519
– Masuala ya Sh.1,536,939 ya ulinganisho wa kibenki
yajashughulikiwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
43
70. Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi 082
– Salio la kuanzia la mali za kudumu ni tofauti katika
mizania ya hesabu na maelezo ambatanifu ya mizania
Sh.178,038,690.
– Ziada ya mapato ikilinganishwa na matumizi imezidishwa
kwa kiasi cha Sh.105,495,077.
– Masuala ya mwaka 2004/2005 na 2005/2006 yanayofikia
Sh.354,292,802 hayajashughulikiwa.
– Masuala ya ulinganisho wa kibenki ambayo
hajashughulikiwa Sh.18,887,293.59.
– Matengenezo ya gari yaliyofanyika bila idhini ya mhandisi
wa mitambo wa wilaya Sh.4,027,760.
– Taarifa jumuifu ya hali ya kifedha kama ilivyokuwa
tarehe 30 Juni 2007 ilionyesha wadaiwa Sh.7,400,888 na
wadai Sh.81,043,668
71. Halmashauri ya Jiji la Mwanza 087
– Miradi ya Halmashauri isiyokamilika Sh.2,117,541,670
– Maelezo yanayoambatana na taarifa za hesabu za fedha
hayakuwasilishwa.
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Sh.379,440,200
– Salio la fedha taslimu lilizidishwa kwa Sh.15,052,907
– Wadaiwa wasiolipa Sh.33,447,092 na wadai wasiolipwa
Sh.96,034,250
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.391,830
– Masuala ya ulinganisho wa kibenki yasiyoshughulikiwa
Sh.5,321,265
72. Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema 088
– Masuala ya ulinganisho wa kibenki yasiyoshughulikiwa
Sh.152,303,478.
– Maduhuli yasiyowasilishwa kutoka kwa mawakala
Sh.17,328,400.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
44
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.12,076,604.
– Mauzo ya chakula cha njaa hayakukusanywa
Sh.5,793,300.
73. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 089
– Maduhuli yasiyowasilishwa kutoka kwa mawakala
Sh.239,000
– Masurufu na karadha yasiyorejeshwa sh.3,158,660
– Malipo yaliyolipwa zaidi ya posho ya usumbufu na nauli
Sh.645,184
– Mikopo ya Wanawake na Vijana isiyorejeshwa
Sh.11,107,200
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurejeshwa Hazina
Sh.2,421,752
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Sh.91,928,436
– Taarifa jumuifu ya mizania ilionyesha wadaiwa wasio
lipa Shs.56,515,591 na wadai wasiolipwa Sh.768,320,960
– Masuala ya ulinganisho wa kibenki yasiyoshughulikiwa
Sh.2,058,322
74. Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 090
–
Miradi ya maendeleo ambayo haikutekelezwa
Sh.83,463,946
– Miradi ya maendeleo iliyocheleweshwa kukamilika
Sh.108,431,239
– Kukosekana kwa taarifa zinazohusu kazi zinazoendelea
Sh.166,383,467
75. Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 091
–
Sh.29,915,569 hazikulipwa kutoka kwa wadaiwa wa
masurufu, karadha na maduhuli ambayo
hayakuwasilishwa na mawakala
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
45
– Makato ya kisheria ambayo hayakuwasilishwa mfuko wa
mafao ya wafanyakazi wa serikali za mitaa
Sh.37,872,071
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurejeshwa Hazina
Sh. 5,568,336
– Miradi shirikishi ya ukarabati ambayo haikutekelezwa
Sh.411,600,000
– Kutokuanzishwa kamati ya ukaguzi
– Ucheleweshwaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
76. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga 092
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurejeshwa Hazina
Sh.20,416,560
– Ucheleweshwaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo
Sh.153,833,850
– Karadha zisizorejeshwa Sh.26,967,790
77. Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 093
– Masuala ya ukaguzi uliopita hayakushughulikiwa
Sh.113,141,606
– Mishahara iliyolipwa kwa wastaafu au kufariki
Sh.904,998.40
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurejeshwa Hazina
Sh.11,614,141
– Miradi ya ukarabati ambayo haijaanza Sh.114,800,000
78 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 094
– Malipo yaliyolipwa kwa Mkandarasi asiyestahili katika
matengenezo ya barabara ya Mbinga – Masimeli-Kihungu
Sh.12,000,000
– Fedha za mfuko wa afya wa jamii zimetumika kwa
madhumuni yasiyokusudiwa (Mishahara
Sh.16,673,761)
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
46
– Manunuzi ya vifaa vya ofisi yaliyozidi kiwango
kilichoidhinishwa Sh.4,562,300
– Ununuzi wa vifaa vya thamani ya Sh.6,482,600 ulifanyika
kwa kutumia ankara kifani kinyume na taratibu za
manunuzi.
– Mishahara iliyolipwa kwa wastaafu, kufariki au walioacha
kazi Sh.7,225,033
– Mapokezi ya fedha katika kitabu cha fedha cha
Halmashauri yasioonekana katika taarifa za benki
Sh.50,912,785
– Kiasi cha Sh.77,776,183 kilitolewa zaidi kutoka katika
akaunti mbalimbali za Halmashauri kinyume na kifungu
cha 12(1)sheria ya fedha za Serikali za mitaa. Na.9 1982
79. Halmashauri ya Wilaya ya Songea 095
– Manunuzi ya vifaa yasiyozingatia taratibu Sh.40,238,400
– Mishahara isiyolipwa ilitumika kwa shughuli zisizo
kusudiwa Sh.38,249,920
– Malipo yasiyokuwa na faida Sh.8,000,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.10,350,004 na wadai wasiolipwa
Sh.28,230,105 walionyeshwa bila mchanganuo wa umri
– Ruzuku ya serikali isiyotumika ilikuwa sh.818,095,772
80 Halmashauri ya Manispaa ya Songea 096
– Maduhuli yaliyokusanywa katika kata hayakuingizwa
vitabuni Sh.10,596,990
– Mishahara isiyolipwa ilitumika kwa kazi kwa
zisizokusudiwa Sh.10,234,554.08
– Kutokuzingatia taratibu za Manunuzi Sh.24,576,250.
– Wadaiwa wasiolipa na wadai wasiolipwa Sh.359,708,424.
– Ruzuku ya serikali ambayo haikutumika Sh.169,284,397
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
47
81 Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 097
– Ujenzi wa visima vifupi ambavyo vilivyoonekana kuwa na
kasoro Sh.40,000,000
– Ukarabati barabara ya Wenje – Likweso haukufanyika kwa
kiwango kilichotakiwa Sh.19,792,290
– Matengenezo ya barabara za Tunduru mjini
hayakufanyika kwa kiwango kilichotakiwa Sh.19,205,613
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.20,972,871
– Ruzuku toka serikalini haikutumika Sh.270,079,425
82 Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo 098
– Fedha zilizochukuliwa zaidi kutoka benki bila
kibali/idhini Sh.15,630,872
– Malipo yaliyofanyika kwa kutumia ankara kifani
Sh.10,813,000
– Kupokea na kutoa vifaa bila kutumia hati za utoaji na
upokeaji Sh.15,160,400
– Udanganyifu wa malipo ya mishahara kwa kupitia akaunti
binafsi Shs.7,625,708.28
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina
Sh.17,491,543
– Malipo ya fidia/tozo ambayo hayakutozwa toka kwa
mkandarasi Sh.7,587,325.71
– Sh.9,947,060 hazikuingizwa katika vitabu vya hesabu
– Ruzuku toka serikalini ambayo haikutumika
Shs.123,033,656
83 Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 099
– Miradi ya maendeleo haikukamilishwa
– Maelezo yanayoambatana na hesabu za fedha
hayakuwasilishwa kwa ajili ya ukaguzi
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
48
– Kushuka kwa makusanyo ya Halmashauri kwa 16%
– Upungufu wa wakaguzi katika kitengo cha ukaguzi wa
ndani
– Matumizi yaliokuwa na nyaraka pungufu Sh.11,709,907
– Mikopo kwa vikundi vya wakina mama na vijana
isiyorejeshwa Sh.9,580,000
– Masurufu yasiyorejeshwa Sh.4,666,000
– Fedha zilizokopeshwa kwa Katibu Tawala wa mkoa wa
Shinyanga hazijarejeshwa Sh.6,280,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.245,488,703
– Wadai wasiolipwa Sh.172,937,497
84. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 0100
– Masuala yasiyojibiwa ya mwaka uliopita yalijumuisha
wadaiwa wasiolipa Sh.56,359,346 na wadai wasiolipwa
Sh.29,185,630
– Menejimenti ya Halmashauri haikufanya uhakiki wa
kushtukiza wa fedha taslimu kwa mujibu wa agizo Na.
170 la memoranda ya fedha za serikali za mitaa ya
mwaka 1997
– Vitabu viwili vya ukusanyaji maduhuli havikupatikana
– Masurufu ya Sh.5,428,000 hayakurejeshwa
– Kukosekana kwa stakabadhi ya uthibitisho ya mapokezi ya
mishahara iliyorudishwa Hazina Sh.4,991,016.89
– Wadaiwa wasiolipa Sh.5,428,000
– Wadai wasiolipwa Sh.99,523,054.50
– Mali za muda mfupi za Sh.16,000,000 na kiasi cha
matumizi ya Shs.16,000,000 kilizidishwa
85 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 0103
– Karadha zisizorejeshwa Sh.1,418,500
– Maduhuli ambayo hayakuwasilishwa Halmashauri na
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
49
mawakala Sh.980,000.
– Karadha zisizorejeshwa Sh.1,145,148.
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurudishwa Hazina
Sh.3,400,993.
– Wadaiwa wasilipa Sh.132,630,700
– Wadai wasiolipwa Sh.185,346,548.
– Tofauti kati ya salio la wadai lililoonyeshwa katika
mizania na kiasi kilichoonyeshwa katika viambatisho
vilivyoletwa pamoja na taarifa za hesabu ya
Sh.60, 683,707.
– Mambo yasiyoshughulikiwa katika hesabu za ulinganisho
wa benki wa 30 Juni, 2007
86 Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 0106
– Matumizi yaliyokuwa na nyaraka pungufu Sh.3,525,500
– Vitabu 4 vya kukusanyia maduhuli havikuwasilishwa kwa
ukaguzi
–
Maduhuli ambayo hayakuwasilishwa Halmashauri na
mawakala
Sh.4,972,226
– Kutoanzishwa kwa kamati za Ukaguzi wa hesabu na manunuzi
– Kituo cha kurushia matangazo ya Televisheni hakijatumika
Sh.7,475,000
– Malipo yenye shaka kwa kazi iliyoongezeka Sh.5,548,000
– Kutotekelezwa kwa kazi ya ukarabati wa barabara kwa
kiwango cha lami km 0.7 Sh.151,200,000
– Fidia/tozo haikulipwa na mkandarasi Sh.8,078,400
– Wadaiwa wasiolipa Sh.419,870,497.47
– Wadai wasiolipa Sh.82,590,225.86
– Kupungua kwa maduhuli katika unyonyaji wa maji machafu
Sh.18,397,700
– Thamani ya mali za kudumu zilionyeshwa pungufu katika
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
50
hesabu Sh.391,406,700
– Hundi hazikuwasilishwa benki Sh.163,837,366.62
87 Halmashauri ya Wilaya ya Iramba 0107
– Miradi ambayo haikutekelezwa Sh.80,000,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.23,591,203
– wadai wasiolipwa Sh.21,442,217
– Hundi na fedha taslimu ambazo hazijaonekana katika
hesabu za benki Sh.7,664,359
– Makusanyo yasiyoridhisha ya vyanzo vya ndani vya
mapato ambavyo ni 1% ya matumizi yote ya Halmashauri
88. Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni 0108
-Kulikuwa na wadaiwa wa muda mrefu Sh.32,212,123 na
wadai wa muda mrefu Sh.119,935,926.
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.53,709,000
– Kutozingatiwa kwa Sheria za Ununuzi
– Fedha za Maendeleo ya Shule za Msingi hazikutolewa
Sh.352,484,135
– Ruzuku za Maendeleo ambazo hazikutumika
Sh.376,492,936
89. Halmashauri ya Wilaya ya Singida 0109
– Mkopo ambao haujarejeshwa na Afisa Tawala
Sh.8,820,000
– Wadaiwa walionyeshwa pungufu kwenye hesabu
Sh.6,700,000
– Wadaiwa wasiolipa Sh.9,725,700
– Wadai wasiolipwa Sh.5,21,335
90. Halmashauri ya Manispaa ya Singida 0110
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
51
– Wadaiwa wasiolipa Sh.41,041,944
– Wadai wasiolipwa Sh.306,319,870
– Fedha zilizotumika kwa matumizi mengine Sh.4,331,400
– Kutokutumia kikamilifu mfumo funganifu wa uzimamizi
wa Fedha (IFMS)
91. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 0111
-Maelezo ya matumizi ya vipuri vya magari hayakutolewa
Sh.7,375,400
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.3,237,275
– Maduhuli ambayo hayakupelekwa benki Sh.623,000
– Maduhuli kiasi cha Sh.2,500,326 hayakujumuishwa katika
taarifa jumuifu ya mapato
92. Halmashauri ya Wilaya ya Tabora 0114
– Vifaa vilivyolipiwa lakini havikupokelewa Halmashauri
Sh.2,256,900
– Mikopo kwa vikundi vya akina mama na Vijana
haijarejeshwa Sh.7,150,000
– Magari 8 hayakuonyeshwa katika mizania jumuifu
– Kutokutumia kikamilifu mfumo funganifu wa usimamizi
wa Fedha (EPICOR)
93. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora 0115
– Maduhuli ambayo hayakuwasilishwa Halmashauri na
mawakala Sh.9,563,125
– Marejesho ya Mikopo ya vikundi vya akina mama na
Vijana hayakupelekwa benki Sh.4,700,000
– Nyumba zilizouzwa kwa wafanyakazi zilionyeshwa
kwenye mizania Sh.11,909,054
94. Halmashauri ya Wilaya ya Handeni 0117
– Pumpu iliyolipiwa lakini haikupokelewa Halmashauri
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
52
Sh.9,072,000
– Kiasi cha mapato ya ruzuku kilionyeshwa pungufu
Shs.10,841,268
– Kukosekana kwa majedwali yanayoonyesha umri wa
wadai na wadaiwa katika hesabu za mwisho wa mwaka
95. Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe 0118
– Vitabu 18 vya ukusanyaji wa maduhuli vilikosekana
-Maduhuli yaliyokusanywa hayakupelekwa benki
Sh.999,400
– malipo yenye nyaraka pungufu Sh.77,173,583
– Wadaiwa wasiolipa Sh.226,552,212
96. Halmashauri ya Mji Korogwe 0119
– Malipo ya ziada kwa huduma za uchapishaji yalifanywa
bila ushindani Sh.4,200,000
– Mabadiliko katika bei ya mkataba yalifanywa bila idhini
Sh.20,622,652
97. Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto 0120
– Kutoandaliwa kwa mpango wa manunuzi kwa mwaka
kinyume cha matakwa ya kifungu cha 45 cha Sheria ya
Manunuzi ya Umma ya mwaka 2004 ambacho kinaweza
kusababisha kuongezeka kwa gharama za manunuzi
– Halmashauri haikuwa na kamati ya ukaguzi wa hesabu
kinyume cha matakwa ya utawala bora na Kanuni Na.30
ya kanuni za Sheria ya Fedha ya mwaka 2001.
98. Halmashauri ya Wilaya ya Muheza 0121
– Maduhuli ya Halmashauri yaliyokusanywa Sh.11,250,483
hayakupelekwa benki.
– Malipo ya Sh.20,445,523 yalifanyika kwa kutumia nyaraka
pungufu.
99. Halmashauri ya Wilaya ya Pangani 0122
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
53
– Fedha zilizohamishwa kutoka akaunti za Halmashauri
hazikurejeshwa Sh.24,179,790
– Ucheleweshaji kukamilika kwa miradi ya maendeleo
100.
Halmashauri ya Mji Tanga 0123– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.7,711,560
– Vifaa vilivyolipiwa havikupokelewa Sh.5,444,600
– Wadaiwa wasiolipa Sh.196,849,378
3.3 Halmashauri zilizopewa hati zenye shaka
Kama nilivyoeleza, aina hii ya hati hutolewa wakati
nisipokubaliana na menejimenti au kukwazwa kwa mawanda ya
ukaguzi ambayo yana athari kubwa kwenye usahihi wa taarifa
za fedha. Hata hivyo, mambo haya yanaonekana kutokuwa na
athari kubwa za kimsingi juu ya uelewa na usimamizi wa
taarifa za fedha. Katika hali hii nina maoni kwamba taarifa za
fedha zinaonyesha kuwa ni sahihi isipokuwa kwa mambo
niliyoyaeleza. Katika mwaka huu wa Ukaguzi nimetoa hati
zenye shaka kwa halmashauri 24 ambazo ni 19%. Ifuatayo ni
orodha ya Halmashauri zilizopata hati zenye shaka pia na
sababu zilizosababisha kutolewa kwa hati hizo:
1.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 014– Vitabu vya kukusanyia maduhuli havikuwasilishwa kwa ukaguzi
Sh.834,608,897
– Bidhaa za thamani ya Sh.145,308,568 zilinunuliwa kwa
kutumia Ankara kifani
– Ushuru wa mabango ya matangazo ambao haukukusanywa
Sh.93,096,800
– Kutozingatia taratibu za manunuzi Sh.25,222,400
– Kazi zilizoongeka zilitolewa bila idhini ya Bodi ya Zabuni ya
Halmashauri
2.
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 011– Maduhuli yalipelekwa benki pungufu Sh.4,483,089.95
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
54
– Matumizi yaliyozidi makisio ya bajeti Sh.302,020,778
– Dosari katika mikataba ya ukusanyaji wa ushuru wa mazao
Sh.25,298,062
– Matumizi yasiyostahili yalilipwa kutoka akaunti ya Pembejeo
Sh.7,370,000
– Ucheleweshaji wa ukamilishaji wa Mradi wa umwagiliaji wa
Yavayava Sh.106,620,960
– Mishahara ililipwa kimakosa Sh.13,895,908
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.12,907,143
– Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.2,800,000
– Salio la mali za kudumu la kuanzia lilikosewa Sh.151,774,820
– Fedha za korosho zilionyeshwa kimakosa kama matumizi
katika akaunti ya mfuko mkuu wa Halmashauri Sh.72,987,306
3.
Halmashauri ya Wilaya ya Liwale 049– Kutopokelewa kwa vifaa vya hospitali vilivyolipiwa kabla
Sh.6,976,497
– Matumizi ya fedha za tahadhari bila kuonyeshwa shughuli
zilizofanywa Sh.3,837,724
– Kutowasilishwa kwa hesabu za mapato na matumizi za
akaunti ya Maendeleo
– Kandarasi ilitolewa bila ushindani wa zabuni kufanyika
Sh.8,239,000
– Kutokuwa na usahihi katika mtiririko wa fedha
4.
Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea 050– Matumizi madogo madogo ndani ya Halmashauri
yasiyodhibitiwa Sh.13,785,901
– Kukosekana kwa uthibitisho wa halimashauri ilivyo wekeza
Sh.10,000,000
– Malipo kwa wadai ambayo hayakuingizwa katika vitabu vya
Halmashauri Sh.6,631,878
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
55
– Matumizi yalionyeshwa zaidi katika taarifa za fedha
Sh.471,397,715
– Malipo yanayohusu miaka ya nyuma hayakutolewa maelezo
Shs.58,955,859
– Ulinganisho wa akaunti 3 za benki haukutolewa kwa ukaguzi
– Vifaa vyenye thamani ya Sh.79,111,680 havikuthibitishwa
– Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.5,703,946
5.
Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 051– Matumizi ambayo hayakuingizwa katika leja Sh.8,644,000
– Fedha za akaunti nyingine ziliwekwa kwenye akaunti ya
amana Sh.2,728,782,310
– Thamani ya nyumba za walimu hazikuonyeshwa katika
mizania Sh.201,000,000
– Matumizi yaliyofanyika nje ya bajeti Sh.364,001,723
6.
Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 0117– Vitabu saba (7) vya kukusanyia maduhuli havikupatikana
kwa ukaguzi.
– Hati za malipo za Sh.38,553,785 hazikuwasilishwa kwa
ukaguzi
– Nyaraka za Sh.22,482,900 hazikuambatanishwa kwenye
hati za malipo
– Maduhuli ambayo hayakupelekwa benki Shs.9,255,600
– Vifaa vya Sh.2,342,000 vilivyonunuliwa havikupokelewa
– Amana zilionyeshwa pungufu kwa Kiasi cha Sh.44,660,116
– Thamani ya Mali za kudumu zilionyeshwa zaidi katika
mizania kwa Sh.81,474,707
7.
Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 0113– Kazi zilizokuwa zinaendelea zilionyeshwa kimakosa kama
mali za kudumu Sh.259,269,744
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
56
– Malipo yaliyofanyika bila viambatisho Sh.5,596,000
– Kukosekana kwa ushahidi wa kuthibitisha matumizi ya
fedha za Miradi Sh.43,568,827
– Magari na Pikipiki hazikuonyeshwa katika rejista ya mali
za kudumu
– Wadaiwa walionyeshwa pungufu katika mtiririko wa
fedha Sh.184,185,113
8.
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega 0112– Kitabu kimoja cha kukusanyia maduhuli hakikuwasilishwa
kwa ajili ya ukaguzi
– Malipo yaliyofanyika kwa nyaraka pungufu Sh.23,297,561
– Magari 6 hayakuingizwa katika orodha ya mali za kudumu
– Hati za malipo ambazo hazikuwasilishwa kwa ajili ya ukaguzi
Sh.12,492,730
– Malipo yaliyofanyika bila kufuata mpango wa manunuzi
Sh.48,995,000
– Manunuzi yaliyofanyika zaidi ya mpango wa manunuzi
Sh.33,719,400
– Mishahara isiyolipwa ambayo haikurejeshwa hazina
Sh.26,728,882
9. Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara/Mikindani 079
– Malipo yaliyofanyika kwa nyaraka pungufu Sh.4,900,000
– Thamani ya Mali za kudumu ilionyeshwa zaidi katika
mizania kwa Sh.159,432,737.79
– Kukosekana kwa sera ya usimamizi wa wadai na
wadaiwa.
Wadaiwa wa kiasi cha Sh. 9,007,347 na wadai
Shs.5,530,743 hawakuonyeshwa katika mizania.
– Madeni ya muda mfupi yalionyeshwa zaidi kwa
Sh.15,578,437
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
57
– Mishahara iliyolipwa zaidi kwa kiasi cha Sh.3,792,810
– Posho ya kufanya kazi kwa muda wa ziada ililipwa zaidi
kwa Sh.720,000
– Huduma zilizolipiwa zenye thamani ya Shs.2,533,200
hazikupatikana
10
Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba 081– Vitabu 956 vya kukusanyia maduhuli havikuonyeshwa
kwa ajili ya ukaguzi Sh.47,581,500
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.62,633,475
– Vitabu (pass book) vyenye gharama ya Sh.6,219,600
vililipiwa lakini havikupokelewa Halimashauri
– Wadaiwa wasiolipa Sh.40,942,439
– Maduhuli ambayo hayakukusanywa Sh.170,295,650
– Kiasi cha Sh.117,610,379 kilichohamishwa kutoka Idara
moja kwenda nyingine hakikurejeshwa
– Mkopo wa Sh.750,000 usiorejeshwa haukuingizwa katika
rejista ya mikopo
– Malipo ya jumla ya Sh.21,314,000 yanayohusu miaka ya
nyuma yalilipwa katika mwaka 2006/07.
– Matumizi ambayo yangeweza kuzuilika ya matengenezo
ya gari Sh.3,750,000
– Fidia/tozo ya kiasi cha Sh. 1,960,000 hakikudaiwa toka
kwa mkandarasi
11 Mamlaya ya Mji wa Masasi 082
– Kitabu kimoja cha kukusanyia maduhuli hakikupatikana
kwa ukauguzi
– Ushuru wa huduma haukukusanywa Sh.3,236,208
– Malipo ya jumla ya Sh.1,000,000 yanayohusu miaka ya
nyuma yalilipwa katika mwaka 2006/07
– Malipo ya fidia ambayo hayakuidhinishwa Sh.9,469,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
58
12 Halmashauri ya Wilaya ya Babati 052
– Fedha za miradi zilitumika kurejesha mikopo ya benki ya
watumishi Shs.320,293,427
– Fedha za ruzuku kwa ajili ya miradi ya shule za msingi
zililipwa pungufu kwa Sh.44,399,700
– Nakisi katika mizania ilionyesha pungufu kwa Sh.45,484,438
– Akaunti ya amana ilionyeshwa zaidi kwa Sh.201,362,073
– Masuala yaliyojitokeza katika ulinganisho wa hesabu za kibenki
hayakushughulikiwa Sh.197,656,886
– Fedha za ruzuku na maendeleo za Serikali za Mitaa
zilihamishwa kinyume na sheria kwenda katika akaunti
nyingine Sh.66,124,356
– Kiasi cha Sh.10,629,200 kilitumika katika Miradi ya Sekta ya
Kilimo na Masoko badala ya Miradi ya maendeleo
– Manunuzi ya kadi na fomu za shule bila kufuata kanuni
Sh.57,181,800
13 Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro 056
– Masufuru maalum ambayo hayakurejeshwa Sh.26,055,500
– Halimashauri haikutenga fedha kwa ajili ya kulipia deni
ambalo lingeweza kujitokeza kutokana na kesi ya madai
Na. 13/2006 Sh.172,179,707
– Ruzuku ya fedha ya maendeleo na fedha za Halmashauri
ambazo hazikutumika Sh.240,627,165
– Mishahara isiyolipwa haikurejeshwa Hazina
Sh.25,797,923
– Ukarabati wa vituo vya Afya na Zahanati ambao
haukuthibitishwa kufanyika Sh.75,200,000
14 Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji 039
– Matumizi yaliyofanywa bila hati za malipo na yenye
nyaraka pungufu Sh.12,320,672.
– Mishahara iliyolipwa kwa kutumia mikataba yenye shaka
kwa watumishi walioajiriwa kwa mudu mfupi
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
59
Sh.26,791,110
– Taarifa ya mapato na matumizi iliyorekebishwa
ilionyesha mapato zaidi kwa Sh.172,315,072 na matumizi
zaidi kwa Sh.492,592
– ulinganisho wa kibenki ulionyesha mapato yaliyoingizwa
katika benki lakini hayapo kwenye daftari ya fedha la
Halmashauri Sh.97,430,865
–
Mishahara isiyolipwa haikuwa na ushahidi wa kukatiwa
stakabadhi Sh.465,629.06
15 Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 0105
– Mchanganuo wa madeni katika mfuko wa udhamini
haukutolewa kwa ukaguzi Sh.187,947,089.20
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.7,264,422
– Uchakavu haukuonyeshwa katika taarifa ya mtiririko wa wa
fedha taslimu Sh.294,247,074.88
– Kulikuwa na tofauti ya Sh.2,860,362,016.63 kati ya jumla ya
kiasi cha fedha kilichoonyeshwa katika mizania na kile
kilichoonyeshwa katika mtiririko wa fedha taslim.
– Malipo ya kandarasi yenye shaka Sh.6,790,000
– Kutotekelezwa kwa miradi ya maendeleo Sh.90,969,000
– Kiasi cha Sh.4,341,036.65 kilichukuliwa zaidi kutoka kwenye
akaunti 3 za benki
– Tofauti katika leja na jedwali la bakaa za akaunti (trial
balance)
– Masurufu ambayo hayakurejeshwa Sh.4,300,000
– Maduhuli ambayo hayakupelekwa Halmashauri na mawakala
16 Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 0101
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
60
– Mtiririko wa fedha zilizotumika katika shughuli za uwekezaji
zilionyeshwa kwa makosa kama fedha Sh.3,021,900,358.64
– Fedha ya ruzuku kwa ajili ya Miradi ya maendeleo zilizotumika
na fedha zisizotumika kwa pamoja zimeonyeshwa kama fedha
zilizotumika katika taarifa ya mtiririko halisi wa fedha
Sh.3,021,900,358.64.
– Katika mtiririko halisi wa fedha shughuli za uendeshaji
zimeonyeshwa pungufu kwa Sh.697,429,800.18
– Vifaa vilivyonunuliwa ambavyo havikupokelewa
Sh.146,450,882
– Ukaguzi wa kushutukiza wa fedha taslimu haukufanywa na
menejimenti kinyume na matakwa ya agizo Na.170 la
Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa
– Akaunti ya masurufu ilionyeshwa pungufu kwa Sh.
5,514,000.
17 Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 0106
– Kulikuwa na tofauti kati ya bakaa katika mizania na zile
zilizoko katika jedwali la bakaa la akaunti (trial balance)
Sh.770,731,911.60
– Vifaa ambavyo havikuingizwa katika leja Sh.7,096,600
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.6,556,258
– Mishahara isiyolipwa haikurudishwa Hazina
Sh.5,412,919.16
– Kutozingatiwa kwa taratibu za manunuzi ya vifaa na
huduma Sh.2,677,000
18 Halmashauri ya Wilaya ya Maswa 0102
– Mchanganuo wa matumizi ya ziada ambao haukutolewa
kwa ukaguzi Sh.564,426,182
– Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.3,089,256
– Masuala ya miaka iliyopita ambayo hayajashughulikiwa
– Madeni ya muda mfupi ambayo hayajalipwa
Sh.6,538,764.37
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
61
– Kutokuanzishwa kwa kitengo cha usimamizi wa manunuzi
– Mikopo ambayo haijalipwa Sh.19,100,000
– Karadha zisizorejeshwa Sh.6,898,337
– Matumizi ambayo hayakuwa katika bajeti Sh.4,000,000
19 Halmashauri ya Wilaya ya Chunya 063
-Udhibiti wa mfumo wa ndani usiotosheleza katika
Halmashauri
– Vifaa vilivyolipiwa havijapokelewa Sh.52,632,000
– Matumizi ya ziada katika vifungu mbali mbali ambayo
hayakuidhinishwa Sh.831,522,338.
– Ruzuku ilionyeshwa kupokelewa zaidi Sh.70,900,443.
20 Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 064
– Malipo kwa wadai yaliyocheleweshwa hayakuonyeshwa
katika hesabu Sh.18,467,655
– Vifungu vilivyotumiwa zaidi ya bajeti Sh.250,952,667.
– Mishahara isiyolipwa iliingizwa kwa makosa kama
mapato Sh.15,545,286.
– Mishahara isiyolipwa haikurudishwa Hazina
Sh.31,444,053
– Mishahara isiyolipwa ilipelekwa benki katika akaunti isiyo
sahihi
Sh.18,319,686
-Makato ya mishahara ya watumishi yalilipiwa moja kwa
moja kutoka akaunti ya amana Sh.85,550,540.
21 Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 066
–
Madawa yaliyolipiwa lakini hayakupokelewa Sh.6,095,782
– masurufu hayakuingizwa katika rejista Sh.7,737,000
– Masuala ambayo hayajashughulikiwa katika ulinganisho
wa benki
– Fedha zilizokusanywa na kutumika kutokana na
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
62
operesheni ya kuhamisha mifugo Ihefu haikutolewa
hesabu toshelevu
22 Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi 069
– Taarifa ya mapato ilizidishwa kwa Sh.651,013,433
– thamani ya mali za muda mfupi ilionyeshwa zaidi kwa
Sh.38,191,509 katika mizania.
–
Hundi zilizochacha hazikushughulikiwa ipasavyo
Sh.89,216,322
23 Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 025
– Taarifa za fedha katika akaunti mbali mbali zilionyeshwa
kwa kutofautiana Sh.535,458,222
24 Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi 0125
–
Maduhuli yaliyokusanywa hayakupelekwa/yalipelekwa
pungufu benki Sh.3,333,760
– Kukosekana kwa taarifa zinazofafanua bakaa zilizoko
katika mizania Sh.5,774,000
– kutowasilisha makato ya kisheria Sh.53,483,738
– Taarifa ya mtiririko halisi wa fedha katika shughuli za
uendeshaji ilionyeshwa zaidi kwa Sh.61,127,082
– Thamani ya mali za kudumu katika mizania na taarifa
zinazofafanua bakaa zilizoko katika mizania
zinatofautina kwa Sh.77,189,094
– Bakaa za mwisho wa mwaka 2005/06 katika mizania
zilitofautitna na bakaa za mwanzo wa mwaka 2006/2007
katika akaunti za leja kwa Sh.153,235,000
3.4 Halmashauri zenye hati isiyoridhisha
Hati isiyoridhisha inatolewa wakati ninapoona kwamba
taarifa za fedha za Halmashuri zina makosa na kwa ujumla
wake hazijazingatia kanuni kubalifu za Uhasibu (GAAP).
Hati hii ni kinyume cha hati inayoridhisha hasa inaeleza
mambo ambayo siyo sahihi, yasiyoaminika na yenye makosa
ili kutathmini taarifa hali ya kifedha ya mkaguliwa na
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
63
matokeo ya shughuli za uendeshaji. Makosa na kutozingatia
sheria kwa mtazamo huu yanaonekana yenye athari kubwa
na za misingi zenye kuharibu uwasilishaji sahihi wa taarifa
na hali ya kifedha.
Katika mwaka huu wa ukaguzi (2006/07) hakukuwa na
Halmashauri iliyopewa hati isiyoridhisha.
3.5 Halmashauri zenye hati Hati Mbaya
Hati mbaya inaelezwa kwa ufupi kama kushindwa kutoa
maoni, inatolewa wakati siwezi kutoa maoni kuhusu taarifa
za fedha. Hii inatokea wakati ninapojaribu kufanya ukaguzi
lakini nikashindwa kukamilisha ukaguzi huo kutokana na
sababu mbalimbali zikiwemo kukwazwa kwa mawanda ya
ukaguzi ambayo ni muhimu na yana athari kubwa
yaliyosabishwa na sababu nilizoeleza hapo awali. Katika
mwaka huu wa ukaguzi, katika maeneo yaliyokaguliwa nina
furaha kueleza kwamba hakukuwa na masuala kama hayo
ya kukwazwa kwa mawanda ya ukaguzi ambayo
yangesabaisha utoaji wa Hati Mbaya.
3.6 Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha
Taaluma ya uhasibu nchini Tanzania, kwa kuungwa mkono
na Serikali imefanya uamuzi mzito wa kutumia kwa
ukamilifu Viwango vya Kimatafia vya Uhasibu (IFRS) kuanzia
1 Julai,2004. Agizo Na. 57 (iii) la Memoranda ya Fedha ya
Serikali za Mitaa ya 1997 linazitaka Mamlaka za Serikali za
Mitaa kutayarisha hesabu kwa msingi wa limbikizo au
ongezeko (accrual). Kwa hiyo ina maana kwamba taarifa za
fedha za Mamlaka za serikali za Mitaa hazina budi
kutayarishwa kwa mujibu wa kanuni kubalifu za viwango
vya utunzaji hesabu.
Kama sehemu ya ukaguzi wa Halmashauri wa taarifa za
fedha za Halmashauri kwa 2006/07 tulifanya tathmini ya
mchakato wa utayarishaji wa taarifa za fedha.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
64
Utayarishaji wa taarifa za fedha kwa kuzingatia viwango na
maelekezo sahihi ni nguzo muhimu ya dhana ya uwajibikaji.
Hii inakubalika katika sekta binafsi na sekta ya Umma
ambayo inaashiria uthabiti wa usimamizi wa fedha katika
Taasisi ambapo ikiwa ni kukamilisha utayarishaji wa taarifa
za mwaka za fedha.
Tathmini na uchambuzi wa taarifa za fedha za Mamlaka za
Serikali za Mitaa katika mwaka huu wa ukaguzi tuligundua
mapungufu na kuwepo mtiririko tofauti wa fedha hali
iliyochangia kuwapotosha wasomaji wa taarifa hizi. Moja
ya mapungufu yaliyolipotiwa katika taarifa hizo ni:
3.6.1 Utayarishaji na uwasilishaji wa taarifa za fedha kwa
madhumuni ya ukaguzi
Memoranda ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa
(1997) inatoa jukumu kwa Menejimenti ya Halmashauri
kutayarisha taarifa za fedha kwa kutumia kanuni kubalifu
za Uhasibu na kuziwasilisha kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali kupitia Kamati ya Fedha katika
kipindi cha miezi mitatu mara baada ya kufungwa kwa
mwaka wa fedha (30 Septemba).
Halmashauri 124 (100%) ziliwasilisha taarifa za mwaka za
fedha ilipofika 30 Septemba, 2007 ambayo ni tarehe ya
kisheria. Hata hivyo Halmashauri 15 kama zilivyoonyeshwa
kwenye jedwali hapa chini ziliondoa taarifa zao na
kuwasilisha taarifa za fedha zilizorekebishwa kati ya
Novemba na Januari, 2008 na kuacha Halmashauri 109
zikizingatia uwasilishaji wa hesabu kwa mujibu wa Sheria.
Uwiano wa asilimia wa Halmashauri zilizozingatia
uwasilishaji wa taarifa za fedha kwa wakati uliongezeka
kutoka 97% hadi 100% za mwaka uliopita. Hata hivyo idadi ya
Halmashauri zilizoondoa taarifa zao za fedha na kuwasilisha
taarifa zilizorekebishwa ziliongezeka kutoka 8 katika mwaka
2005/06 hadi 15 katika mwaka 2006/07. Kwa hiyo Halmashauri
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
65
109 (88%) zimewasilisha taarifa zao za fedha kwa mujibu wa
Sheria.
Jedwali: Uwasilishaji wa taarifa za fedha za Mamlaka za
Serikali za
Mitaa 2006/2007
Na Halmashauri Tarehe ya
kuwasilisha taarifa
za fedha
zilizorekebishwa
1. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 26.11.2007
2. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 24.1.2008
3. Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 12.1.2008
4. Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 27.12.2007
5. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 20.11.2007
6. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 08.02.2008
7. Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 29.12.2007
8. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma 4.12.2007
9. Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 12.12.2007
10. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 16.12.2007
11. Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 21.1.2008
12. Halmashauri ya Manispaa Iringa 2.1.2008
13. Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 21.12.2007
14. Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 31.12.2007
15. Halmashauri ya Manispaa
Kigoma/Ujiji
26.11.2007
Halmashauri 4 zifuatazo zilichelewesha uwasilishaji wa
taarifa zao kwa miaka 2 mfululizo
1. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 11/12/2006
2. Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 7/12/2006
3. Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 19/11/2006
4. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 16/12/2006
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
66
Taarifa zilizoondolewa ni kutokana na sababu mbali mbali
miongoni mwao zikiwa ni:
•
Kukosekana kwa taarifa linganishi
•
Kutokamilika kwa taarifa za fedha
•
Kutowasilishwa taarifa zinazofafanua majedwali
•
Mabadiliko ya taarifa muhimu katika taarifa za fedha
kutokana na matokeo ya ukaguzi yaliyohojiwa na
wakaguzi
•
Utoaji wa maelezo usio sahihi kuhusu sera za
utayarishaji wa hesabu kama vile viwango vya
uchakavu
3.6.2 Uwasilishaji wa taarifa za fedha usio sahihi
Taarifa za fedha za baadhi ya Halmashauri ziliwasilishwa
bila kuonyesha hesabu linganifu hali iliyosababisha kushindwa
kupata ulinganisho wenye maana wa mwaka uliopita.
Taarifa za fedha za Mamlaka mbalimbali za Serikali za
Mitaa zimewasilishwa bila hesabu linganishi iliyosababisha
kushindwa kupata ulinganishao wenye maana na utendaji
wa mwaka uliopita. Kwa upande mwingine, taarifa za
fedha nyingi zilizowasilishwa zimekuwa na makosa mengi
ya msingi kama salio la kuanzia lililosababisha taarifa hizo
kupotosha.
3.6.3 Hesabu zenye makosa zimeripotiwa katika taarifa
jumuifu za fedha:
Taarifa nyingi za fedha zilizowasilishwa na Mamlaka za
Serikali za Mitaa kama mapato na matumizi na taarifa ya
mtiririko wa fedha hazikuwa na majedwali na maelezo ya
ufafanuzi. Katika hali hiyo, taarifa hizi za fedha
zimeonekana kutokamilika.
3.6.4 Utoaji taarifa kwa sahihi wa thamani ya uchakavu.
Taarifa za Fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa
mbalimbali hazikujumuisha vipengele vya kupunguza
uchakavu.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
67
3.6.5 Kutokuwepo kwa Rasilimali za Kudumu katika Mizania
Taarifa za Fedha za Mamlaka nyingi za Serikali za Mitaa
hazikujumuisha rasilimali za kudumu. Aidha Mamlaka za
Serikali za Mitaa nyingi hazikuweka rejista za rasilimali za
kudumu kwa mujibu wa Sheria na wakati mwingine pale
ambapo rejista ya rasilimali za kudumu zipo, haikuwa ya
hivi karibuni.
3.6.6 Utoaji usiofaa na usiolingana wa sera za utunzaji hesabu
Agizo Na. 57 la Memoranda ya Fedha ya Mamlaka za Serikali
za Mitaa (1997) linazitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa
kueleza sera za utunzaji hesabu walizotumia katika
utayarishaji wa taarifa za fedha. Mamlaka za Serikali za
Mitaa nyingi zilizotoa taarifa zimekiuka agizo hili.
3.6.7 Utoaji Taarifa zenye makosa za salio la fedha Benki
Katika baadhi ya matukio, mizania za mamlaka za Serikali
za Mitaa zimeonyesha madeni katika akaunti za benki hali
iliyoashiria kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zimetumia
fedha zaidi ya walizoweka benki kinyume na Agizo Na.156
la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mtaa (1997).
3.6.8 Kuonyesha kwa makosa matumizi ya mtaji/maendeleo
kama matumizi ya kawaida
Wakati mwingine, matumizi ya mtaji yaliyofanywa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa yalifanywa kuwa matumizi ya
kawaida kwa makosa. Kwa hali hiyo, matumizi ya kawaida
yaliongezwa na matokeo yake ni kwamba ziada
zilizoripotiwa zilikuwa pungufu.
3.6.9 Hesabu za taarifa za mtiririko wa fedha
Katika taarifa nyingi za fedha za Mamlaka za Serikali za
Mitaa zilizokaguliwa, hesabu zilizoripotiwa katika taarifa za
mtiririko wa fedha hazikulinganishwa na hesabu katika
Mizania na hivyo kufanya iwe vigumu kuelewa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
68
Udhaifu uliongunduliwa katika Halmashauri umeonyeshwa kwa
ufupi kama ifuatavyo:
Na Halmashauri
Udhaifu uliogunduliwa Kiasi Sh.1. Halmashauri ya
Wilaya ya Iringa
•
Kiasi kilichoonyeshwa
kama ziada
kilizidishwa
•
Salio la fedha benki
lilioonyeshwa
pungungu
152,158,985
11,751,177
2. Halmashauri ya
Manispaa ya
Kigoma/Ujiji
•
Kiasi kilichoonyeshwa
kama ziada
kilizidishwa
•
Bakaa ya kuanzia
haikuonyeshwa
172,315,012
75,789,260
3. Halmashauri ya
Wilaya ya
Kasulu
•
Kiasi kilichoonyeshwa
kama mapato
kilizidishwa
•
Kiasi kilichoonyeshwa
kama wadaiwa katika
mizania kilipunguzwa
•
Taarifa ya matumizi
ya Fedha za
Maendeleo
hazikutayarishwa
kama inavyostahili
77,674,426
62,575,323
–
4. Halmashauri ya
Wilaya ya
Misungwi
•
Ziada iliyolimbikizwa
ilionyeshwa zaidi.
•
Kulikuwa na tofauti
kati ya bakaa ya
kuanzia na bakaa
katika mizania na
masualaya kufafanua
majedwali.
105,495,078
178,038,690
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
69
5. Halmashauri ya
Wilaya ya
Urambo
•
Thamani ya mali za
kudumu ilionyeshwa
zaidi
•
Kiasi cha mapato
kilionyeshwa pungufu
•
Bakaa za amana
zilionyeshwa pungufu
•
Kiasi cha fedha
kutoka shughuli za
uendeshaji
kilichoonyeshwa zaidi
katika taarifa ya
mtiririko fedha.
81,474,707
299,465,727
44,660,116
1,185,064,758
6. Halmashauri ya
Wilaya ya
Bagamoyo
Kiasi cha uchakavu
kilionyeshwa zaidi.
8,411,469
7. Halmashauri ya
Wilaya ya Mbozi
Jumla ya maduhuli
imeonyeshwa zaidi
651,013,433
8. Halmashauri ya
Wilaya ya
Shinyanga
Kutofautiana kwa bakaa
zilizoonyeshwa katika
jedwali la bakaa za akaunti
(trial balance) na
zilizoonyeshwa katika
taarifa ya mapato na
matumizi
2,426,000
9. Halmashauri ya
Wilaya ya
Kishapu
Kutofautiana kwa kiasi cha
fedha za maendeleo
zilizotumika
kilichoonyeshwa katika
mizania na kile
kilichoonyeshwa katika
jedwali la bakaa za akaunti
(trial balance)
770,731,912
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
70
Kiasi kilichonyeshwa kama
matumizi katika taarifa ya
mapato na matumizi
kilitofautiana na kile
kilichoonyeshwa katika
majedwali yanayofafanua
taarifa hiyo
10. Halmashauri ya 100,000,000
Wilaya ya Moshi
•
Sera ya uchakavu,
kiwango na utaratibu
uliotumika kupata
thamani ya uchakavu
haukuonyeshwa
•
Hesabu ya kupata
thamani ya ya uchakavu
haikufanyika
11. Halmashauri ya
Wilaya ya Kiteto
Makosa katika jumla ya
matumizi
20,562,000
12. Halmashauri ya
Wilaya ya Meatu
Kutofautiana kwa jumla ya
wadaiwa walioonyeshwa
katika majedwali
yanayofafanua taarifa
zilizoko katika mizania.
60,683,707
13. Halmashauri ya
Wilaya ya
Monduli
•
Kutofautiana kwa kiasi
kilichoonyeshwa katika
taarifa za fedha
•
Kiasi cha uchakavu
kilionyeshwa pungufu
•
Bakaa halisi ya mali za
muda mfupi
.
•
Taarifa ya mapato na
matumizi ilitayarishwa
bila kuzingatia
matakwa ya muundo
kama inavyotakiwa
katika kitabu cha
mwongozo cha Mamlaka
–
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
71
za Serikali za Mitaa au
viwango vya kimataifa
vya kutayarisha taarifa
za fedha.
•
Kukosekana kwa
tarakimu linganishi
•
Misingi na kanuni za
uhasibu zilizotumika
katika kuandaa hesabu
hazikuelezwa
14. Halmashauri ya
Wilaya ya Babati
•
Jumla ya madeni ya
muda mfupi
yalionyeshwa
kimakosa
•
Jumla ya mali za
muda mfupi
zilionyeshwa
kimakosa
•
Nakisi mwisho wa
mwaka ilionyeshwa
pungufu
2,680,600
27,340,604
45,484,438
15. Halmashauri ya
Wilaya ya
Mkuranga
Kiasi cha ziada mwisho wa
mwaka kilionyeshwa
pungufu
530,556,470
16. Halmashauri ya
Wilaya ya
Mpwapwa
Maduhuli yatokanayo na
vyanzo vya ndani
yalionyeshwa pungufu
1,252,572
17. Halmashauri ya
Wilaya ya Kilolo
Wadai walionyeshwa
pungufu.
2,624,765
18. Halmashauri ya
Manispaa ya
Mtwara
Mikindani
Wadaiwa
hawakujumuishwa katika
mizania
Wadai hawakujumuishwa
katika mizania
9,007,347
14,538,091
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
72
19. Halmashauri ya
Mji wa Kondoa
Salio la fedha taslimu na
benki zilionyeshwa pungufu
918,334
20. Halmashauri ya
Wilaya ya Lindi
Matumizi yalionyeshwa
pungufu
8,644,000
21. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ruangwa
Wadaiwa walionyeshwa
pungufu
3,326,380
22. Halmashauri ya
Wilaya ya Babati
Kiasi kilichonyeshwa kama
nakisi kilionyeshwa
pungufu
45,484,438
23. Halmashauri ya
Wilaya ya
Handeni
Ruzuku ilionyeshwa
pungufu
10,841,268
24. Halmashauri ya
Wilaya ya
Singida
Kiasi kilichoonyeshwa kama
wadai kilikuwa pungufu
6,700,000
25. Halmashauri ya
Wilaya ya
Hanang
Salio la fedha taslimu
lilikuwa pungufu
7,673,601
26. Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi
Shughuli zilizokuwa na
athari katika mizania
baada ya kufunga mwaka
hazikuonyeshwa
316,790,000
Wadai walionyeshwa
pungufu
27. Halmashauri ya 24,496,814
Wilaya ya
Kisarawe
Wadaiwa walionyeshwa
pungufu.
17,917,462
28. Halmashauri ya
Wilaya Bunda
Majedwali
yanayochanganua madeni
ya muda mfupi katika
mizania hayakuandaliwa na
kuwasilishwa pamoja na
taarifa za fedha
55,007,281
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
73
29. Halmashauri ya
Wilaya Igunga
Bakaa linganifu katika
mizania lilikosewa
129,932,413
30.
Halmashauri ya
Wilaya Ileje
Maduhuli kutoka vyanzo
vya ndani yalionyeshwa
pungufu
31,648,717
31. Halmashauri ya
Wilaya Kilosa
Taarifa za matumizi ya
maendeleo zilikosa
maelezo muhimu kama vile
bakaa ya miaka iliyopita na
kiasi cha fedha
kilichopokelewa
hakikuonyeshwa.
–
32. Halmashauri ya
Manispaa ya
Musoma
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo ilikosekana.
–
33. Halmashauri ya
wilaya ya Liwale
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo ilikosekana.
–
34. Halmashauri ya
wilaya ya
Kongwa
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo haikuandaliwa
katika muundo
unaotakiwa.
–
35. Halmashauri ya
wilaya ya
Morogoro
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo haikuonyesha
bakaa ya kuanzia na fedha
zilizopokelewa katika
mwaka 2006/07.
–
36.
Halmashauri ya
manispaa ya
Dodoma
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo ilikosekana
–
–
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
74
37. Halmashauri ya
wilaya ya
Chunya
Taarifa ya mapato na
matumizi ya fedha za
maendeleo haikuonyesha
shughuli zilizotekelezwa na
na gharama zake
–
38. Halmashauri ya
wilaya ya
Nachingwea
Matumizi yalionyeshwa
zaidi
Fedha za ruzuku
hazikuonyeshwa katika
taarifa za fedha
471,397,715
152,000,000
39. Halmashauri ya
wilaya ya Kilindi
Kiasi cha fedha kutoka
shughuli za uendeshaji
kilichonyeshwa zaidi katika
taarifa ya mtiririko fedha
Ziada iliyotokana na
tathmini ya mali za
kudumu na fedha za
maendeleo zilizotumika
iliyoonyeshwa zaidi katika
mizania
Kukosekana kwa tarakimu
linganishi katika taarifa ya
mtiririko wa fedha
61,127,082
153,235,000
–
Ili kuhakikisha kwamba taarifa muhimu za fedha
zinatayarishwa na kutangazwa kwa wakati, Halmashauri
zinatakiwa kuweka udhibiti maalum katika mchakato wa
uandaaji wa hesabu za mwaka. Udhibiti huo unalenga
kuhakikisha kwamba kumbukumbu sahihi zinapatikana
pamoja na taratibu za kuaminika zinawekwa katika
upatikanaji wa taarifa sahihi za hesabu. Mapendekezo
mengine ni kama ifuatavyo:
•
Kuboresha utunzaji wa kumbukumbu zinazotumika
kuandaa taarifa za fedha
•
Kuboresha utaratibu wa kutengeneza taarifa za fedha
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
75
•
Kuajiri watumishi wanaostahili katika maeneo
yanayohusika na uandaaji taarifa za fedha
•
Kufanya tathmini ya mapungufu yaliyopo katika
mfumo wa kutambua mapato na matumizi kabla ya
fedha halisi kupokelewa au kulipwa na kuyarekebisha
•
Kuwa na ratiba inayofaa kwa ajili ya kuandaa taarifa
za fedha
•
Kuwashirikisha wataalamu wa masuala ya fedha
kutoka katika Mradi wa Maboresho ya Serikali za Mitaa
katika kupitia ubora, ukamilifu na ukubalifu wa
kumbukumbu na muundo wa taarifa za fedha za
Halmashauri.
3.7 Utekelezaji wa matumizi ya Mfumo funganifu wa
usimamizi wa fedha(IFMS)
Katika taarifa ya mwaka ya tathmini ya vigezo vya kupata
zuruku ya maendeleo kwa Halmashauri (LGCDG) na
viashiria vya utendaji katika Halmashauri iliyotolewa Aprili,
2007 ilieleza kwamba matumizi ya Mfumo Funganifu wa
Usimamizi wa Fedha (IFMS) umetekelezwa katika Halmashauri
72 zilizofanyiwa tathmini. Halmashauri ishirini na sita
zilitekeleza matumizi ya mfumo huo na arobaini na sita
hazikuteleza ingawa Halmashauri ziliandaliwa kwa matumizi ya
mfumo huo.
Ukaguzi wa utekelezaji wa matumizi ya mfumo huo katika
Halmashauri 13 umeonyesha kama ifuatavyo:
Na Halmashauri Matokeo ya Ukaguzi
1 Halmashauri ya
Wilaya ya
Nzega
•
Mfumo wa kudhibiti madai ambayo
hayajalipwa haujaanza kutumika
•
Kukosekana kwa ujuzi wa
watumiaji wa mfumo ambao
hawakupata mafunzo
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
76
kutumia mfumo wa matumizi ya
Mfumo funganifu wa usimamizi wa
fedha
2 Halmashauri ya
Wilaya ya
Igunga
•
Idhini inayoruhusu kuandaliwa kwa
hati ya malipo haionyeshi kasma ya
matumizi hivyo kusababisha
matumizi kutoingizwa kwa usahihi
katika vitabu.
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia mfumo wa matumizi ya
Mfumo funganifu wa usimamizi
wa fedha
3 Halmashauri ya
Wilaya ya
Sikonge
•
Ucheleweshaji wa kuingiza makisio ya
bajeti katika mfumo wa
wa
usimamizi wa fedha
•
Kukosekana kwa ujuzi wa
watumiaji wa mfumo ambao
hawakupata mafunzo
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia mfumo wa Mfumo
funganifu wa usimamizi wa fedha
4 Halmashauri ya
Wilaya ya
Urambo
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia mfumo wa Mfumo
funganifu wa usimamizi wa fedha
•
Kukosekana kwa ujuzi wa
watumiaji wa mfumo ambao
hawakupata mafunzo
5 Halmashauri ya
Manispaa ya
Tabora
•
Hundi haziandikwa kwa kutumia
mfumo funganifu wa usimamizi wa
fedha. Kasma za matumizi ambayo
hayajalipiwa hazipo
•
Mali za kudumu hazijaingizwa
kwenye mfumo
•
Hakuna Jenereta ya tahadhari ili
kuendesha mfumo wakati umeme
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
77
umekatika
•
Watumishi zaidi wanahitaji
kufundishwa matumizi ya mfumo
6 Halmashauri ya
Wilaya ya Tabora
•
Makisio ya bajeti hayajaingizwa
katika mfumo
funganifu wa
usimamizi wa fedha
•
Kasma za matumizi ambayo
hayajalipiwa hazipo
7 Halmashauri ya
Wilaya ya Rungwe
•
Halmashauri haijaanza kutumia
mfumo pamoja na kwamba baadhi
ya watumishi walifundishwa
matumizi ya mfumo
8 Halmashauri ya
Manispaa ya
Mtwara/Mikindani
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia Mfumo funganifu wa
usimamizi wa usimamizi wa fedha
9 Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia Mfumo funganifu wa
usimamizi wa fedha
10 Halmashauri ya
Manispaa ya
Singida
•
Taarifa za hesabu za mwaka bado
zinaendelea kutengenezwa bila
kutumia Mfumo funganifu wa
usimamizi wa fedha
•
Kukosekana kwa ujuzi wa
watumiaji wa mfumo .
•
Hakuna Jenereta ya tahadhari ili
kuendesha mfumo wakati umeme
umekatika
11 Halmashauri ya
Wilaya ya Mbinga
•
Pamoja na kwamba mfumo wa
IFMS ulianza kutumika 2005/2006
lakini hesabu za Halmashauri
haziandaliwi kwa kutumia mfumo
huo.
12 Halmashauri ya
Manispaa ya
Dodoma
•
Watumishi watatu kati ya saba
waliopo kitengo cha uhasibu ndiyo
waliopata mafunzo ya kutumia
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
78
mfumo wa IFMS
•
Mfumo hautoi jedwali la bakaa za
akaunti (trial balance) na taarifa
ya mtiririko halisi wa fedha
•
Mali za kudumu hazijaingizwa
kwenye mfumo
13 Halmashauri ya
Wilaya ya
Tunduru
•
Pamoja na kwamba Mfumo
funganifu wa usimamizi wa fedha
ulianza kutumika 2005/2006 lakini
hesabu za Halmashauri
haziandaliwi kwa kutumia mfumo
huo.
Inashauriwa kwamba Mhasibu Mkuu wa Serikali na Wizara
ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kutoa mafunzo ya kila
wakati kwa watumiaji wa mfumo ili kuhakikisha kwamba wanao
ujuzi wa kutosha kutumia Mfumo Funganifu wa Usimamizi
Fedha. Pia mfumo huu utumike kwenye Halmashauri zote kwa
ukamilifu.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
79
SURA YA 4
4.0 USIMAMIZI WA FEDHA NA MALI ZA KUDUMU KATIKA
MAMLAKA YA SERIKALI ZA MITAA
4.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi kwa
miaka iliyopita katika Halmashauri
Katika mwaka 2006/07 mapendekezo mbali mbali
yametolewa na wakaguzi kuhusu masuala muhimu
yaliyojitokeza katika ukaguzi uliofanyika miaka iliyopita.
Halmashauri nyingi zimeonyesha juhudi ya kutekeleza maoni
ya wakaguzi . Hata hivyo Halmashauri 52 zilikuwa hazijatekeleza
masuala yaliyopita yanayofikia kiwango cha Sh.4,643,565,831,
Halmashauri ya Wilaya ya Musoma ndiyo ilikuwa na kiwango
kikubwa zaidi cha Sh.463,074,416 ikifuatiwa na Halmashauri ya
Manispaa Kinondoni ikiwa na Sh.460,962,403 na
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ndiyo iliyokuwa na kiwango
cha chini zaidi cha Sh.820,000. Tumekuwa tukitoa taarifa za
ukaguzi na mapendekezo ili kuziwezesha Halmashauri
kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza haraka ili kuboresha
mfumo wa uthibiti wa ndani na usimamizi wa rasilimali za
Halmashauri.
Hulka ya kutoshughulikia taarifa ya ukaguzi na
mapendekezo inaweza kusababisha kujirudia kwa dosari
zilizojitokeza katika miaka ijayo. Hali hii inaonyesha
kutokuwepo kwa umakini na uwajibikaji wa kutosha kwa
Maafisa Masuuli na menejimenti za Halmashauri.
4.1.1 Ulinganisho kwa ufupi wa mambo yasiyoshughulikiwa
kwa mwaka 2005/06 na 2006/07 ni kama ilivyo katika jedwali
hapa chini
Mwaka Kiasi
kisichoshughulikiwa
(TSh)
Idadi ya
Halmashauri
2005/2006 9,035,355,267 65
2006/2007 4,643,565,831 52
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
80
Matokeo yanayoonekana hapo juu yanaonyesha kwamba
thamani ya masuala yasiyoshughulikiwa kwa mwaka wa ukaguzi
2005/06 yalikuwa Sh.9,035,355,267 yaliyohusisha Halmashauri
65. Katika mwaka 2006/07 masuala yasiyoshughulikiwa ya
kipindi cha nyuma yalipungua kutoka Halmashauri 65 hadi 52
yakihusisha Sh. 4,643,565,831. Hii inaonyesha kuwa,
menejimenti za Halmashauri zimefanya juhudi katika
kuyafanyia kazi maoni ya ukaguzi. Kiambatisho Na.6 cha
ripoti hii kinaonyesha kwa undani Halmashauri na kiasi cha
mambo yasiyoshughulikiwa.
4.2 Usimamizi wa Fedha
Usimamizi wa fedha kwa ujumla unahusisha makusanyo na
mapokezi ya fedha za Umma na pia usimamizi wa akaunti
za benki za Halmashauri.
Agizo Na.68 la Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa ya
mwaka (1997) linamtaka Mweka Hazina wa Halmashauri
kuhakikisha kwamba ulinganifu wa kibenki, ikijumuisha
udhibiti kati ya daftari la fedha na hesabu za benki
unafanyika kila mwezi. Kwa mwaka 2006/07 Halmashauri
48 hazikuzingatia agizo hili, hali hii ilichangia kuwepo kwa
kiwango kikubwa cha mambo yasiyosuluhishwa katika
ulinganifu wa kibenki, kama ifuatavyo:
•
Jumla ya Sh.362,220,923 zilionekana kuingizwa
kwenye daftari za fedha za Halmashauri lakini
hazikuonekana katika taarifa za benki. Haya ni
mapungufu makubwa ambayo yanaweza kusababisha
matumizi mabaya ya fedha kwa kutokuwa na ushahidi
wa uhakiki wa ulinganisho wa taarifa za kibenki.
•
Jumla ya Sh.4,913,727,424 zinazohusiana na hundi
zilizotolewa kwa watu mbalimbali lakini
hazikupelekwa benki mpaka mwisho wa mwaka wa
fedha tarehe 30 Juni, 2007.
•
Jumla ya Sh.1,277,787,933 zilionyeshwa kama fedha
zisizopelekwa benki. Hakukuwa na jitihada
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
81
zilizoonyesha kuhakikisha kwamba fedha ambazo
hazikupelekwa benki zimepelekwa benki
•
Kiasi cha Sh.360,510,539 kilionekana kama malipo
katika taarifa za benki lakini hakikuonekana kama
malipo katika daftari la fedha la Halmashauri
•
Jumla ya sh.489,624,271 zilikusanywa na benki kwa
niaba ya Halmashauri bila kuonekana katika daftari la
fedha la Halmashauri kama mapokezi
4.2.1
Kwa ufupi masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho wa
kibenki kwa mwaka 2005/06 na 2006/07 ni kama yalivyo katika
jedwali hapa chini:
Mwaka Mapokezi
katika daftari
la fedha
lakini hayapo
katika taarifa
za benki
Hundi
ambazo
hazikupele
kwa benki
Fedha
ambayo
haijaingizwa
katika
akaunti ya
Halmashauri
Malipo katika
benki ambayo
hayajaingizw
a katika
daftari la
fedha
Mapato
yaliyoingia
benki
hayakuoneka
katika daftari
la fedha
2005/2006 2,134,727,296 10,017,811,4
77
1,296,598,779 472,040,548 684,390,554
2006/2007 392,220,923 4,913,727,46
4
1,277,787,933 360,510,539 489,624,271
•
Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapokezi
katika daftari la fedha lakini hayapo katika taarifa za
benki kwa mwaka 2005/06 yalikuwa Sh.2,134,727,296
wakati mwaka 2006/07 zilikuwa Sh.392,220,923.
•
Hundi zilizolipwa kwa watu mbali mbali lakini
hazikuwasilishwa benki kwa mwaka 2005/06 zilikuwa
Sh.10,017,811,477 wakati mwaka 2006/07 zilikuwa
Sh.4,913,727,464.
•
Fedha zisizopelekwa benki katika mwaka 2005/06
zilikuwa
Sh.1, 296,598,779 wakati kwa mwaka 2006/07
zilikuwa Sh.1,277,787,933.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
82
•
Jumla ya Sh.360,510,539 zililipwa na benki kutoka
akaunti za Halmashauri lakini malipo hayo hayakuingizwa
katika daftari za fedha za Halmashauri kwa mwaka
2006/07 wakati malipo ya aina hiyo kwa mwaka 2005/06
yalikuwa Sh.472,040,548.
Jumla ya Sh.489,624,271 yalikuwa ni mapato katika taarifa za
benki lakini hayakuonekana katika daftari za fedha kwa mwaka
2006/07. Kwa mwaka 2005/06 mapato ya aina hiyo yalikuwa
Sh.684,390,554.
Mchanganuo wa masuala yasiyosuluhishwa katika taarifa za
benki yameonyeshwa katika kiambatisho Na.5 cha ripoti hii.
4.3 Usimamizi wa mali za kudumu
Uhakiki wa usimamizi wa mali ulihusisha ununuzi, utoaji na
kuweka katika taarifa mali za kudumu.
Utunzaji wa rejista ya mali za kudumu unahusisha taarifa
kuhusu thamani ya mali ya kudumu, namna mali ya kudumu
ilivyopatikana au maelezo kuhusu uhamisho na utoaji wa
mali ya kudumu, uchakavu na ulinganisho kwa kuhesabu mali
kila wakati ni msingi wa namna bora ya usimamizi wa mali za
kudumu.
Mali za kudumu zinazomilikiwa na Mamlaka ya Serikali za
Mitaa zimegawanya katika magari, mitambo, vifaa, majengo na
ardhi.
Ukaguzi wa taratibu na udhibiti wa mali za kudumu katika
Mamlaka za Halmashauri za Serikali za Mitaa ulionyesha mambo
yafuatayo:
•
Mali zilizofutwa ziliendelea kuonyeshwa katika rejista
na majedwali ya mali
•
Rejista ya mali haikuonyesha mali zote zinazomilikiwa
na Halmashauri. Aidha menejimenti za Halmashauri
hazifanyi mapitio au kukagua rejista. Uhakiki huu
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
83
utaisadia menejimenti za Halmashauri kujua na
kuelewa aina, idadi na hali za mali za kudumu.
•
Mali zilizofutwa hazikutolewa maelezo ya kutosha
•
Thamani ya mali kama zilivyoonyeshwa katika taarifa
za fedha, majedwali na rejista zilitofatiana.
•
Hati miliki za mali zinazo milikiwa na Halmashauri
hazikuonyeshwa wakati wa ukaguzi
Mapungufu yaliyoorodheshwa hapo juu kuhusu usimamizi wa mali
za kudumu yameonyeshwa kwa kina kama ifuatavyo:
Na. Halmashauri Kiasi Sh. Matokeo ya ukaguzi
1. Halmashauri ya
Mji wa Kibaha
352,278,162 Gari la zimamoto ambalo
halijapokelewa
lilijumuishwa katika
jedwali la mali za
kudumu
2. Halmashauri ya
Manispaa ya
Tabora
11,909,054 Nyumba 10 zilizouzwa
zilionyeshwa katika
mizania
3. Halmashauri ya
Wilaya ya
Kahama
12,097,219 Lori aina ya Isuzu
lisilotumika lilionyeshwa
katika mali za kudumu
4. Halmashauri ya
Manispaa ya
Mtwara Mikindani
159,432,738 Thamani ya mali
zilionyeshwa zaidi katika
vitabu
5. Halmashauri ya
Wilaya ya Liwale
6,000,000 Thamani ya majengo
ilionyeshwa pungufu
6. Halmashauri ya
Wilaya ya
Urambo
81,474,707 Thamani ya majengo,
ardhi na magari
ilionyeshwa zaidi
7. Halmashauri ya
Wilaya ya
Sikonge
259,269,744
52,099,179
Thamani ya mali za
kudumu zilionyeshwa
zaidi
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
84
Magari yanayomilikiwa
na Halmashauri
hayakuwa na kadi za
umiliki au hati za
kupokelea.
8 Halmashauri ya
Wilaya ya Lindi
2,962,000 Viyoyozi
havikuonyeshwa kwenye
vitabu
9. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ruangwa
219,000,000
59,271,818
Madarasa na nyumba za
walimu hazikuonyeshwa
kwenye vitabu
Madaraja
hayakuonyeshwa katika
hesabu
10. Halmashauri ya
Wilaya ya
Tabora
97,461,240 Thamani ya magari
hayakujumuishwa katika
mizania
11. Halmashauri ya
Manispaa ya
Shinyanga
391,406,700 Mali za kudumu
hazikuonyeshwa katika
mizania
12. Halmashauri ya
Wilaya ya
Mkuranga
120,248,961 Thamani ya mali za
kudumu ilionyeshwa
pungufu
13 Halmashauri ya
Wilaya ya Liwale
6,000,000 Thamani ya majengo
ilionyeshwa pungufu
14. Halmashauri ya
Manispaa ya
Arusha
317,415,428 Thamani ya magari
yaliyonunuliwa kwa
mwaka huu haikuwa
sahihi
15. Halmashauri ya
Wilaya ya Nzega
20,424,632 Magari, mitambo
yaliyoharibika na
yasiyotumika kwa miaka
2 hadi 10 hayajafutwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
85
16. Halmashauri ya
Wilaya ya
Rungwe
139,037,500 Hesabu ya mali
zilizofutwa hazikuletwa
kwa ukaguzi
17. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ngara
10,869,371 Magari 7 , 2 yakiwa na
thamani iliyoonyeshwa
yameharibika na
hayatumiki kwa muda
mrefu
18. Halmashauri ya
Wilaya ya
Karagwe
104,176,999 Magari 9 yakiwa na
thamani iliyoonyeshwa
yameharibika na
hayatumiki kwa muda
mrefu
19 Halmashauri ya
Wilaya ya
Igunga
34,621,353 Magari 2 yameegeshwa
kwa zaidi ya mwaka kwa
sababu ya gharama
kubwa ya matengenezo.
20 Halmashauri ya
Wilaya ya
Kibondo
81,128,309 Thamani ya mali za
kudumu zilizoonyeshwa
katika mizania na
jedwali la mali
inatofautiana
21. Halmashauri ya
Wilaya ya
Lindi
3,505,000 Thamani ya mali za
kudumu zilizoonyeshwa
katika mizania na
jedwali la mali
inatofautiana
22. Halmashauri ya
Wilaya ya
Misungwi
96,931,630
81,107,060
Thamani ya mitambo
iliyoonyeshwa katika
mizania na jedwali la
mali inatofautiana
Thamani ya ardhi
iliyoonyeshwa katika
mizania na jedwali la
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
86
mali inatofautiana
23. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ruangwa
2,739,145 Thamani ya uchakavu
ilionyeshwa pungufu
24. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ludewa
2,191,496 Thamani ya uchakavu
ilionyeshwa katika
mtiririko wa fedha na
taarifa ya mapato na
matumizi vinatofautiana
25. Halmashauri ya
Wilaya ya
Mpwapwa
3,222,387,260 Hati miliki inakosekana
26. Halmashauri ya
Wilaya ya
Dodoma
361,640,048 Hati miliki inakosekana
27. Halmashauri ya
Manispaa ya
Dodoma
2,606,716,146 Hati miliki inakosekana
28. Halmashauri ya
Mji wa Lindi
7,039,741,909 Ushahidi wa
uthaminishaji mali
haukuonekana
29. Halmashauri ya
Mji wa Kibaha
–
•Taarifa ya mali za
kudumu ilionyeshwa
kwa kuzingatia
viwango vya kuripoti
taarifa za fedha
(IFRs) na mwongozo
wa uhasibu wa
Serikali za Mitaa
unatofautiana katika
kuonyesha uchakavu
•
“IFRs” haikuzingatiwa
30. Halmashauri ya
Wilaya ya
3,540,051,412 Kutokuwepo kwa rejista
ya mali za kudumu
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
87
Morogoro
31. Halmashauri ya
Wilaya ya Kasulu
– Kutokuwepo kwa rejista
ya mali za kudumu
32. Halmashauri ya
Wilaya ya
Kigoma
– Kutotunzwa vizuri kwa
rejista ya mali za
kudumu
Ukaguzi ilipendekeza kwamba Mamlaka za Halmashauri za
Serikali za Mitaa ziendelee kuboresha kumbukumbu za
mali, taratibu, mifumo na kuhakikisha kwamba
kumbukumbu zinawekwa ili kuwezesha uandaaji wa taarifa
za hesabu sahihi kwa mwaka 2007/08 na miaka
inayoendelea.
4.4 Wadaiwa wasiolipa Sh.5,614,010,055
Ukaguzi wa taarifa za hesabu na majedwali ya uthibitisho
kwa Halmashauri 76 umeonyesha kuwa wadaiwa wa jumla
ya Sh.5,614,010,055 hazikukusanywa mpaka mwisho wa
mwaka wa fedha wa taarifa hii, 30 Juni, 2007. Hii ni
kinyume na maagizo Na.120 na 121 ya Memoranda ya Fedha
ya Serikali za Mitaa 1997 yanayosema kwamba “ni jukumu
la Mweka Hazina kufanya mipango ya kutosha ya fedha na
hesabu ili kuhakikisha uwekaji kumbukumbu mzuri wa
fedha zote za Halmashauri na ukusanyaji, utunzaji kwa
usalama na uwekaji benki wa fedha hizo. Na “Kadiri
iwezekanavyo mapato yote yatakusanywa kulingana na
huduma iliyotolewa au wakati wa kutoa huduma. Kama
sehemu ya mchakato wa bajeti ya mwaka, Halmashauri
itaweka kiwango cha chini cha mwisho ambacho
kitawezesha malipo kamili kufanywa kabla na (kama ni
lazima) viwango vya chini vya amana”. Kushindwa
kukusanya fedha toka kwa wadaiwa wa Halmashauri
kunaonyesha udhaifu mkubwa wa udhibiti wa ndani wa
ukusanyaji wa madeni toka wadaiwa na kutozingatiwa kwa
Maagizo yaliyotajwa hapo juu ambayo yanaweza
Halmashauri kushindwa kutimiza majukumu yaliyowekwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
88
ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa miradi iliyopangwa kwa
wakati kutokana na tatizo la ukata. Orodha ya deni la
Wadaiwa imeonyeshwa katika Kiambatisho 7 cha ripoti hii.
4.4.1 Ulinganisho kwa ufupi wa orodha ya wadaiwa kwa mwaka
2005/2006 na 2006/07 ni kama ilivyo katika jedwali hapa
chini
Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya
Halmashauri
2005/20006 4,621,642,416 44
2006/2007 5,614,010,055 76
Kutokana na jedwali hilo hapo juu ni dhahiri kwamba
Halmashauri 44 zilizokaguliwa mwaka 2005/06 hazikuweza
kukusanya kutoka kwa wadaiwa kiasi cha Sh.4,621,642,416
ambapo kwa mwaka 2006/07 Halmashauri 76 zilikuwa na
wadaiwa wanaofikia Sh.5,614,010,055. Hiki ni kiashiria
kwamba menejimenti katika Halmashauri husika
hazikufanya jitihada za kutosha kukusanya kutoka kwa
wadaiwa na hivyo kiwango cha wadaiwa kiliongezeka
kutoka kiasi cha Sh.4,621,642,416 kwa mwaka 2005/06
hadi Sh.5,614,010,055 kwa mwaka 2006/07.
4.5 Wadai wasiolipwa Sh.6,402,099,278
Katika ukaguzi wa taarifa za fedha za Halmashauri,
tumegundua deni kubwa la Wadai la Sh.6,402,099,278
litakalosababisha Halmashauri kupoteza uaminifu wa Mkopo
kwa watoa huduma wao. Halmashauri zenye deni kubwa la
Wadai ni Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, jumla
ya Sh.363,055,047 (5.7%) ikifuatwa na Halmashauri ya
Wilaya ya Morogoro yenye Sh.355,924,490 (5.6%) ya tatu ni
Halmashauri ya Wilaya ya Babati inayodaiwa
Sh.298,717,255 (4.7%).
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
89
Kuzidi kuchelewesha kulipa deni la wadai kutaleta athari
mbaya kwa Halmashauri zinazohusika, zikiwemo:-
•
Hatari ya kuanzisha madaiano na wadai.
•
Kupoteza hadhi na uaminifu wa mkopo.
•
Kunyimwa huduma
•
Kuathiri bajeti.
Kutokana na hoja hizo, Mamlaka za Serikali za Mitaa
zinahimizwa sana kulipa madeni yao haraka yanapofikia
wakati wake. Orodha ya deni la wadai imeonyeshwa
katika kiambatisho cha 8 cha ripoti hii.
4.5.1 Ulinganisho kwa ufupi wa orodha ya wadai kwa mwaka
2005/2006 na 2006/07 ni kama ilivyo katika jedwali hapa
chini
Mwaka Kiasi (Sh.) Idadi ya
Halmashauri
2005/2006 7,527,162,259 47
2006/2007 6,402,099,278 68
Jedwali la hapo juu linaonyesha kwamba Halmashauri 47
zilizokaguliwa katika mwaka 2005/06 zilikuwa na wadai wa
Sh.7,527,162,259 hali inayoweza kusababisha kupoteza
uaminifu. Kiasi hiki kilipungua hadi kufikia Sh.6,402,099,278
katika mwaka 2006/07 wakati Halmashauri zinazodaiwa
ziliongezeka na kufikia 68.
4.6 Masurufu yasiyorejeshwa toka Halmashuri 17
Sh.586,715,095
Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa
(1997) linasema “Masurufu ya safari au masurufu maalum
lazima yarejeshwe ndani ya majuma mawili baada ya afisa
kurejea kwenye kituo chake cha kazi au baada ya
kukamilisha shughuli; kushindwa kurejesha hakutasababisha
tu kiasi kinachodaiwa kukatwa kwenye mshahara wa afisa
kwa kima kilichoongezwa bali pia kunaweza kusababisha
kukatwa tozo ya si chini ya asilimia 5 ya mshahara wake.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
90
Kinyume na Agizo la taarifa za fedha za Mamlaka ya Serikali
za Mitaa, Halmashauri 17 zimeonyesha jumla ya masurufu
yasiyorejeshwa ya Sh.586,715,095. Halmashauri ya Wilaya
ya Arumeru inadai kiasi kikubwa cha masurufu ya
Sh.193,481,652 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi yenye Sh.121,416,500 wakati Halmashauri ya Wilaya
ya Kilwa ni ya tatu yenye jumla ya Sh.58,528,040.
Masurufu mapya yatatolewa tu kwa watumishi ambao
wamekamilisha kurejesha marufu waliyopewa awali
Ninapenda kusisitiza umuhimu wa kufuata masharti ya
Sheria hasa kuhusu urejeshaji wa masurufu. Orodha ya
masurufu yasiyorejeshwa kama ilivyokuwa 30 Juni, 2007
imeonyeshwa katika Kiambatisho 9 cha ripoti hii.
4.6.1
Orodha ya Masurufu yasiyorejeshwa kwa ufupi kwa
mwaka 2005/2006 na 2006/07 ni kama ilivyo katika
jedwali hapa chini
Mwaka Kiasi
(Sh.)
Idadi ya
Halmashauri
2005/2006 806,622,793 65
2006/2007 586,715,095 17
Muhtasari wa matokeo ya masurufu yasiyorejeshwa katika
mwaka 2006/07 umeonyesha kwamba kumekuwa na
maendeleo mazuri ya urejeshaji wa masurufu yaliyotolewa
kwa watumishi katika Halmashauri, ambapo yalipungua
toka Sh.806,622,793 katika mwaka 2005/06 yakihusisha
Halmashauri 65 hadi kufikia Sh.586,715,095 yakihusishwa
Halmashauri 17 katika mwaka 2006/07.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
91
4.7 Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa
ukaguzi
Maagizo Na.101 na 102 ya Memoranda ya fedha ya Mamlaka
za Halmashauri za Serikali za Mitaa yanasema: “Maofisa
wote wenye vitabu vya stakabadhi lazima warudishe vitabu
vyote vya stakabadhi vilivyotumika na visivyotumika kila
mwisho wa mwezi katika fomu maalum, na upotevu
wowote wa nyaraka zinazotakiwa kutolewa maelezo lazima
utolewe taarifa haraka kwa ofisa anayehusika. Nakala ya
ripoti lazima ipelekwe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali na afisa mhimili msaidizi wa Serikali za
Mitaa anayehusika. Kinyume na maagizo hayo, jumla ya
vitabu 996 vya stakabadhi za mapato kutoka Mamlaka za
Serikali za Mitaa 8 zimetolewa taarifa ya kukosekana kwa
hiyo havikuwasilishwa kwa ajili ya ukaguzi.
Kupotea kwa vitabu vya stakabadhi za mapato katika
Halmashauri kunaweza kuleta athari zifuatazo:
•
Kwa kuwa vitabu hivi vya stakabadhi za mapato
vilikusudiwa kukusanya mapato ya Halmashauri
haikujulikana kwa uhakika kiasi cha mapato kilichokuwa
kimekusanywa.
•
Kuna uwezekano mkubwa wa wizi wa wazi wa maduhuli
ya Halmashauri kutoka kwa wakusanyaji wa maduhuli.
•
Inaathiri bajeti ya mapato ya Halmashauri.
Kwa hiyo ni muhimu kwa menejimenti ya Halmashauri
kuanzisha mfumo wa udhibiti wa ndani unaofaa kwa
usimamizi wa vitabu vya stakabadhi za mapato.
Hatua kali kwa upande wa menejimenti ikiwemo
kuwafungulia mashitaka wakusanyaji mapato wanaokiuka
utaratibu lazima zichukuliwe. Orodha ya vitabu vya
stakabadhi za maduhuli vilivyokosekana inaonyeshwa katika
kiambatisho 10 cha ripoti hii.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
92
4.7.1 Muhtasari wa vitabu ambavyo havikuwasilishwa kwa
ukaguzi 2005/06 na 2006/07
Mwaka Idadi ya vitabu
vilivyokosekana
Idadi ya Halmashauri
2005/2006 329 35
2006/2007 996 8
4.8 Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya Serikali
za Mitaa yaliyokusanywa na mawakala Sh.366,971,247
Ili kuzingatia agizo Na.110 na Memoranda ya fedha za
Mamlaka ya Serikali za Mitaa (1997) wakusanyaji wa
maduhuli wanatakiwa kuwasilisha kwa mtunza fedha wa
Halmashauri vitabu vya kukusanyia maduhuli.
Katika mwaka wa taarifa hii, Mamlaka za Serikali za Mitaa
(12) hazikupokea maduhuli kutoka kwa mawakala wa
ukusanyaji ya jumla ya Sh.366.971,247 zilizokusanywa
katika vituo mbalimbali kinyume na Agizo Na. 110 la
Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa (1997).
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1. Halmashauri ya wilaya ya Muleba 6,410,000
2. Halmashauri ya wilaya ya Kigoma 7,431,500
3. Halmashauri ya wilaya ya Kasulu 11,106,000
4. Halmashauri ya wilaya ya Nkasi 20,256,600
5. Halmashauri ya wilaya ya Mpanda 13,120,100
6. Halmashauri ya wilaya ya Tarime 44,275,000
7. Halmashauri ya wilaya ya Kibondo 50,876,882
8. Halmashauri ya Manispaa ya Songea 10,596,990
9. Halmashauri ya wilaya ya Sengerema 17,328,400
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
93
10. Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba 170,295,650
11. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa 5,711,000
12. Halmashauri ya wilaya ya Tabora 9,563,125
Jumla 366,971,247
4.8.1 Muhtasari wa mapato ambayo hayakuwasililishwa katika
Halmashauri kwa mwaka 2005/06 na 2006/07
Mwaka Maduhuli yasiyo
wasilishwa (Sh.)
Idadi ya Halmashauri
zilizohusika
2005/2006 217,502,861 14
2006/2007 366,971,247 12
Muhatasari hapo juu unaonyesha kwamba maduhuli
yasiyowasilishwa na mawakala kwa mwaka 2005/06
yaliyohusisha Halmashauri 14 yalifikia Sh.217,502,861
ambapo katika mwaka 2006/07 yasiyowalishwa na
mawakala yalifikia Sh.366,971,247 ambayo yalihusisha
Halmashauri 12.
4.9 Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.895,091,162
Malipo yenye nyaraka pungufu yanatokea wakati hati za
malipo zinakosa viambatisho kama vile hati za kuagizia vifaa,
Ankara, taarifa za matumizi, orodha ya malipo iliyosainiwa, hati
za kupokelea vifaa nk.
Agizo Na. (5) (c) la Memoranda ya Fedha ya Serikali ya
Mitaa inataka malipo yote yanayofanywa kutoka Fedha za
Halmashauri yawe na uthibitisho wa kutosha. Wakati wa
ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka
2006/2007, imegunduliwa kwamba Halmashauri 32 kati ya
124 zilizokaguliwa zimepitisha malipo yenye kasoro bila ya
nyaraka za uthibitisho yenye jumla ya Sh.895,091,162
.
Malipo yasiyo na uthibitisho yanatia shaka uhalali na uhalisi
wa malipo hayo. Menejimenti za Halmashauri zina jukumu
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
94
la kuhakikisha kuwa nyaraka zinazohitajika tu zikiwemo
nyaraka za uthibitisho wa hati za malipo zinatunzwa vizuri
na kupatikana kwa ukaguzi wakati zinapohitajika. Orodha
ya matumizi yenye nyaraka pungufu yameonyeshwa katika
kiambatisho 11 cha ripoti hii.
4.9.1 Muhtasari wa matumizi yenye nyaraka pungufu
Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya
Halmashauri
zilizohusika
2005/2006 2,403,092,747 46
2006/2007 895,091,162 32
Matokeo ya muhtasari hapo juu wa matumizi yenye nyaraka
pungufu unaonyesha kwamba kumekuwa na maendeleo katika
kupunguza matumizi yenye nyaraka pungufu. Hii inashudiwa na
ukweli kwamba katika mwaka 2005/06 malipo ya aina hii
yalikuwa Sh.2,403,092,747 yakihusisha Halmashauri 46
wakati mwaka 2006/07 malipo ya aina hii yalipungua na
kufikia Sh.895,091,162 yakihusisha Halmashauri 32.
4.10 Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.81,329,428
Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo ni matumizi ambayo
yanakuwa hayana hati za malipo na viambatisho vyake
kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.
Wakati wa ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa
mwaka wa fedha wa 2006/2007, imebainika kwamba
Halmashauri 12 kati ya 124 zilizokaguliwa zimeidhinisha
malipo ya Sh.81,329,428 bila ya hati za malipo za
uthibitisho. Haya yalikuwa ni malipo yaliyoakisiwa katika
daftari la fedha taslimu lakini yamekosa uthibitisho wa
madhumuni ya malipo hayo.
Malipo yasiyo na hati za malipo za uthibitisho zinakosesha
taarifa moja muhimu kuhusu malipo ya aina hiyo kwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
95
mfano; sababu, aina na madhumuni ya malipo. Kwa vile
hili ni tatizo la muda mrefu linalojirudia katika Halmashauri
zetu nyingi, ningependa kuwakumbusha Maofisa Masuuli na
menejimenti za Halmashauri kuhusu wajibu wao katika
kuhakikisha kuwa nyaraka za maelezo za Halmashauri
zikiwemo hati za malipo zinatunzwa vizuri na hazina budi
kupatikana kwa ukaguzi zinapohitajika.
Halmashauri zilizofanya matumizi bila kuwa na hati za
malipo
Na
Halmashauri Kiasi (Sh.)1.
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 5,926,255
2.
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje3,376,771
3.
Halmashauri ya Manisapaa ya Kigoma/Ujiji 2,560,672
4.
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 12,246,663
5.
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 8,712,161
6.
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 2,800,000
7.
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro 19,370,334
8.
Halmashauri ya Manisapaa ya Morogoro 4,596,547
9.
Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 3,376,771
10.
Halmashauri ya Manisapaa ya Musoma 5,749,000
11.
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega12,492,730
12.
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 121,524
Jumla 81,329,428
4.10.1 Muhtasari wa matumizi yasiyokuwa na hati za
malipo kwa
mwaka 2005/2006 na 2006/2007
Mwaka Kiasi (Sh) Idadi ya Halmashauri
zilizohusika
2005/2006 1,934,374,846 27
2006/2007 81,329,428 12
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
96
Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mwaka 2005/06
Halmashauri 27 zilifanya matumizi bila hati za malipo
yaliyofikia Sh.1,934,374,846. Mwaka 2006/07 kiasi cha
matumizi yaliyofanyika bila hati za malipo kilipungua
kutoka Sh.1,934,374,846 hadi kufikia Sh.81,329,428
yakihusisha Halmashauri 12, hii ni kiashiria kwamba
kumekuwa na maendeleo katika utunzaji wa hati za
malipo.
4.11 Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika
Sh.7,884,401,171
Ruzuku ya Serikali ya Sh.7,884,401,171 iliyotolewa kwa
Halmashauri 14 hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2007. Hii
inaweza kuwa na athari katika huduma zilizotarajiwa
kutolewa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa wananchi.
Orodha ya Halmashauri na ruzuku ambayo haikutumika ni
kama ifuatavyo:-
Halmashauri Jumla ya
ruzuku
iliyopokelw
a (Sh.)
Matumizi
(Sh.)
Bakaa
(Sh.)
Halmashauri ya Wilala
ya Songea
1,361,966,9
02
543,871,130 818,095,772
Halmashauri ya Wilala
ya Tarime
1,214,641,3
93
790,021,614 424,619,779
Halmashauri ya Wilala
ya Kasulu
2,945,847,2
91
2,095,893,941 849,953,350
Halmashauri ya Wilala
ya Nachingwea
1,053,642,1
54
404,391,483 649,290,670
Halmashauri ya Wilala
ya Liwale
456,103,325 366,008,769 90,008,556
Halmashauri ya Wilala
ya Tarime
1,214,641,3
93
790,021,616 424,619,779
Halmashauri ya Wilala 3,707,190,0 2,607,046,761 1,100,143,244
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
97
ya Bunda 05
Halmashauri ya Wilala
ya Namtumbo
633,612,661 510,579,004 123,033,657
Halmashauri ya Mji wa
Babati
1,305,628,4
93
778,929,472 586,699,021
Halmashauri ya
Manispaa ya Singida
772,650,706 411,594,102 261,056,604
Halmashauri ya
Manispaa ya Songea
289,000,320 119,715,923 169,284,399
Halmashauri ya Wilala
ya Manyoni
562,398,603 185,905,747 376,452,936
Halmashauri ya Wilala
ya Bunda
3,707,190,0
05
2,607,046,761 1,100,143,244
Halmashauri ya Wilala
ya Mbulu
6,259,607,6
98
5,237,304,302 911,000,160
Jumla 25,484,120,9
49
17,448,330,625
7,884,401,171
4.11.1 Muhtasari wa ruzuku za Serikali zisizotumika kwa
mwaka
2005/06 na 2006/07
Mwaka Kiasi
(Sh)
Idadi ya Halmashauri
zilizohusika
2005/2006 2,665,196,806 5
2006/2007 7,884,401,171 14
Muhtasari wa matokeo ya ruzuku isiyotumika kwa mwaka
2005/06 unaonyesha kuwa jumla ya Halmashauri 5 zilipata
ruzuku ya Serikali jumla ya Sh.18,915,181,241 wakati
matumizi yalikuwa Sh.16,249,984,404 na kuwa na bakaa
isiyotumika ya Sh.2,665,196,806.
Katika mwaka 2006/07 jumla ya Halmashauri 14 zilipata
ruzuku ya Serikali jumla ya Sh.25,484,120,949 wakati
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
98
matumizi yalikuwa Sh.17,448,330,625 na kuwa na bakaa
isiyotumika ya Sh.7,884,401,171.
Huu ni ushahidi kwamba miradi ya maendeleo ambayo
ilitengewa ruzuku hizi ambazo hazikutumika,
haikutekelezwa kama ilivyopangwa.
4.12 Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika
mwaka 2006/07
Katika mwaka 2006/07 tulifanya kaguzi maalum katika
Halmashauri 4 ambazo ni Halmashauri za Wilaya ya Nzega,
Mwanga, Singida na Bagamoyo.
Mambo yaliyojitokeza katika kaguzi maalum hizi ni kama
ifuatavyo:
Halmashauri za Wilaya ya Nzega
Joint Rehabilitation Fund (JRF)- Sh.210,000,000
•
Nyufa zilijitokeza katika majengo yaliyokarabatiwa
•
Nyumba za watumishi hazikuwa na sehemu za huduma muhimu
kama vile vyoo, mabafu na jiko
Mradi wa msaada wa chakula (Food Aid Project)
Sh.222,273,875
•
Visima virefu 11 vilichimbwa na kukamilika badala ya visima
17
•
Visima 10 havikujengwa kwa sababu ya kukosekana kwa maji
Mpango wa Maendeleo ya Kilimo wa Wilaya – Sh.57,186,862
•
Matumizi ya Sh.5,220,000 yaliyolipwa kwa mtumishi wa
Halmashauri kwa ajili ya kupima mipaka ya mabwawa
hayakuwa na nyaraka za kutosha
‘Global Fund Project’ – Shs.262,220,973
•
Masurufu ya Sh.2,314,000 yaliyolipwa kwa ajili ya ununuzi wa
baiskeli hayakurejeshwa.
•
Viyoyozi vitatu (3) venye thamani ya Sh.6,592,000 vilinunuliwa
kutoka katika duka linalouza vifaa vya ofisi ambalo haliuzi
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
99
viyoyozi.
•
Malipo ya Sh.47,063,550 yalikuwa na nyaraka pungufu
•
Shilingi 26,400,000 zililipwa kwa viongozi 22 wa Halimashauri
kwa kutumia kiwango cha posho cha Sh. 60,000 badala ya Sh.
40,000 ambacho ndicho kilichostahili kulipwa.
•
Hati ya malipo ya Sh.41,000,000 iliyotumika kuhamisha fedha
toka akaunti ya miradi haikutolewa kwa ukaguzi.
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
•
Kiasi cha Maduhuli ya Sh.22,603,500 kilichotakiwa kukusanywa
toka vitabu 67 hayakupelekwa benki na vitabu 23 vya
stakabadhi za wazi havikutolewa kwa ukaguzi.
•
Vitabu 50 vilivyochapishwa kwa ajili ya kukusanyia maduhuli
vyenye thamani ya Sh.25,000,000 havikupokelewa wala
kuingizwa kwenye daftari la kuorodheshea nyaraka zenye
thamani.
•
Maduhuli ya jumla ya Sh.31,509,715 yaliyokusanywa kwa
kipindi cha miaka mitatu mfululizo hayakupelekwa benki.
•
Uhakiki wa taarifa ya ulinganisho wa kibenki ulionyesha kuwa
kiasi cha Sh. 64,403,486 hakikupelekwa benki.
Halmashauri ya Wilaya ya Singida
•
Fedha kiasi cha Sh. 165,000,000 zilizotengwa kwa ununuzi wa
gari la zimamoto zilitumika kwa matumizi mengine
•
Halmashauri haikutenga kiasi cha Sh.200,000,000 kwa ajili ya
ununuzi wa gari la zimamoto
•
Halmashauri haikutayarisha ripoti ya utekelezaji wa miradi
•
Mpango wa maendeleo ya Shule za Msingi haukununua
madawati 70 ya shule za msingi ingawa fedha zilitengwa.
•
Halmashauri ilitumia kiasi cha Sh. 5,278,715 kununulia mfumo
wa Tovuti. Hata hivyo mpaka ripoti hii inaandaliwa mfumo huu
ulikuwa haufanyi kazi.
Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo
•
Maduhuli ya Sh.8,680,462 hayakupelekwa benki
•
Kiasi cha Sh.10,237,735 kiliwekwa benki bila hati za kuweka fedha
na wala hazikuingizwa kwenye vitabu vya Halmashauri
•
Maduhuli ya Sh.14,829,230 yaliyowekwa benki hayakuingizwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
100
katika vitabu vya Halmashauri
•
Nambari za stakabadhi zenye thamani ya Sh.17,771,206
hazikuonyeshwa katika hati za kupeleka fedha benki
•
Vitabu vya Stakabadhi 82 za kupokelea maduhuli za mwaka
2005/06 hazikuwasilishwa kwa ukaguzi
•
Taarifa ya ulinganisho wa benki ilionyesha maduhuli
yaliyokusanywa ya Sh.
14,095,492 ambayo hayakupelekwa benki
•
Halmashauri haikuwa na mpango wa manunuzi na pia manunuzi
yalifanyika bila kuwepo kwa ushindanishi wa bei. Zaidi ya hayo
manunuzi yalifanywa na wakuu wa vitengo bila kutumia kitengo cha
usimamizi wa manunuzi
.
•
Halmashauri ina udhaifu katika kuingia mikataba ya
kukusanya maduhuli na ushuru wa samaki
4.13 Mishahara isiyolipwa ambayo haijarudishwa Hazina
Sh.482,703,896
Ukaguzi wa Halmashauri 28 uligundua mishahara ya
Sh.482,703,896 isiyolipwa ambayo haikurudishwa Hazina
kinyume na matakwa ya Kanuni za Sheria ya Fedha ya mwaka
2001 Kanuni cha 113(3) ambacho kinaagiza mishahara
isiyolipwa kurudishwa kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali.
Halmashauri zinazohusika ni;
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
101
Nimewashauri Maafisa Masuuli wa Halmashauri husika
kuzingatia kanuni zilizotajwa hapo juu pamoja na maelekezo
yaliyomo katika barua toka Hazina yenye
kumb.Na.EB/AG/5/03/01/Vol.VI/136 ya tarehe 31 Agosti 2007
inayoagiza mishahara yote isiyolipwa katika Halmashauri
kurudishwa Hazina kupitia akaunti za sekretariati za Mikoa
kwa ajili ya udhibiti.
Na Halmashauri Kiasi(Sh) Na Halmashauri Kiasi (Sh)
1 H/ya Wilaya ya Bagamoyo 22,071,216 2. H/ya Wilaya ya Musoma 8,434,273
3 H/ya Manispaa ya Bukoba 2,125,100 4. H/ya Wilaya ya Njombe 10,874,021
5 H/ya Wilaya ya Kibaha 17,386,117 6. H/ya Wilaya ya Nkasi 49,568,690
7 H/ya Manispaa ya Kigoma 465,629 8. H/ya Wilaya ya Nzega 26,728,882
9 H/ya Wilaya ya Kilosa 5,001,608 10. H/ya Wilaya ya Same 4,186,240
11 H/ya Wilaya ya Kisarawe 28,941,253 12. H/ya Wilaya ya Sengerema 10,921,500
13 H/ya Wilaya ya Kishapu 5,412,919 14. H/ya Wilaya ya Simanjiro 25,797,923
15 H/ya Wilaya ya Kwimba
64,482,147 16. H/ya Wilaya Songea 38,249,920
17 H/ya Wilaya ya Magu 17,392,615 18. H/ya Manispaa ya Songea 10,234,554
19 H/ya Wilaya ya Mbinga 7,225,033 20 H/ya Wilaya ya Sumbawanga 20,416,560
21 H/ya Wilaya ya
Mkuranga
10,371,227 22 H/ya Wilaya ya Sumbawanga 11,614,141
23 H/ya Wilaya ya Monduli 15,934,284 24. H/ya Wilaya ya Tabora 1,274,607
25 H/ya Wilaya ya Morogoro 35,015,966 26. H/ya Wilaya ya Tarime 8,235,767
27 H/ya Manispaa ya Mtwara 3,368,833 28. H/ya Wilaya ya Tunduru 20,972,871
Jumla ndogo 235,193,947 Jumla ndogo 247,509,949
Jumla Kuu 482,703,896
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
102
4.14 Mfumo wa udhibiti wa ndani
Mfumo wa udhibiti wa ndani unamaanisha namna ambayo
rasilimali za Halmashauri zinavyo simamiwa na kupimwa.
Udhibiti wa ndani ni sehemu muhimu katika kuzuia na
kugundua wizi/ubadhirifu na kulinda rasilimali zinaoonekana
na zisizoonekana za Taasisi. Katika ngazi ya taasisi malengo
ya udhibiti wa ndani yanauhusiano na kutoa
taarifa za fedha zinazoaminika, kupata matokeo ya
mafanikio ya malengo yaliyowekwa kwa wakati, na kuzingatia
Sheria na Kanuni. Katika shughuli za ulipaji wa fedha, udhibiti
wa ndani unahusu shughuli maalum za kufikia malengo (kwa
mfano kuhakikisha malipo yaliyofanywa kwa wasambazaji mali na
watoa huduma ni sahihi). Usimamizi imara wa udhibiti wa ndani
unarahisishwa kwa kuwepo utawala bora katika
Halmashauri.
4.14.1 Masuala ya Utawala bora
Anayeteuliwa kama Afisa Masuuli katika Halmashauri
anakuwa na majukumu ya usimamizi wa jumla katika uongozi
wa wafanyakazi wa Halmashauri, taratibu za usimamizi wa fedha
na mambo mengine. Hii ndio maana halisi ya majukumu
aliyopewa Afisa Masuuli. Utawala bora unajumuisha sera na
taratibu zinazotumika kuongoza shughuli za taasisi ili
kuhakikisha kwamba malengo yanafikiwa na shughuli
zinaendeshwa kwa kuzingatia maadili na uwajibikaji. Misingi
ya utawala bora unajumuisha kamati ya ukaguzi wa hesabu na
shughuli za ukaguzi wa ndani.
4.14.2 Kamati ya ukaguzi wa hesabu
Malengo makuu ya Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu ni
kuchangia kwa uhuru, uhakika wa kuwepo na mfumo thabiti
wa udhibiti wa ndani ulio imara katika Halmashauri. Kwa
mujibu wa maelekezo ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi kupitia
(TSRP) Na.3 ambayo iko sambamba na viwango bora vya
kimataifa vinamtaka kila Afisa Masuuli, kuanzisha
Kamati za Ukaguzi wa Hesabu inayojumuisha wajumbe
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
103
ambao wanatoka nje ya taasisi husika wakiwa na majukumu
yakusaidia kuimarisha mfumo wa udhibiti wa ndani.
Nimesikitishwa kuona kwamba Halmashauri nyingi
hazijaanzisha Kamati za Ukaguzi wa Hesabu.
Ningependa kusisitiza hapa kwamba, Kamati za Ukaguzi
zina mchango muhimu wa kuimarisha utawala bora katika
Halmashauri, kama kuhakikisha uwezeshaji wa kazi za
ukaguzi wa ndani na nje. Kwa sababu hiyo, ninapendekeza
kwa menejimenti za Halmashauri kuanzisha Kamati za
Ukaguzi.
4.14.3 Masuala ya ukaguzi wa ndani
Ukaguzi wa ndani unahusisha utumiaji wa mfumo
unaokubalika unao chambua mchakato wa shughuli za taasisi au
matatizo na kutoa mapendekezo. Mawanda ya ukaguzi wa ndani
katika taasisi ni mapana na yanaweza kuhusisha masuala ya
udhibiti wa ndani kama vile ufanisi wa shughuli, utayarishaji
wa taarifa za fedha zenye kuaminika, kuzuia na kuchunguza
udanganyifu, utunzaji mali na uzingatiaji wa sheria na
kanuni.
Ukaguzi wa ndani ni sehemu muhimu katika mipaka na
misingi ya shughuli za utawala bora, ukaguzi wa ndani unaweza
kuwa muhimu katika kumsaidia afisa masuuli katika
kutathmini na usimamizi wa rasilmali za umma.
Kama sehemu ya ukaguzi wa taarifa za fedha katika mwaka
2006/07, tulitathmini utendaji wa ukaguzi wa ndani
unaozingatia matakwa ya sehemu ya 45 (1) ya Sheria za
Fedha za Halmshauri ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka
1982 (iliyorekebishwa 2000), maagizo Na.12 hadi 16 ya
Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa na Kanuni Na.28
ya Sheria ya Fedha ya mwaka 2001 (iliyorekebishwa 2004)
na kugundua udhaifu ingawa tulitoa maoni yaliyohusu
ufanisi wa ukaguzi wa ndani miaka ya iliyopita. Udhaifu
tuliogundua unahusu:
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
104
•
Halmashauri nyingi zimeanzisha vitengo vya ukaguzi
wa ndani ambavyo havina watumishi wa kutosha.
Halmashauri nyingi zimeonekana kuwa na mtumishi
mmoja au wawili ambao hawatoshelezi.
•
Mawanda ya ukaguzi kwa wakaguzi wa ndani ni
machache, msisitizo ukiwa katika ukaguzi wa nyaraka
badala ya kupima matokeo, usimamizi wa miradi,
uandaaji wa taarifa za fedha na taratibu za utendaji
katika kufikia malengo yaliyowekwa na Halmashauri.
•
Wakaguzi wa ndani katika baadhi ya Halmashauri
hutumia muda wao mwingi kujibu hoja zinazotolewa
katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu
za Serikali. Matokeo yake wanashindwa kutoa taarifa
za robo mwaka ambazo zinatakiwa kuwasilishwa kwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.
•
Katika Halmashauri nyingi menejimenti hazijibu wala
kushughulikia hoja zinatolewa na wakaguzi wa ndani,
kwa hali hii kazi ya wakaguzi wa ndani haipewi
umuhimu katika kuimarisha usimamizi wa fedha za
Halmashauri.
TAMISEMI kwa kushirikiana na Hazina wanashauriwa
kuandaa mafunzo kwa wakaguzi wa ndani na kuweka
mikakati ya kufikia kiwango bora cha ukaguzi wa ndani.
4.15 Uchambuzi wa ugharimiaji
Ugarimiaji katika Serikali za Mitaa nchini Tanzania
unatokana na vyanzo vikuu vitatu vifuatavyo;
•
Vyanzo vya ndani vya mapato
•
Ruzuku ya Serikali
•
Fedha kutoka kwa wafadhili
4.15.1 Utendaji kifedha wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa
mwaka
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
105
2006/2007
Uhakiki wa mapato na matumizi ya Mamlaka za Serikali za
Mitaa kwa mwaka 2006/07 ulitoa matokeo yafuatayo;
•
Halmashauri 22 zilitumia Sh.158,479,115,510 wakati
jumla ya mapato
ilikuwa Sh.152,798,393,495 na kusasbabisha matumizi ya
ziada ya Sh.5,680,754,015.
•
Halmashauri 100 zilitumia Sh.687,168,956,557 ambapo
jumla ya
mapato ilikuwa Sh.786,851,991,645 iliyosababisha ziada
ya
Sh.99,683,035,088. Uchambuzi wa kina wa Halmashauri
zinazohusika
umeonyeshwa katika kiambatisho namba 4 cha ripoti hii.
4.15.2 Ulinganisho kati ya maduhuli yaliyotokana na vyanzo vya
ndani vya Halmashauri, ruzuku za Serikali Kuu na fedha za
wahisani kwa mwaka 2005/06 na 2006/07
Mwaka Jumla ya
maduhuli toka
vyanzo vya ndani
vya Halmashauri
(Sh.)
Jumla ya
ruzuku za
serikali/wafad
hili
(Sh.)
% ya jumla ya
maduhuli toka vyanzo
vya ndani na Jumlaya
ruzuku ya
serikali/wafadhili
(Sh.)
2005/2006 64,403,139,20
2
622,770,902,
906
10.3
2006/2007 77,310,930,60
7
914,713,448,
103
8.5
Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapato yatokanayo
na maduhuli toka vyanzo vya ndani vya Halmashauri
yaliongezeka kidogo katika mwaka 2006/07 kulinganisha na
2005/2006.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
106
Jumla ya maduhuli ya Halmashauri yatokanayo na vyanzo
vya ndani yaliongezeka toka Sh.64,403,139,202 (2005/06)
hadi Sh. 77,310,930,607 (2006/2007) au ongezeko la 20%.
Hata hivyo, wakati maduhuli yatokanayo na vyanzo vya
ndani vya Halmashauri yanalinganishwa na ruzuku za
Serikali na wafadhili inaonekana kwamba Mamlaka za
Serikali za Mitaa zinategemea mno ruzuku za Serikali na
wafadhili. Hii inaashiria kwamba Mamlaka za Serikali za
Mitaa hazifanyi jitihada za kutafuta vyanzo vingine vya
kuongeza ukusanyaji wa maduhuli. Kwa mfano katika
mwaka 2005/2006 maduhuli ya Halmashauri toka vyanzo
vya ndani yalikuwa Sh.64,403,139,202 ambapo
Sh.622,770,902,906 zilitokana na ruzuku za Serikali na
wafadhili ilikuwa ni asilimia 9.4 ya mapato yote ya
Halmashauri. Hali kadhalika, maduhuli kutoka vyanzo vya
ndani vya Halmashauri kwa mwaka 2006/2007 ilikuwa
Sh.77,310,930,607 ambapo Sh.914,713,448,103 zilikuwa ni
fedha toka ruzuku za Serikali na Wafadhili ikiwa ni asilimia
7.8 ya mapaoyote ya Halmashauri.
0
200,000,000,000
400,000,000,000
600,000,000,000
800,000,000,000
1,000,000,000,000
2005/06 2006/07
MIAKA
SH
Vyanzo vya ndani
Ruzuku za Serikali
MWELEKEO WA UGHARIMIAJI KATIKA
HALMASHAURI
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
107
Muhimili unaonyesha kwamba Mamlaka za Halmashauri za
Serikali za Mitaa zinaonyesha kwamba zinategemea kwa
kiasi kikubwa ruzuku toka Serikali Kuu na fedha za
wafadhili. Inaonyesha pia kuwa Halmashauri haziwezi
kuendesha shughuli zake bila kutegemea ruzuku za Serikali
Kuu na wafadhili. Kwa hali hiyo nazishauri menejimementi
za Mamlaka za Serikali za Mitaa kutafuta njia mbadala
ambazo zinaweza kuongeza wigo wa vyanzo vya mapato yao
ya ndani.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
108
SURA YA 5
5.0 UCHAMBUZI WA MCHAKATO WA MANUNUZI KATIKA
MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya 2004 inaelezea
manunuzi kwamba ni mchakato unaofanywa na taasisi katika
manunuzi, kukodisha, au kwa maana nyingine
upatikanaji wa bidhaa, kazi za ujenzi au huduma kwa
kutumia fedha za umma na kujumuisha njia zote
zinazohusisha kupata au kununua bidhaa au kazi za ujenzi au
huduma, kwa kuitisha zabuni na kufanya maadalizi ya uingiaji
wa mikataba. Katika zama hizi za ushindani kati ya mahitaji na
rasilimali zilizopo, haja ya uwajibikaji na uwazi katika Serikali
inakuwa ni muhimu kwani kwa usimamizi mzuri wa manunuzi
inawezesha Serikali kupata mafanikio katika malengo yake
ya Kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kutokana na ukweli huu,
nimeona manunuzi ni eneo muhimu la kulikagua na
yafuatayo ndiyo yaliyojitokeza:
5.1 Uzingatiaji wa Sheria ya Manunuzi
Kifungu cha 44 (2) cha Sheria ya manunuzi ya Umma Na.21
ya 2004 na Kanuni Na.31 ya manunuzi ya Umma (bidhaa, ujenzi,
huduma ambazo si za ushauri na kuuza mali za umma kwa njia
ya zabuni), Toleo Na.97 la Serikali la mwaka 2005
ninatakiwa kueleza katika ripoti yangu ya mwaka ya ukaguzi
kwamba taasisi inayokaguliwa imezingatia au haikuzingatia
mahitaji ya sheria na kanuni zake. Kwa kuzingatia
majukumu haya kwa taasisi inayofanya manunuzi zikiwemo
Halmashauri, tamko langu la ujumla ni kwamba hali ya
kiwango cha uzingatiaji wa sheria katika ukaguzi niliofanya
haukuridhisha kama mahitaji ya sheria yanavyotaka.
5.1.1 Uanzishaji wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
Ili kuhakikisha manunuzi yanafanyika kwa wazi, taasisi
zinazofanya manunuzi zinatakiwa kwa mujibu wa kifungu cha 28
cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya 2004, kuanzisha
vitengo vya usimamizi wa manunuzi.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
109
Tathmini ya hapa chini inaonyesha orodha ya Halmashauri
ambazo hazijaanzisha vitengo vya usimamizi wa manunuzi
ambavyo ni muhimu katika uthibiti wa manunuzi:-
Jina la Halmashauri
Kitengo cha
usimamizi wa
Manunuzi (PMU)
hakijaanzishwa
Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji
Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe
Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
Nashauri menejimenti za Halmashauri husika kuchukua
hatua madhubuti za kuhakikisha kwamba Sheria ya
Manunuzi ya Umma Na.21 ya 2004 na Kanuni zake
zinazingatiwa hasa katika eneo la uanzishaji wa vitengo vya
usimamizi wa manunuzi.
5.1.2 Kukosekana kwa mpango wa manunuzi
Manunuzi yaliyopangwa vizuri ni chanzo cha kupunguza
gharama, ufanisi na matumizi mazuri ya fedha za umma.
Kuwa na mipango mizuri ya manunuzi katika Halmashauri
inatakiwa mipango madhubuti ya nini kinachotakiwa kununuliwa
na muda gani wa kufanya manunuzi hayo kwa mwaka husika. Ili
kufanikisha haya, kifungu 45 cha Sheria ya manunuzi ya Umma ya
mwaka 2004 kinaitaka kila taasisi inayofanya Manunuzi
kupanga manunuzi yake katika hali ambayo itazuia
manunuzi ya dharura yasiyo ya lazima na kuwa na uwezo wa
kuweka pamoja mahitaji yake ya ununuzi ili kupata thamani ya
fedha na kupunguza gharama za manunuzi na pia kuwepo
mipango mizuri ya kiufanisi ya kuingia mikataba. Ingawa
manufaa haya yanajulikana wazi, Halmashauri 6
zilizoorodheshwa hapa chini zimefanya manunuzi bila kuwa
na mipango ya manunuzi hivyo kukiuka Sheria.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
110
Na Jina la Halmashauri Na Jina la Halmashauri
1 Halmashauri ya Wilaya ya
Rungwe
2 Halmashauri ya Wilaya
ya Kibaha
3 Halmashauri ya Wilaya ya
Lushoto
4 Halmashauri ya Wilaya
ya Lindi
5 Halmashauri ya Wilaya ya
Sikonge
6 Halmashauri ya Wilaya
ya Manyoni
Tuligundua pia kwamba baadhi ya Halmashauri zilikuwa na
mipango ya manunuzi ya mwaka ili tu kuzingatia sheria lakini
mipango hiyo haikufuatwa. Halmashauri zilizoorodheshwa
hapa chini zilikuwa na mipango ya manunuzi ambayo
haikufuatwa wakati wa ununuzi wa bidhaa na huduma.
Na Halmashauri Kiasi(Sh.)
1. Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 1,680,000
2. Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 4,650,000
3. Halmashauri ya Wilaya ya Maswa 18,237,046
4. Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 21,736,575
5. Halmashauri ya Manispaa Mtwara 22,852,200
6. Halmashauri ya Wilaya ya Newala 43,957,200
7. Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 48,995,000
8. Halmashauri ya Mji wa Kibaha 52,000,000
9. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 53,278,831
10. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega 82,714,400
11. Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba 141,886,160
12. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 581,831,350
Jumla 1,073,818,762
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
111
5.2 Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na
huduma
Sehemu ya 5.1 ya ripoti hii imeonyesha mtazamo wa nyuma
wa uzingatiajiwa sheria na kanuni za manunuzi. Katika sehemu
hii nilidhamiria kuonyesha matokeo ya tathmini ya manunuzi
yaliyofanywa katika baadhi ya Halmashauri.
5.2.1 Vifaa vilivyonunuliwa lakini havikuingizwa katika leja
Sh.107,169,400
Agizo Na.207 la Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya
mwaka 1997 linatamka kwamba kumbukumbu za vifaa
vilivyopokelewa, kutolewa na vilivyobaki katika ghala,
kuingizwa katika kurasa tofauti za leja zikionyesha mtiririko
wa manunuzi, tarehe ya manunuzi, hati ya kupokelea
bidhaa, idadi na bei kwa kila kifaa. Aidha inahitaji
kumbukumbu ya tarehe ya kutoa, kiasi kilichotolewa,
namba ya hati iliyotumika kutoa na bakaa halisi. Ukaguzi
uliofanyika katika usimamiaji wa vifaa umegundua kwamba
Halmashauri 16 hazikuzingatia agizo hili.
Na Halmashauri Kiasi (Sh.)
1. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 1,008,950
2. Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 1,116,000
3. Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 1,196,100
4. Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 1,284,200
5. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 1,950,000
6. Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji 2,025,000
7. Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 2,508,000
8. Halmashauri ya Wilaya ya Same 3,400,000
9. Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ 4,050,000
10 Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 7,096,600
11 Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 7,106,400
12 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 7,375,400
13 Halmashauri ya Manispaa Kinondoni 7,890,400
14 Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 9,570,000
15 Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 14,335,400
16 Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu 35,256,950
Jumla 107,169,400
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
112
5.2.2 Bidhaa ambazo zimelipiwa lakini hazijapokelewa au
zimepokelewa pungufu Sh.1,005,858,834
Bidhaa zenye thamani ya Sh.1,005,858,834 zilizoagizwa na
kulipiwa zilionekana aidha kupokelewa pungufu au
kutopokelewa kabisa na Halmashauri ambazo zimeoorodheshwa
katika jedwali hapa chini. Hali inakinzana na matakwa ya
Kanuni ya Manunuzi ya Umma Na.122 kifungu (1) (bidhaa, kazi za
ujenzi na huduma zisizokuwa za ushauri) ambayo inahitaji
taasisi inayofanya manunuzi kupata taarifa za mapokezi ya
bidhaa zilizopokelewa, ili kulinganisha na mikataba na
kuruhusu malipo kwa muuzaji kufanyika mapema.
Na Halmashauri Vifaa/Huduma Kiasi (Sh.)
1 Halmashauri ya Wilaya
ya Tabora
Vifaa 2,256,900
2 Halmashauri ya Wilaya
ya Urambo
Vifaa 2,342,000
3 Halmashauri ya Wilaya
ya Mtwara
Huduma 2,533,300
4 Halmashauri ya Wilaya
ya Muleba
Miche ya
mikahawa
3,601,200
5 Halmashauri ya Wilaya
ya Tarime
Kazi za Ujenzi 3,780,675
6 Halmashauri ya Wilaya
ya Nkasi
Redio ya upepo 4,000,000
7 Halmashauri ya Wilaya
ya Maswa
Pikipiki 5,000,000
8 Halmashauri ya Wilaya
ya Tanga
Vifaa 5,444,600
9 Halmashauri ya Wilaya
ya Bukoba
Vifaa vya
hospitali
5,942,000
10 Halmashauri ya Wilaya
ya Kilwa
Vifaa 6,057,166
11 Halmashauri ya wilaya
ya Mbarali
Madawa na
vifaa vya
hospitali
6,095,782
12 Halmashauri ya Wilaya Vifaa vya 6,976,497
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
113
Liwale hospitali
13 Halmashauri ya wilaya
ya Handeni
Pampu 9,072,000
14 Halmashauri ya
Manispaa ya Temeke
Vifaa vya
hospitali na
madawa
9,466,600
15 Halmashauri ya Wilaya
ya Kibondo
Vifaa 14,335,400
16 Halmashauri ya wilaya
ya Namtumbo
Vifaa 15,160,400
17 Halmashauri ya wilaya
ya Nzega
Vifaa 17,815,150
18 Halmashauri ya Wilaya
ya Chunya
Vifaa 52,632,000
19 Halmashauri ya Wilaya
ya Magu
Vifaa 76,618,120
20 Halmashauri ya Wilaya
ya Kahama
Vifaa 146,450,882
21 Halmashauri ya Wilaya
ya Babati
Gari la
zimamoto
258,000,000
22 Halmashauri ya Mji
Kibaha
Gari la
Zimamoto
352,278,162
Jumla 1,005,858,834
5.2.3 Manunuzi yasiyozingatia mashindano ya bei
Sh.75,242,400
Ukaguzi wa hati za malipo na kumbukumbu za manunuzi
uligundua kwamba Halmashauri zilizoorodheshwa hapa
chini zilifanya malipo ya Sh.75,242,400 kugharimia ujenzi,
ununuzi wa bidhaa na kulipia huduma za ushauri. Hata
hivyo iligundulika kwamba zabuni hazikuitishwa wala
hakukuwa na ushindani wa bei kutoka kwa wauzaji
mbalimbali ili kuwezesha Halmashauri kupata bei nafuu na
kiwango bora kwa bidhaa, kazi za ujenzi na huduma.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
114
Halmashauri 5 zilizoorodheshwa hapa chini zilifanya
manunuzi ya bidhaa bila kufuata taratibu za ushindani wa
bei
Na Halmashauri Maelezo ya bidhaa zilizonunuliwa Kiasi (Sh.)
1 Halmashauri ya
Wilaya ya Kibaha
Ununuzi wa samani bila ushindani
wa bei
52,000,000
2 Halmashauri wa Mji
wa Korogwe
Ununuzi bila ushindani wa bei 4,200,000
3 Halmashauri ya
Wilaya ya Shinyanga
Ununuzi bila ushindani wa bei 6,790,000
4 Halmashauri ya
Manispaa ya Temeke
Madawa toka kwa wasambazaji
binafsi
2,934,300
5 Halmashauri ya
Wilaya ya Morogoro
Manunuzi ya vifaa vya ujezi bila
ushindani wa bei
9,318,100
Jumla 75,242,400
5.2.4 Manunuzi yaliyofanyika bila kuwa na idhini ya bodi za
zabuni
Ukaguzi umegundua kwamba manunuzi yafuatayo
yalifanywa pasipo idhini ya bodi za zabuni za Halmshauri
kinyume na matakwa ya Kanuni Na.40 na 41 ya manunuzi ya
Umma ya 2005.
SN Jina la
Halmashauri
Maelezo ya bidhaa au huduma Kiasi(Sh.)
1. Halmashauri ya
Manispaa ya
Ilala
Kazi za ziada za ujenzi wa shule za
Sekondari
282,100,149
2. Halmashauri ya
Wilaya ya Ngara
Manunuzi toka kwa wazabuni
wasioidhinishwa
11,309,540
3. Halmashauri ya
Wilaya ya
Ununuzi wa dawa za hospitali bila
idhini ya bodi ya zabuni
3,285,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
115
Bariadi
Ununuzi wa vifaa vya hospitali na
madawa kutoka kwa kampuni binafsi
bila uthibitisho wa kutokuwepo
madawa hayo Bohari Kuu ya madawa
(MSD)
23,300,000
4. Halmashauri ya
Wilaya ya
Bagamoyo
Ubadilishaji/ kazi za ziada bila idhini
ya bodi ya zabuni
17,312,960
5. Halmashauri ya
Wilaya ya
Mbinga
Vifaa vya ofisi 4,456,300
6. Halmashauri ya
Wilaya ya
Morogoro
Mafuta 7,921,356
Jumla 349,685,305
5.2.5 Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo
Usimamizi wa miradi umeelezwa kwa kifupi kama
“usimamizi wa mfuatano wa kazi zinazohusiana ambazo
mwanzo na mwisho wake umebainishwa ili kutimiza
malengo yaliyokubaliwa na yanayofanana. Usimamizi wa
miradi unahitaji mchakato wenye nidhamu katika kupanga,
kuandaa, kusimamia na kuongoza hatua zote za mradi
zikiwemo matumizi ya ujuzi, zana, mbinu na uwiano wa
muda na gharama. Katika mwaka wa fedha 2006/07
wakaguzi walifanya tathmini ya utekelezaji miradi na
usimamizi wa mikataba na mambo muhimu yafuatayo
yaligunduliwa.
•
Usimamizi usiotosheleza wa mikataba na utunzaji
wa nyaraka za miradi Sh.135,767,292
Ni muhimu kuwa nyaraka zote zinazohusu Mradi au Mkataba
zinawekwa kwenye jalada moja kwa ajili ya kurahisisha
marejeo na ufuatiliaji wa maendeleo ya mradi/mkataba.
Utaratibu huu si tu kwamba ungeweza kurahisisha
upatikanaji wa taarifa kwa Halmashauri peke yake bali hata
wadau wengine kama vile wafadhili na wakaguzi. Hata
hivyo, wakaguzi walishindwa kupata nyaraka muhimu kama
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
116
vile mikataba, mchanganuo wa gharama za kazi (BoQ) hati
zinazotolewa na wahandisi zinazoonyesha kiwango cha kazi
kilichofikiwa n.k. kutoka kwa Halmashauri zifuatazo:
Na Halmashauri Maelezo Kiasi (Sh)
1. Halmashauri ya Wilaya
ya Korogwe
Kazi za ujenzi 6,323,488
2. Halmashauri ya Mji
Kibaha
Mkataba wa ukusanyaji
maduhuli
9,700,000
3. Halmashauri ya Wilaya
ya Masasi
Ununuzi wa magari toka
nje
83,695,179
4. Halmashauri ya Wilaya
ya Mwanga
Matengenezo ya gari 2,323,625
5. Halmashauri ya
Manispaa ya Shinyanga
Matengenezo ya gari 6,000,000
6. Halmashauri ya Wilaya
ya Kiteto
Mafuta 27,725,000
Jumla 135,767,292
•
Ucheleweshaji wa ukamilishaji wa miradi ya
maendeleo Sh.60,074,365,908
Malengo ya awali ya Serikali na wafadhili wengine wa
shughuli za Halmashauri ni kuhakikisha kwamba wananchi
wananufaika haraka na miradi inayotengewa fedha. Aidha,
kifungu cha 121 (1) cha kanuni ya ununuzi wa umma
(bidhaa, gharama za ujenzi, huduma zisizo za ushauri na
uuzaji wa mali za umma kwa njia ya zabuni) toleo la
Serikali Na.97 la 2005 linatamka kwamba kila taasisi
inayofanya manunuzi inapaswa kuwajibika kwa usimamizi
bora wa bidhaa, huduma, gharama za ujenzi zinazofanywa
na kusimamia maendeleo ya ununuzi na ukamilishaji wa
ujenzi kwa mujibu wa mikataba iliyowekwa. Kinyume na
matakwa ya kisheria na ya wafadhili wanaotoa fedha,
ukaguzi uligundua kwamba kulikuwa na ucheleweshaji wa
miradi ya Halmashauri yenye thamani ya
Sh.60,074,365,908. Sababu zilizochangia ni kuwepo
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
117
mipango isiyotosheleza, usimamizi hafifu na
ucheleweshwaji wa utoaji fedha toka kwa wafadhili na
kutopatikana kwa michango ya wananchi.
HALMASH
AURI
SEKTA KIASI HALMASH
AURI
SEKTA KIASI
1
WILAYA
YA
ARUSHA
Biashara 82,000,000 2
WILAYA
YA
MONDULI
Kilimo 16,372,500
Afya 117,696,997 Ujenzi 30,300,000
Maji 9,593,200 4.
WILAYA
YA
MOROGORO
Elimu 20,000,000
3.
WILAYA
YA
ARUMERU
Ujenzi 5 5,741,660 Kilimo na
Mifugo
15.961,600
Elimu 31,000,000 5.
MANISPA
A YA
MOROGORO
-Kilimo na
mifugo
18,240,000
Kilimo na
mifugo
10,500,000 – Elimu
82,131,775
Afya 30,000,000 – Afya
21,108,967
6.
WILAYA
YA
BABATI
Ujenzi 105,500,000
–
Afya 204,270,198 7.
WILAYA
YA MOSHI
Ujenzi
25,528,356
8.
MJI WA
BABATI
Fedha ya
maendeleo
135,516,193 Afya
24,445,780
Afya 189,084,409 Maji
25,351,700
Ushuru wa
barabara
599,739,314 Elimu
131,562,780
Mfuko wa
maendeleo
ya Jamii
281,700,590
–
Mradi wa
maendeleo
ya Serikali
za Mitaa
157,587,987
–
9.
WILAYA
YA
BAGAMOYO
Kilimo na
Mfugo
78,208,219 10.
MANISPA
A YA
MOSHI
Ujenzi
28,546,400
Utawala 70,422,323
–
Ujenzi 136,207,877 11.
WILAYAKilimo na
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
118
YA MPANDA
Mifugo 60,285,080
Ujenzi 37,718,552 Afya
55,154,827
Elimu 419,158,230 Elimu
287,400,000
Maji 287,259,000
–
– 12.
WILAYA
YA
MPWAPWA
Afya na
Elimu
59,260,300
13.
WILAYA
YA
BIHARAMULO
Afya 207,273,000
–
Maji 1,063,666,0
00
–
Kilimo na
Mifugo
157,216,000 14.
WILAYA
YA
MTWA-RA
Kilimo na
mifugo
28,347,312
Maliasili 94,610,000 Mfuko wa
barabara
76,882,150
15.
WILAYA
YA
BUKOBA
Ujenzi 282,975,000 Afya
4,000,000
Elimu 526,000,000 Elimu
126,000,000
Afya 938,615,518
–
Kilimo na
Mifugo
133,241,864 16.
WILAYA
YA
MUFINDI
Kilimo na
mifugo
362,914,215
Maji 324,660,000 Elimu
39,100,000
17.
WILAYA
YA
BUKOBA
Elimu Afya
34,852,250
Ujenzi 159,200,000
–
Maji 247,575,997
–
Kilimo na
mifugo
37,900,000
–
– 18.
WILAYA
YA
MULEBA
Ujenzi
137,600,000
19.
WILAYA
YA
BUNDA
Kilimo na
mifugo
56,000,000 Elimu
514,990,000
Elimu 165,600,000 Maji
25,975,000
Afya 9,000,000 Kilimo na
Mifugo
169,399,000
Ujenzi 71,340,500 Afya
308,656,860
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
119
Maji 240,000,000
Fedha za
maendeleo
zisizotumik
a
1,100,143,244 20.
WILAYA
YA MUSOMA
Kilimo na
Mifugo
1,773,540
–
Afya
6,500,000
21.
WILAYA
YA
DODOMA
Maji 38,500,000 22.
WILAYA
YA MUSOMA
Elimu
74,652,094
Elimu 26,000,000 Afya
8,000,000
Ujenzi 5,000,000 Maji
18,000,000
23.
WILAYA
YA
DODOMA
Maji 71,000,000
–
Kilimo na
Mifugo
11,421,841 24.
WILAYA
YA
MVOMERO
Afya
192,500,511
Elimu 86,784,605 Maji
47,000,000
Utawala 5,000,000 Kilimo na
Mifugo
202,715,000
25.
WILAYA
YA HAI
TASAF 13,452,700 Ujenzi
20,704,001
Elimu 103,600,00 Elimu
25,055,682
PADEP 126,703,000 26.
WILAYA
YA MWANGA
Kilimo na
Mifugo
362,523,133
27.
WILAYA
YA
HANANG
Afya
151,000,000
Afya
143,574,000
Ujenzi 30,000,000 Ujenzi
50,962,000
28.
WILAYA
YA
HANDENI
Maji 56,589,907 Elimu
549,817,610
– Water
200,437,000
29.
IGUNGA
DC
Kilimo na
Mifugo
337,557,185 30.
WILAYA
YA
NAMTUMBO
Elimu
49,544,204
Elimu 897,481,587
–
Elimu 419,325,774 31.
WILAYA
YA
NEWA-LA
Kilimo na
mifugo
20,748,000
Kilimo na
mifugo
214,554,626 Elimu
217,700,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
120
Maji 2,224,199,682 Ujenzi
77,601,030
Utawala 452,591,785 Afya
108,000,000
32.
WILAYA
YA
IRAMBA
Elimu 80,000,000
33.WILAYA
YA
NGARA
Ujenzi
98,668,555
Kilimo na
Mifugo
119,593,000
Elimu
462,874,275
Maji 1,983,109,488
Kilimo
14,296,846
Ujenzi 147,600,000
Afya
146,494,700
–
Maji
94,091,900
34.
WILAYA
YA
IRINGA
Kilimo na
Mifugo
14,967,360
–
Elimu 28,400,000
35.WILAYA
YA
NGORONGORO
Afya
95,631,074
Afya
13,398,988Elimu
172,300,000
Mali asili 13,439,400 36.
WILAYA
YA
NJOMBE
Kilimo na
Mifugo
29,462,000
37.
WILAYA
YA
KAHAMA
Ujenzi 40,598,400 Biashara
19,728,900
38.
WILAYA
YA KARAGWE
Ujenzi 190,765,994 Elimu
114,039,350
Maji 128,000,000 Maji
327,763,960
Mali Asili 1,637,000 39.
WILAYA
YA NKASI
Elimu
27,700,000
Kilimo na
Mifugo
25,000,000 Afya
415,600,000
40.
WILAYA
YA
KARATU
Ujezi 55,741,660 Kilimo na
Mifugo
12,027,533
Elimu 31,000,000 41.
WILAYA
YA
NZEGA
Kilimo na
Mifugo
1,572,000
Kilimo na
Mifugo
10,500,000 Elimu
182,240,003
Afya 30,000,000 Maji
16,100,000
42.
WILAYA
YA
KASULU
Kilimo na
Mifugo
333,762,500
–
Elimu 635,050,000 43.
WILAYA
YA
PANGA-NI
Maji
8,386,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
121
Afya 510,993,255
Kilimo/Ujen
zi
150,422,560
Maji 142,356,000 Elimu
25,180,000
Mali Asili 27,000,000
Afya
16,300,000
45.
WILAYA
YA
KIBAHA
Kilimo na
Mifugo
280,640,750
44.WILAYA
YA
ROMBO
Afya
103,700,000
Afya 22,500,000 Ujenzi
117,179,900
–
Elimu
12,400,000
46.
MJI
KIBAHA
Elimu 184,887,720 TASAF
23,336,825
Kilimo na
Mifugo
15,048,733
–
Biashara 391,878,162 47.
WILAYA
YA
RUNGWE
Elimu
14,400,000
Maji 397,576,000 Afya
24,500,000
–
Ujenzi
254,800,000
48.
WILAYA
YA
KIBONDO
Kilimo na
Ujenzi
139,723,000
Kilimo na
Mifugo
370,299,000
Elimu 67,194,000
49.WILAYA
YA RWANGWA
Elimu
17,250,000
Maji 86,000,000
–
50.
WILAYA
YA
KIGOMA
Elimu 227,204,748
–
Kilimo na
Mifugo
149,946,590 51.
WILAYA
YA SAME
Maji
67,000,000
Afya 38,896,612 Afya
12,936,400
Ujenzi 820,354,254 Elimu
11,483,561
Maji 106,080,837 Kilimo na
Mifugo
225,100,000
52.
MANISPA
A YA
KIGOMA
Elimu 770,676,010 Ujenzi
14,440,800
Afya 67,750,100
–
Ujenzi 60,000,000
–
53.
WILAYA
YA
KILOLO
Kilimo na
Mifugo
199,456,049 54.
WILAYA
YA
SENGERETI
Kilimo na
Mifugo
116,524,440
Elimu 12,160,575 Elimu
112,060,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
122
Afya 55,573,590 Afya
293,179,466
–
Ujenzi
55,700,000
55.
WILAYA
YA
KILINDI
– – maji
2,536,853,127
56.
WILAYA
YA
KILOMBERO
Ujenzi 80,000,000 Mali Asili
11,220,000
57.
KILOSA
DC
Elimu 1,247,777,416
–
Maji 79,764,630 58.
WILAYA
YA
SHINYANGA
Kilimo/Mifu
go
90,969,000
Afya 9,025,570 Ujenzi
48,200,000
59.
WILAYA
YA KILWA
Ujenzi 171,873,173 Maji
26,000,000
CDG 282,258,994 60.
MANICIPA
A YA
SHINYANGA
Kilimo na
Mifugo
34,744,000
Elimu 156,675,140 Elimu
4,622,300
Afya 126,328,000 Ujenzi
326,186,756
61.
MANICIPA
A YA
KINONDONI
TASAF II 542,991,845
–
62.
WILAYA
YA
KISARAWE
Maji 5,000,000 63.
WILAYA
YA SIKONGE
Kilimo na
Mifugo
907,597,000
Ujenzi 54,000,000 Elimu
204,000,000
Kilimo na
Mifugo
12,031,640 LGCDG
181,272,823
64.
WILAYA
YA
KISAHAPU
Education 15,700,000 Afya
170,241,483
Afya 9,216,200 Ujenzi
146,200,000
Kilimo na
Mifugo
48,170,000 Maji
22,602,220
–
65.WILAYA
YA
SIMNAJIR
O
Ujenzi
166,248,125
66.
WILAYA
YA
KONDOA
Kilimo na
Mifugo
66,274,377 Afya
315,027,600
Elimu 246,662,000 Elimu
175,475,000
Afya
68,398,282
Maji
27,445,000
Ujenzi 41,647,500 67.
WILAYA
YA
SINGIDA
Agriculture
5,300,000
Maji
1,059,718,300 Afya
264,085,000
Maji
100,000,000
68.
KONGWA DCAfya 100,000,000
–
Kilimo na
Mifugo
37,000,000 69.
MANISPAA
YA SINGIDA
Kilimo
8,042,500
Maji 31,969,000 Elimu
5,597,660
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
123
–
Ujenzi
158,900,000
70.
WILAYA
YA
KWIMBA
Kilimo na
Mifugo
390,849,925
Maji
109,480,000
Elimu 168,000,000 Mali Asili
1,500,000
Ujenzi 204,667,258 71
WILAYA
YA
SONGEA
Kilimo na
Mifugo
105,313,500
Afya 316,917,896 Elimu
520,582,614
–
afya
88,000,000
72.
WILAYA
YA KYELA
Maji
322,101,320
–
Ujezi 231,461,563 Ujenzi
150,313,500
Elimu 23,000,000 Maji
15,875,000
73.
WILAYA
YA LINDI
Kilimo na
Mifugo
47,106,350 74
MANISP
AA YA
SONGEA
Elimu
750,010,062
–
Afya
16,463,832
75.
WILAYA
YA
LUDEWA
Kilimo na
mifugo
11,640,000 Ujenzi
133,625,500
Elimu 424,099,690 76
WILAYA
YA
SUMBA
WANGA
Afya
113,655,000
Afya 115,011,947 Ujenzi
508,198,000
ujenzi 179,571,166 Education
481,618,000
Maji 272,094,816 77
MANISP
AA YA
SUMBA
WANGA
Elimu
479,726,238
–
–
– 78
MANISP
AA YA
TABORA
Kilimo na
Mifugo
23,639,800
79.
WILAYA
YA
LIWALE
Kilimo na
mifugo
8,239,000 Elimu
101,700,000
Elimu 183,000,000 Afya
33,525,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
124
Afya 289,918,976 Ujenzi
145,763,030
Maliasili 25,988,500 Maji
13,100,000
– Mipango
Miji
63,521,500
– 80
WILAYA
YA
TABORA
Kilimona
Mifugo
804,162,174
Elimu
935,944,550
81.
WILAYA
YA MAFIA
Kilimo na
mifugo
16,207,917 Maji
80,000,000
Elimu 183,600,000 Ujenzi
33,375,429
Afya 45,814,550 Utawala
75,973,390
82.
WILAYA
YA
MANYONI
Afya 72,158,300 83
WILAYA
YA
TARIME
Kilimo na
Mifugo
5,300,000
Elimu 267,150,000 Afya
264,085,000
Maji 1,347,074,193 Maji
100,000,000
Kilimo/mifu
go
38,920,500
–
84.
WILAYA
YA
MASASI
Maji 126,789,992
–
Afya
97,200,000 85.WILAYA
YA
TUNDU
RU
Kilimo na
mifugo
129,074,621
Elimu 137,684,448 Elimu
352,536,794
– Afya
221,285,769
Ujanzi
72,958,270
86.
WILAYA
YA
MASWA
Ruzuku
isiyotumika
84,000,187 Maji
148,213,363
–
–
87.
MANISPA
A YA JIJI
LA
MBEYA
Ujenzi 328,530,000
–
– 88.
WILAYA
YA
Kilimo
580,000
89.
WILAYA
YA
MBEYA
Ujenzi 328,530,000
Elimu
881,321,070
–
Afya
37,500,000
Kilimo 98,760,389
Ujenzi
109,000,000
90.
WILAYA
YA
MBINGA
Elimu 890,322,421 91WILAYA
YA
Elimu
114,885,847
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
125
Jinsi miradi inavyosimamiwa na kutekelezwa vizuri ni
jambo muhimu kwa Serikali za Mitaa kwa sababu
wamepewa jukumu na Serikali Kuu kusimamia utekelezaji wa
miradi kwa faida ya Watanzania kwa kutumia rasilimali za umma.
Miradi ya Serikali na mipango yake inatakiwa kutekelezwa
kwa wakati kwa kutumia bajeti iliyopangwa ili kuwezesha kufikia
matarajio.
5.3 Kasoro nyingine zilizogunduliwa katika manunuzi
Tathmini iliyofanywa kuhusu taratibu za manunuzi katika
Halmashauri hazikuainisha kasoro zote zilizojitokeza katika
manunuzi yaliyofanywa na Halmashauri. Jedwali lililopo
hapa chini linaonyesha kasoro nyingine zilizogunduliwa
wakati wa ukaguzi masuala ambayo yanapaswa kutolewa
taarifa kwa mamlaka husika. Jedwali linaonyesha kwa
ufupi kasoro katika Halmashauri husika, taarifa za kina
zinapatikana katika ripoti zilizowasilishwa kwa kila
Halmashauri.
Halmashauri Kasoro katika manunuzi Kiasi (Sh.)
H/Wilaya ya
Babati
-Kasoro katika ulipiaji wa mikataba 245,837,420
H/Wilaya ya – Manunuzi bila kuzingatia bajeti 13,000,000
Hanang – Kasoro katika matumizi ya mafuta 20,784,450
Maji 123,241,133 Afya 10,000,000
Ujenzi 352,027,471 Kazi 82,046,000
Afya 97,288,089
MKURA
NGA
92.
WILAYA
YA
MBULU
Kilimo na
Mifugo
802,514,771
JUMLA 2
23620,065,552
Ujenzi 137,762,300
Elimu 495,027,882
JUMLA 1 36,454,300,356
JUMLA KUU
60,074,365,908
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
126
– Kasoro katika malipo ya ununuzi wa vifaa
vya mahabara
71,619,600
H/Manispaa
ya Ilala
– manunuzi kwa Ankara kifani 145,308,568
H/Wilaya ya
Iringa
-Kasoro katika mradi wa maji 140,815,800
– Malipo kwa wamiliki wa biashara
badala ya kampuni
19,540,000
– Matengenezo ya gari yenye shaka 5,038,600
H/Wilaya ya
Kahama
– Ukodishaji wa taxi wa mara kwa mara
Sio kuwa na maelezo
11,359,800
H/Wilaya ya
Karagwe
– Ununuzi kwa kutimia Ankara kifani 4,369,012
H/Wilaya ya
Kibondo
– Ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa kutimia
masurufu
53,278,831
H/Wilaya ya
Kilwa
– Ununuzi wa madawati ya shule yenye
kasoro
4,950,000
H/ya
Manispaa ya
Kinondoni
-Gharama za ziada za ununuzi wa tela 25
za trekta
100,000,000
H/Wilaya ya
Kisarawe
Kasoro katika ununuzi wa viti na meza 9,180,000
H/Wilaya ya -kukiukwa kwa taratibu za manunuzi 2,677,000
Kishapu -Tozo za ucheleweshwaji wa ujenzi
zisizolipwa
2,722,391
H/Wilaya ya
Kiteto
-Ununuzi wa madawa ya hospitali kutoka
kwa muuzaji asiyeidhinishwa
15,482,500
-Ununuzi wa mafuta kwa wingi wenye
kasoro
11,450,000
H/Wilaya ya
Korogwe
-Ununuzi wa vifaa vya ujenzi wenye kasoro 6,323,488
H/Mji wa
Korogwe
-Mabadiliko katika thamani ya mkataba 20,622,652
-Malipo zaidi kwa muuzaji
3,900,000
H/Wilaya ya
Masasi
-Matengenezo ya printa yenye shaka 1,220,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
127
– Ujenzi wa mradi wa umwagiliaji wenye
kasoro
62,333,810
-Matengenezo ya gari yenye kasoro
7,121,140
-Ununuzi wa vifaa usio na faida 12,920,000
-Malipo kwa wasambazaji wa chakula kwa
hospitali wenye kasoro
26,500,000
H/Wilaya ya
Mkuranga
– Matengenezo ya gari yenye kasoro 5,785,543
H/Wilaya ya
Mpanda
-Ununuzi wa gari wenye shaka 8,891,232
H/Wilaya ya
Mtwara
-Usimmamizi hafifu wa mradi 216,000,000
H/Wilaya ya
Newala
-Ununuzi wa mafuta wenye shaka 9,750,000
H/Wilaya ya
Nkasi
-Radio za upepo hazikupokelewa 4,000,000
H/Wilaya ya
Rufiji
-Taratibu za ununuzi zenye kasoro 8,629,650
H/Manispaa
Shinyanga
-Malipo kwa wzabuni wasioidhinishwa 3,141,000
-Malipo ya awali kwa ununuzi wa Pikipiki 13,536,000
Ununuzi wa mitungi ya gesi wenye shaka 2,375,000
H/Wilaya ya
Simnajiro
-Utengenezaji wa gari wenye shaka 12,694,506
H/Wilaya ya
Songea
-Ununuzi wa bidhaa wenye kasoro 40,238,400
H/Manispaa
ya Songea
-Kutozingatia taratibu za ununuzi
24,576,250
H/Wilaya ya
Tandahimba
-Ununuzi wa mitungi ya gesi yenye kasoro
-Tozo kwa ajili ucheleweshaji wa gesi
hazikulipwa
5,694,000
1,960,000
H/Wilaya ya
Ulanga
-Ununuzi wa bidhaa na huduma wenye
shaka
6,389,900
H/Wilaya ya
Kisarawe
– Ununuzi wa meza na viti wenye kasoro 9,180,000
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
128
H/Wilaya ya
Mbinga
-ununuzi kwa kutumia Ankara kifani 6,482,600
H/Wilaya ya
Misungwi
-Ununuzi wa vifaa bila kibali cha mhandisi 4,027,760
H/Wilaya ya
Sengerema
Malipo bila mkataba 3,504,400
H/Manispaa -Kutonunuliwa kwa gari la zimamoto 365,000,000
ya Singida -Ununuzi wa huduma ya tovuti isiyotumika 5,278,715
-Ununuzi wa huduma wenye kasoro
17,716,500
-Ununuzi wa mashine ya kufulia wenye
kasoro
9,390,000
H/Wilaya ya
Tunduru
-Malipo kwa Mkandarasi yenye kasoro 3,977,700
H/Wilaya ya
Mbulu
-Ununuzi wa vifaa vya ujenzi wenye kasoro 13,282,500
Jumla 1,819,856,718
5.4 Uchambuzi wa manunuzi kwa ujumla
Ununuzi katika shughuli za Serikali ni muhimu kwa
kuwezesha serikali kuleta maendeleo ya watu. Utoaji wa
huduma za afya (ununuzi, vifaa vya maabara na ujenzi wa
hospitali), usafiri na miundo mbinu kama vile barabara, viwanja
vya ndege, ujenzi wa bandari, vifaa, mitambo na vifaa vya
maofisini ni matokeo ya ununuzi. Kuhakikisha kwamba
thamani ya fedha inapatikana katika fedha zilizotengwa
kwa ajili ya manunuzi ambapo manunuzi ni sehemu kubwa katika
bajeti ya Halmashauri na pia udhaifu niliouonyesha hapo juu
na zile ambazo zimeainishwa katika ripoti ya Mamlaka ya
ununuzi wa Umma ambayo nina unga mkono ushahidi uko
wazi kwamba, juhudi zaidi zinatakiwa kutoka bungeni na
taarisisi zinazosimamia uwajibikaji.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
129
SURA YA 6
6.0 HITIMISHO NA MAPENDEKEZO
6.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo ya ripoti ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya mwaka
2005/06
Baada ya kuhitimisha ukaguzi wa Mamlaka za Halmashauri
za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2005/06, nilitoa
mapendekezo mbali mbali kwa ajili ya kuimarisha usimamizi bora
wa fedha katika Halmashauri. Nathamini juhudi kubwa za
Serikali kupitia TAMISEMI katika kushughulikia masuala
yaliyokuwa katika ripoti. Utekelezaji wake ni kama
unavyoonekana hapa chini.
Na.
Mapendekezo Utekelezaji Maoni ya
Ukaguzi
(i) Halmashauri ambayo
haijapokea fedha za
maendeleo kutokana
na kupewa hati
isiyoridhisha, hatua
za kinidhamu
zinapaswa
kuchukuliwa kwa
uongozi wa juu wa
halmashauri
Hatua za kinidhamu
zisihusu kuwahamisha
maafisa wasiotimiza
wajibu wao vizuri
kutoka Halmashauri
moja hadi nyingine
kwa sababu
watasababisha
kueneza utendaji wao
hafifu
Kwa mujibu wa ripoti ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali ya
mwaka 2005/06
hakukuwa na
Halmashauri iliyopokea
ripoti isiyoridhisha kwa
miaka miwili mfululizo.
Ripoti inaonyesha
Halmashauri mbalimbali
zilipokea hati zisizo
ridhisha kwa miaka
tofauti.
Ili kuondoa mapungufu
yalijitokeza katika ripoti
ya Mdhibiti Ofisi hii
imechukua hatua
zifuatazo
•
Serikali imetoa
miongozo yenye
kumb.Na.CA.26/307/
Ukaguzi
utafuatilia
majibu ya
TAMISEMI katika
kaguzi zijazo.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
130
01 ya 10/7/07 na
RALG/LGRP.F.20/2/1
28 ya 4/07/07
ikizitaka Halmashauri
kuzingatia utaratibu
bora katika ufungaji
wa hesabu kwa
wakati.
•
Usimamiaji wa
ufungaji wa hesabu
katika Halmashauri
122 kwa mwaka
2006/07. TAMISEMI
wametoa maelekezo
maalum kwa
Halmashauri ambazo
zimepata hati
zisizoridhisha katika
hesabu zao.
•
TAMISEMI ilisimamia
uandaaji wa Tathmini
ya uwezekano wa
Halmashauri kupata
fedha za Maendeleo
(LGCDG) iliyofanyika
katika Halmashauri
132 kwa kuziagiza
Halmashauri
zijitathmini zenyewe
kabla ya zoezi la
tathmini halisi
Kufanyika.
Waziri mwenye
Mamlaka ya Serikali
za Mitaa aliagiza
adhabu kwa kupitia
barua yenye kumb.Na.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
131
RALG/PCF/3107/100
ya 30 Julai, 2007 kwa
Wakurugenzi wa
Halmashauri 4
zilizopata hati za
ukaguzi zisizoridhisha.
(ii) Ukaguzi ilishauri
Serikali kuweka
kiwango cha chini cha
elimu cha
Waheshimiwa
Madiwani kiwe
angalau kidato cha
nne.
Mwezi Februari 2007,
TAMISEMI waliwasilisha
waraka wenye Kumb.
Na.69/2006 wa Baraza la
Mawaziri kuhusu malipo
ya Madiwani. Waraka
huu ulitoa mapendekezo
kuwa elimu ya Madiwani
angalau iwe Kidato cha
nne. Pendekezo hili
lilikataliwa na Barala za
mawaziri kwa maelezo
kuwa ilikuwa ni kinyume
na Katiba na haki za
binanadamu. Baraza la
Mawaziri lilishauri njia
mbadala zitakazo
wavutia watu wenye
elimu kugombea nafasi
za udiwani.
Kinachotakiwa kufanyika
ni kuwaelimisha wapiga
kura kuhusu majukumu
na wajibu wa madiwani
ili wakati ukifika wa
uchaguzi wa madiwani
wamchangue mtu
anayestahili. Taasisi
zisizo za kiserikali
zinaweza kutumika
kusaidia katika jambo
hili. Hii ilishafanyika
katika baadhi ya sehemu
za nchi (kama katika
mikoa ya Kilimanjaro,
Kagera na Mbeya)
Inatekelezwa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
132
ambapo kuna madiwani
wenye uwezo na elimu.
(iii) Waziri mwenye
Mamlaka na Serikali
za Mitaa alishauriwa
kuchukua hatua au
kuhuisha sheria
zinazohusu usimamizi
na uthibiti wa fedha
katika Mamlaka ya
Serikali za Mitaa.
(i) TAMISEMI waliitisha
mkutano wa
pamoja wa
kuchangia mawazo
uliochukua wiki
moja katika Hoteli
ya Mellenium
Tower. Mkutano
huu ulihudhuriwa
na Watumishi
kutoka TAMISEMI,
Ofisi ya Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali,
Wizara ya Fedha na
Mamlaka ya
Ununuzi wa Umma.
Maeneo yaliyohitaji
marekebisho katika
mfumo wa kisheria
yalitambuliwa kwa
ajili ya kuingizwa
kwenye mapitio ya
sheria ya awamu ya
pili ya mradi wa
maboresho ambao
unaanza (2008 –
2013)
(ii) Katika awamu ya
pili ya mradi wa
maboresho (2008 –
2013) Sheria
zinazosimamia
masuala ya fedha
katika Halmashauri
zitapitiwa na
kurekebishwa kama
itakavyohitajika
Inatekelezwa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
133
(iii) Waziri wa TAMISEMI
kupitia barua yenye
kumb.
CHA:3/215/01 ya
27 Novemba, 2007
ilizitaka kila
Halmashauri
kuanzisha kamati
za hesabu
(iv) Ukaguzi ilishauri
Serikali kuwa na
utaratibu wa Mlipaji
Mkuu wa Serikali na
Mhasibu Mkuu wa
Serikali kusimamia
fedha za Umma
zilizotengewa
Mamlaka za Serikali
za Mitaa bila
kulazimika kupunguza
hadhi yao na uhuru
wa kujitawala na
kujiendesha
Sheria zilizopo zinatoa
mfumo madhubuti wa
kuhakikisha kuwepo kwa
uthibiti wa rasilimali za
Serikali za Mitaa.
Katika hali ya kawaida
Mamlaka za Serikali za
Mitaa zinawajibika na
kuandaa bajeti,
kusimamia na kutolea
taarifa zinazohusu
maduhuli na matumizi
yanayotokana na bajeti
za Halmashauri. Hii
inajumuisha ruzuku kwa
matumizi ya kawaida na
maendeleo kutoka
Serikali Kuu na vyanzo
vyote vya ndani vya
maduhuli.
Halmashauri lazima
zifuate Sheria za Serikali
za Mitaa na kanuni zote
za usimamizi wa fedha
katika kupanga
utekelezaji na
Bado
haijatekelezwa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
134
usimamiaji wa matumizi.
Kulingana na Sheria za
Halmashauri na Kanuni
zake Afisa Masuuli katika
Serikali za Mitaa ni
Mkurugenzi wa
Halmshauri. Akaunti
zote za Halmashauri
lazima zikaguliwe na
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Ufuatiliaji wa pamoja
juu makisio na usimamizi
wa fedha ulifanywa kati
ya Wizara ya fedha na
TAMISEMI. Katika siku za
baadae inategemewa
kwamba wadau wengine
nao watajiunga na zoezi
hili.
Utaratibu mwingine wa
kuboresha usimamizi na
uwajibikaji katika
kusimamia fedha za
Halmashauri
utaendelezwa sambamba
na sera za Serikali za
maendeleo kwa
kushirikisha wananchi.
(v) Waziri wa TAMISEMI
alishauriwa kuwa na
kanuni za kusimamia
tozo/taratibu za
nidhamu kwa
mwenendo mbaya
katika za Serikali za
Mitaa kama Waziri wa
Fedha alivyofanya
kwa Wizara, Idara za
Serikali na Mikoa
Mapitio ya Kanuni za
Fedha na Miongozo ya
Kiuhasibu ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa
yanategemewa kufanywa
katika awamu inayofuata
ya utekelezaji wa
maboresho yaliyopangwa
kufanyika kuanzia tarehe
1 Julai, 2008.
Bado
haijatekelezwa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
135
Kanuni zilizorekebishwa
zinategemewa kuwa
tayari ifikapo Oktoba,
2008.
(vi) Waziri wa TAMISEMI
pamoja na mpango
wa marekebisho ya
Serikali za Mitaa
kushirikiana kuhuisha
Mwongozo wa
Utunzaji Hesabu wa
Mamlaka za Serikali
za Mitaa ambapo
wanatakiwa kuainisha
muundo wa aina moja
wa utoaji taarifa
unaoendana na
kanuni bora na
kukubaliana na
kanuni kubalifu za
utunzaji wa fedha.
Katika kufikia hayo,
inapendekezwa kuwa
Mhasibu Mkuu wa
Serikali ahusishwe
kwa sababu
anauzoefu wa utoaji
taarifa za fedha
katika Serikali Kuu.
Ushauri utazingatiwa
katika utekelezaji wa
awamu ya pili ya mradi
wa maboresho ya
maendeleo ya Serikali za
Mitaa.
Ushauri wa kitaalam
kutoka kwa Idara ya
Mhasibu Mkuu wa Serikali
na kutoka Bodi ya Taifa
ya Wahasibu na Wakaguzi
unazingatiwa ili
kuhakikisha kwamba
mwongozo wa uhasibu
wa Serikali za Mitaa
unafanana na kanuni
kubalifu za uhasibu.
Bado
haijatekelezwa.
(vii) Kuna haja ya kuwa na
mkutano wa pamoja
wa wakaguzi wa
Mamlaka za Serikali
za Mitaa na waweka
Hazina wa Mamlaka
za Serikali za Mitaa
kujadili maoni na
mapendekezo
Mara baada ya mkutano
kufanyika Ubungo Plaza
tarehe 29 Aprili, 2007
kati ya Mh. Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Viongozi
wote wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa,
Viongozi wote wa
Tunakubaliana na
mapendekezo
yaliyotolewa
katika malengo
ya mapendekezo
tuliyotoa.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
136
yanayotokana na
ukaguzi huu.
Mamlaka za Serikali za
Mitaa walikutana na
wakaguzi wa hesabu na
wakuu wa mikoa kujadili
mapendekezo
yaliyotolewa katika
ripoti ya ukaguzi wa
taarifa za hesabu ya
mwaka 2005/06
Mikutano zaidi kati ya
wakaguzi wa Mamlaka ya
Serikali za Mitaa na
watunza hazina wa
Halmashauri ifanyike
kadri itakavyowezekana.
Mikutano itakayokuwa na
mafanikio zaidi ni ile
itakayofanyika na
itakayowezeshwa na
wakaguzi wa Ofisi ya
Taifa ya ukaguzi walioko
mikoani, watunza hazina
wa Mamlaka ya Serikali
za Mitaa na wakaguzi wa
ndani itakayojadili
matokeo ya ukaguzi na
mapendekezo. TAMISEMI
itaandaa mikutano ya
aina hiyo Ki-mkoa ili
kujadili ripoti ya Mdhibiti
na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali za
taarifa za fedha za
Mamlaka za Serikali za
Mitaa kwa mwaka
2006/07.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
137
Mapendekezo
Majibu ya menejimenti yamezingatiwa, utekelezaji wake
utafuatiliwa wakati wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa
Maboresho (2008- 2013) katika kaguzi za baadaye.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
138
6.2 Hitimisho na Mapendekezo
Ili kuimarisha usimamizi wa fedha na uzingatiaji wa sheria
katika Halmashauri, kwa kawaida ninatoa ushauri
unaostahili ambao kama utazingatiwa utasaidia kuongeza
ufanisi katika usimamizi wa fedha. Ninazipongeza
Halmashauri zilizokuwa makini kuzingatia mapendekezo
yaliyotolewa. Hata hivyo, zipo Halmashauri nyingine
ambazo hazikuchukua hatua madhubuti katika
kushughulikia mapendekezo kama ilivyojitokeza katika
ripoti ya mwaka huu.
Ukaguzi wa mwaka huu kwa Mamlaka ya Serikali za Mitaa
umekuwa ni zoezi lenye changamoto kutokana na ukweli
kwamba majukumu ya Ofisi yangu yaliongezeka kiasi
kwamba ninahitajika kufanya ukaguzi si tu kwa taarifa za
fedha na kumbukumbu husianifu za Wizara, Wakala, Idara
zinazojitegemea na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, bali pia
ninatakiwa kufanya ukaguzi wa mazingira, ukaguzi wa
ufanisi na ukaguzi wa utambuzi.
Ili kukamilisha majukumu yaliyopo hapo juu na kuweza
kufanya kazi katika mazingira yenye changamoto hizi,
majukumu haya nimeyakubali na kuongeza uwezo wa Ofisi
yangu ili kushughulikia changamoto zinazojitokeza.
Ningependa kuwahakikishia wadau wetu kwamba Ofisi
yangu inafanya kazi kwa ukaribu na wakaguliwa na kuweza
kupokea maoni yanayofaa yanayohusu ubora wa kazi za
ukaguzi.
Hili ni toleo la tatu la ripoti za Mamlaka za Serikali za
Mitaa. Mfumo na yaliyokuwepo katika ripoti za miaka ya
nyuma umebadilika kutoka mfumo wa zamani wa kutoa
ripoti ya jumla ya Ukaguzi wa Mamlaka na kuwa na mfumo
mpya ambapo ripoti kwa kila Mamlaka hutolewa na
kuwasilishwa kwa wakaguliwa. Mkusanyiko wa masuala
muhimu yaliyoonekana katika ripoti hizo huwa ni sehemu
ya ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo hutolewa
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
139
kwa lugha ya kiingereza na Kiswahili. Ripoti zote mbili
huwasilishwa kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ambaye ataamuru ziwasilishwe katika Bunge.
Imeonekana katika ripoti hii kwamba matokeo ya ukaguzi
wa taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa
mwaka 2006/07 imeonyesha maendeleo ya kuridhisha
katika utoaji wa taarifa za fedha.
Hali ya utoaji wa taarifa za fedha katika Halmashauri
haukuwa katika kiwango kinachokubalika. Kutokana na
kuridhia moja kwa moja viwango vya kuripoti taarifa za
fedha katika Tanzania, Mamlaka za Serikali za Mitaa
zilianza kutoa taarifa zao za fedha kwa kuzingatia mfumo
huo. Hata hivyo, Ukaguzi unaona kwamba, ingawa
Mamlaka za Serikali za Mitaa zinatoa taarifa kwamba
zimezingatia matakwa ya viwango vya kimataifa vya kutoa
taarifa za fedha, upo ushahidi kwamba uzingatiaji wa
viwango hivyo umekuwa ni mdogo sana.
Kutokana na ukweli kwamba kati ya Mamlaka za Serikali za
Mitaa 124 zilizokaguliwa, Halmashauri 100 (81%) zilipata
hati zinazoridhisha na masuala ya msisitizo, ikilinganishwa
na matokeo ya mwaka 2005/06 ambapo Halmashauri 50
(40%) kati ya 124 zilizokaguliwa zilipata hati zinazoridhisha.
Manunuzi ni sehemu muhimu katika Serikali Kuu, kama
ilivyo katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Ukilinganisha na
wingi wa fedha zinazotengwa kwenye manunuzi na kiwango
cha kutozingatia sheria, ukaguzi uligundua kwamba,
Mamlaka za Serikali za Mitaa hazisimamii vyema manunuzi.
Usimamizi hafifu kwa mapana yake una maana ya kuwepo
kwa mazingira ya upotevu, ubadhirifu na utendaji
usioridhisha wa makandarasi kama ilivyobainishwa katika
ripoti hii.
Ukaguzi wa mwaka huu ulilenga katika usimamizi wa Miradi
ya maendeleo kutokana na umuhimu wake katika bajeti za
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
140
Mamlaka za serikali za Mitaa na athari zilizojitokeza ili
kuona jinsi utendaji na usimamizi bora wa mikataba
ulivyofanywa. Matokeo ya tathmini hii hayakuwa mazuri
kutokana na kiasi kikubwa cha miradi katika Halmashauri
kucheleweshwa na wakati mwingine kandarasi
kusimamishwa na Halmashauri kupata hasara.
Ili kuzuia hasara na matumizi mabaya ya rasilimali za
Halmashauri, menejimenti za Halmashauri zinawajibika
kusimamia Halmashauri kama inavyotakiwa katika sehemu
ya
ivya Memoranda ya Fedha za Halmashauri za Serikali za
Mitaa ya mwaka 1997. Ukaguzi uligundua kwamba
Halmashauri nyingi zina mfumo wa udhibiti wa ndani
usioridhisha na mara nyingi udhibiti uliopo unaathiriwa na
maamuzi ya menejimenti za Halmashauri.
Ukaguzi umegundua kushuka kwa maduhuli yatokanayo na
vyanzo vya ndani vya Halmashauri kama inavyoonyeshwa
katika jedwali hapa chini:
Mwaka Jumla ya
maduhuli toka
vyanzo vya ndani
vya Halmashauri
(Sh.)
Jumla ya ruzuku
toka serikali
/wafadhili
(Sh.)
% Jumla ya maduhuli
yatokanayo na vyanzo
vya ndani na ruzuku ya
serikali/wafadhili
(Sh.)
2005/2006 64,403,139,202 622,770,902,906 10.3
2006/2007 77,310,930,607 914,713,448,103 8.5
Uchambuzi wa takwimu katika jedwali hapo juu
unaonyesha kwamba :
(i) Kuna ongezeko la maduhuli toka vyanzo vya ndani
kutoka Sh.64,403,139,202 katika mwaka 2005/06 hadi
Sh. 77,310,930,607 katika mwaka 2006/07 ambayo ni
ongezeko la 20%.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
141
(ii) Wakati huo huo, ruzuku ya Serikali/Wafadhili
iliongezeka kutoka Sh.622,770,902,906 katika
mwaka 2005/06 hadi
Sh.914,713,448,103 katika mwaka 2006/07 ambayo ni
ongezeko la 32%.
(iii) Zaidi ya hayo, ulinganisho wa maduhuli yatokanayo
na vyanzo vya ndani na ruzuku ya Serikali/wafadhili
kwa miaka 2005/06 na 2006/07 unaonyesha kushuka
kutoka 10% hadi 8.5%.
Uchambuzi hapo juu unaonyesha utegemezi mkubwa wa
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa ruzuku ya Serikali au
wafadhili.
6.3 Mapendekezo ya Ukaguzi kwa mwaka 2006/07
Kutokana na niliyoyaeleza hapo juu yanayotokana na ripoti
ya mwaka huu, ninatoa mapendekezo yafuatayo kwa ajili ya
kuboresha usimamizi wa fedha na rasilimali nyingine za
Halmashauri:
(i) Kwa vile baadhi ya Halmashauri hazitekelezi
mapendekezo ninayoyatoa,
ninapendekeza taasisi zinazosimamia uwajibikaji
kuingilia kati na kuhakikisha kuwa Halmashauri
zinatekeleza mapendekezo yanayotolewa na
wakaguzi ili kuimarisha usimamizi wa fedha
katika mamlaka zao.
(ii) Ziwepo juhudi za kuhakikisha kuwa mfumo wa utoaji
taarifa unaeleweka vizuri na wahasibu wa
Mamlaka za Serikali za Mitaa
ili taarifa za hesabu ziandaliwe kwa kuzingatia
viwango vya kimataifa vya kutoa taarifa za fedha
(kama vile IFRS na IPSAS)
(iii) Kutozingatia sheria za manunuzi kunasababisha
upotevu, kwa hiyo
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
142
kuingilia kati kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za
Mamlaka za Serikali za Mitaa na Bunge kwa ujumla
kunahitajika kwa ajili ya kutia mkazo wa kuzingatiwa
sheria ya manunuzi ili kuwa na manunuzi yenye manufaa
na ya gharama nafuu.
(iv) Ili kuwezesha ukamilikaji wa miradi ya maendeleo
kwa wakati, ninapendekeza Halmashauri ziimarishe
usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kuchukua hatua
mahsusi za kuzingatia matakwa ya kanuni Na.123 ya
Kanuni za Manunuzi ya Umma (vifaa, kazi za ujenzi,
huduma zisizo za ushauri na kuuza mali za umma kwa
zabuni) ya 2005.
(v) Kuhusu mfumo wa usimamizi wa ndani, napendekeza
kuwa menejimenti za Halmashauri ziwe tayari kuzingatia
taratibu. Ukweli si kwamba hakuna mfumo wa udhibiti
wa ndani, bali kiwango cha uzingatiaji ni kidogo na
kutofuatwa na menejimenti kunafanya mfumo
wa udhibiti wa ndani usiwe na maana. Kwa ajili hii,
ninapenda kusisitiza umuhimu wa nafasi ya vitengo vya
ukaguzi wa ndani kuwa mwangalizi wa mifumo ya
udhibiti wa ndani. Ili kuviwezesha vitengo vya ukaguzi
wa ndani kutimiza majukumu yake ya kusimamia
utendaji katika Halmashauri iwemo bajeti, uhasibu na
mchakato wa usimamiaji wa rasilimali kwa kuzingatia
kanuni na maagizo, ni muhimu kwa kitengo cha
ukaguzi wa ndani kiwe na watumishi walio na elimu na sifa
zinazofaa. Ni muhimu pia kwamba watumishi hao
wapewe mafunzo ya mara kwa mara katika sehemu
zao za kazi ili kuongeza maarifa na ujuzi. Zaidi
ya hayo kamati za ukaguzi wa hesabu ni muhimu katika
kuhakikisha kwamba matokeo ya ukaguzi
yatolewayo na wakaguzi wa ndani na wa nje
yanashughulikiwa na mapendekezo yao kutekelezwa
kwa wakati.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
143
(vi) Kuzuia hasara ni kubainisha, kutathmini na udhibiti;
hii inakubalika kuwa sehemu muhimu ya mfumo wa
udhibiti ndani na kanuni zake. Kwa kuangalia
hali ya mtawanyiko wa Kijiografia, ukubwa na madaraka
kupelekwa kwenye Halmashauri pia mtawanyiko wa
shughuli za Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo ni
kukusanya kodi na usimamizi wa uchumi ni muhimu
kwa Halmashauri kubainisha na kuwa na
tathmini endelevu na mipango ya kuzuia hasara.
Kutokuwepo mipango ya kuzuia hasara kunaweza
kudhoofisha muundo mzima wa udhibiti wa ndani
unaopendekeza kwamba Mamlaka za Serikali za
Mitaa zinapaswa kubuni na kuanzisha mfumo
unaotosheleza wa kuzuia hasara, kuainisha hasara,
uchambuzi wa madhara yake na pia udhibiti
wake kwa ajili ya ufuatiliaji na uzuiaji wa hasara hizi.
Halmashauri zinaweza pia kuangalia jinsi ya kutumia
utaalam katika programu za kupunguza hasara.
(vii) Ninapendekeza kwa menejimenti za Mamlaka za
Serikali za Mitaa kujumuisha vyanzo vya maduhuli
vilivyomo na vyanzo vipya kwa madhumuni ya kuimarisha
mfumo wa fedha ulio endelevu.
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
144
Kiambatisho (1)
(1) ORODHA YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
ZILIZOKAGULIWA
KWA MWAKA WA FEDHA ULIOISHIA TAREHE
30/06/2007
MKOA
HALMASHAURI
MKOA
HALMASHAURI
MKOA
HALMASHAURI
H/
MANISPAA
YA ARUSHA
H/
MANISPAA
YA MUSOMA
H/
MANISPAA YA
SINGIDA
H/WILAYA YA
ARUMERU
H/WILAYA YA
BUNDA
H/WILAYA YA
IRAMBA
H/WILAYA YA
MONDULI
H/WILAYA YA
MUSOMA
H/WILAYA YA
SINGIDA
H/WILAYA YA
NGORONGORO
H/WILAYA YA
SERENGETI
SINGIDA
H/WILAYA YA
ARUSHA
MANYONI
WILAYA YA
KARATU
MUSOMA
H/WILAYA YA
TARIME
H/
MANISPAA YA
TABORA
H/MJI KIBAHA
H/
JIJI LA
MBEYA
H/WILAYA YA
IGUNGA
H/WILAYA YA
BAGAMOYO
H/WILAYA YA
CHUNYA
H/WILAYA YA
NZEGA
H/WILAYA YA
MAFIA
H/WILAYA YA
ILEJE
H/WILAYA
TABORA
H/WILAYA YA
KISARAWE
H/WILAYA YA
KYELA
H/WILAYA YA
URAMBO
H/WILAYA YA
KIBAHA
H/WILAYA YA
MBEYA
TABORA
H/WILAYA YA
SIKONGE
H/WILAYA YA
RUFIJI
H/WILAYA YA
MBOZI
H/
JIJI LA
TANGA
MKOA
WA
PWANI
H/WILAYA YA
MKURANGA
H/WILAYA YA
RUNGWE
MJI WA
KOROGWE
H/
MANISPAA
YA DODOMA
MBEYA
H/WILAYA YA
MBARALI
H/WILAYA YA
MUHEZA
H/WILAYA YA
DODOMA
H/
MANISPAA
YA
MOROGORO
H/WILAYA YA
PANGANI
H/WILAYA YA
KONDOA
H/WILAYA YA
MOROGORO
H/WILAYA YA
HANDENI
H/WILAYA YA
MPWAPWA
H/WILAYA YA
KILOSA
H/WILAYA YA
KOROGWE
H/MJI KONDOA
H/WILAYA
KILOMBERO
H/WILAYA YA
LUSHOTO
DODOMA
H/WILAYA YA
KONGWA DC
H/WILAYA
ULANGA
TANGA
H/WILAYA YA
KILINDI DC
H/MANISPAA
YA IRINGA
MOROG
ORO
H/WILAYA YA
MVOMERO
H/
MANISIPAA YA
BUKOBA
IRINGA
H/WILAYA YA
H/
MANISPAA
KAGERA
H/WILAYA YA YA
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
145
IRINGA
YA MTWARAKARAGWE
H/WILAYA YA
MUFINDI
H/WILAYA YA
MTWARA
H/WILAYA YA
BIHARAMULO
H/WILAYA YA
NJOMBE
H/WILAYA YA
NEWALA
H/WILAYA YA
MULEBA
H/WILAYA YA
LUDEWA
H/WILAYA YA
MASASI
H/WILAYA YA
BUKOBA
H/WILAYA YA
MAKETE
H/WILAYA YA
TANDAHI-MBA
H/WILAYA YA
NGARA
H/WILAYA YA
KILOLO
MTWARA
H/MJI WA
MASASI
H/
JIJI LA
D’SALAAM
H/
MANISIPAA
YA
KIGOMA/UJIJI
H/
JIJI LA
MWANZA
H/MANISIPAA YA
ILALA
H/WILAYA YA
KIGOMA
H/WILAYA YA
MWANZA
H/MANISPAA YA
KINONDONI
H/WILAYA YA
KASULU
H/WILAYA YA
UKEREWE
D’SALAAM
H/MANISPAA YA
TEMEKE
KIGOMA
H/WILAYA YA
KIBONDO
H/WILAYA YA
SENGEREMA
H/
MANISPAA YA
SUMBAWANGA
H/
MANISIPAA
YA MOSHI
H/WILAYA YA
GEITA
H/WILAYA YA
MPANDA
H/WILAYA HAI
H/WILAYA YA
KWIMBA
H/WILAYA YA
SUMBAWANGA
H/WILAYA YA
MOSHI
H/WILAYA YA
MAGU
RUKWA
H/WILAYA YA
NKASI
H/WILAYA YA
ROMBO
MWANZA
H/WILAYA YA
MISUNGWI
H/
MJI WA
BABATI
H/WILAYA
SAME
H/
MANISPAA
YA SONGEA
H/WILAYA YA
BABATI
k’ NJARO
H/WILAYA YA
MWANGA
RUVUMA
H/WILAYA YA
SONGEA
MANYARA
H/WILAYA YA
HANANG
H/
MJI WA
LINDI
H/WILAYA YA
TUNDURU
H/WILAYA YA
KITETO
H/WILAYA YA
NACHINGWEA
H/WILAYA YA
MBINGA
H/WILAYA YA
MBULU
H/WILAYA YA
KILWA
H/WILAYA YA
NAMTUMBO
H/WILAYA YA
SIMA-NJIRO
H/WILAYA YA
LIWALE
H/
MANISPAA
YA
SHINYANGA
H/WILAYA YA
LINDI
H/WILAYA YA
SHINYANGA
LINDI
H/WILAYA YA
RWANGWA
SHINYANGA
H/WILAYA YA
MASWA
_________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa 2006/2007
146
H/WILAYA YA
BARIADI
H/WILAYA YA
KAHAMA
H/WILAYA YA
MEATU
H/WILAYA YA
BUKOMBE
H/WILAYA YA
KISHAPU
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007113
Kiambatisho.2
ORODHA YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA AINA YA HATI
ZILIZOTOLEWA KWA MIAKA MIWILI 2005/2006 NA 2006/2007
Na Jina la Halmashauri Aina ya hati
2005/2006 2006/2007
1
Halmashauri ya Wilaya
Arumeru
yenye shaka Inayoridhisha
2
Halmashauri ya Manispaa
Arusha
yenye shaka Inayoridhisha
3
Halmashauri ya Wilaya
Karatu
inayoridhisha Inayoridhisha
4
Halmashauri ya Wilaya
Monduli
yenye shaka Inayoridhisha
5
Halmashauri ya Wilaya
Ngorongoro
yenye shaka Inayoridhisha
6
Halmashauri ya Wilaya
Bagamoyo
yenye shaka Inayoridhisha
7
Halmashauri ya Wilaya
Kibaha
yenye shaka Inayoridhisha
8
Halmashauri ya Mji Kibahainayoridhisha Inayoridhisha
9
Halmashauri ya Wilaya
Kisarawe
inayoridhisha Inayoridhisha
10
Halmashauri ya Wilaya
Mafia
inayoridhisha Inayoridhisha
11
Halmashauri ya Wilaya
Mkuranga
yenye shaka Yenye shaka
12
Halmashauri ya Wilaya
Rufiji/Utete
yenye shaka inayoridhisha
13
Halmashauri ya Jiji la Dar
es Salaam
yenye shaka Inayoridhisha
14
Halmashauri ya Manispaa
Ilala
inayoridhisha Yenye shaka
15
Halmashauri ya Manispaa
Kinondoni
yenye shaka Inayoridhisha
16
Halmashauri ya Manispaa
Temeke
yenyeshaka inayoridhisha
17
Halmashaur ya Wilaya
Dodoma
inayoridhisha Inayoridhisha
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007114
18
Halmashauri ya Manispaa
Dodoma
yenye shaka Inayoridhisha
19
Halmashauri ya Wilaya
Kondoa
yenye shaka Inayoridhisha
20
Halmashauri ya Mji Kondoainayoridhisha Inayoridhisha
21
Halmashauri ya Wilaya
Kongwa
yenye shaka Inayoridhisha
22
Halmashauri ya Wilaya
Mpwapwa
yenye shaka Inayoridhisha
23
Halmashauri ya Wilaya
Iringa
yenye shaka Inayoridhisha
24
Halmashauri ya Manispaa
Iringa
yenye shaka Inayoridhisha
25
Halmashauri ya Wilaya
Ludewa
yenye shaka Yenye shaka
26
Halmashauri ya Wilaya
Makete
yenye shaka Inayoridhisha
27
Halimashauri ya Wilaya
Mufindi
inayoridhisha Inayoridhisha
28
Halmashauri ya Wilaya
Njombe
yenye shaka Inayoridhisha
29
Halmashauri ya Wilaya
Kilolo
inayoridhisha Inayoridhisha
30
Halmashauri ya Wilaya
Biharamulo
yenye shaka Inayoridhisha
31
Halmashauri ya Wilaya
Bukoba
inayoridhisha Inayoridhisha
32
Halmashauri ya Mji Bukobayenye shaka Inayoridhisha
33
Halmashauri ya Wilaya
Karagwe
yenye shaka Inayoridhisha
34
Halmashauri ya Wilaya
Muleba
inayoridhisha Inayoridhisha
35
Halmashauri ya Wilaya
Ngara
inayoridhisha Inayoridhisha
36
Hallmashauri ya Wilaya
Kasulu
inayoridhisha Inayoridhisha
37
Halmashauri ya Wilaya
Kibondo
inayoridhisha Inayoridhisha
38
Halmshauri ya Wilaya
Kigoma
isiyoridhisha Inayoridhisha
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007115
39
Halmashauri ya Mji
Kigoma/Ujiji
yenyeshaka Isiyoridhisha
40
Halmashauri ya Wilaya Haiinayoridhisha Inayoridhisha
41
Halmashauri ya Wilaya
Moshi
yenye shaka Inayoridhisha
42
Halmashauri ya Manispaa
Moshi
yenye shaka Inayoridhisha
43
Halmashaui ya Wilaya
Mwanga
yenye shaka Inayoridhisha
44
Halmashauri ya Wilaya
Rombo
inayoridhisha Inayoridhisha
45
Halmashauri ya Wilaya
Same
inayoridhisha Inayoridhisha
46
Halmashauri ya Wilaya
Kilwa
yenye shaka Inayoridhisha
47
Halmashauri ya Wilaya
Lindi
yenye shaka Yenye shaka
48
Halmsahauri ya Mji Lindiyenye shaka Inayoridhisha
49
Halmashauri ya Wilaya
Liwale
yenye shaka Yenye shaka
50
Halmashauri ya Wilaya
Nachingwea
yenye shaka Yenye shaka
51
Halmashauri ya Wilaya
Ruangwa
yenye shaka inayoridhisha
52
Halmshauri ya Wilaya
Babati
yenye shaka Yenye shaka
53
Halmashuri ya Wilaya
Hanang’
yenye shaka Inayoridhisha
54
Halmashauri ya Wilaya
Kiteto
inayoridhisha inayoridhisha
55
Halmashauri ya Wilaya
Mbulu
inayoridhisha Inayoridhisha
56
Halmashauri ya Wilaya
Simanjiro
yenye shaka Yenyeshaka
57
Halmashauri ya Mji Babatiinayoridhisha Inayoridhisha
58
Halmashauri ya Mji Bundayenye shaka Inayoridhisha
59
Halmashauri ya Wilayayenye shaka Inayoridhisha
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007116
Musoma
60
Halmashauri ya Manispaa
Musoma
yenye shaka inayoridhisha
61
Halmashauri ya Wilaya
Serengeti
yenye shaka Inayoridhisha
62
Halmahauri ya Wilaya
Tarime
yenye shaka inayoridhisha
63
Halmashauri ya Wilaya
Chunya
inayoridhisha Yenye shaka
64
Halmshauri ya Wilaya Ilejeyenye shaka Yenye shaka
65
Halmashauri ya Wilaya
Kyela
yenye shaka Inayoridhisha
66
Halmashauri ya Wilaya
Mbarali
yenye shaka Yenyeshaka
67
Halmashauri ya Wilaya
Mbeya
yenye shaka Yenye shaka
68
Halmashauri ya jiji la
Mbeya
isiyoridhisha Inayoridhisha
69
Halmashauri ya Wilaya
Mbozi
yenye shaka Yenye shaka
70
Halmashauri ya Wilaya
Rungwe
inayoridhisha Inayoridhisha
71
Halmashauri ya Wilaya
Kilombero
inayoridhisha Inayoridhisha
72
Halmashauri ya Wilaya
Kilosa
inayoridhisha Inayoridhisha
73
halmashauri ya Wilaya
Morogoro
inayoridhisha Inayoridhisha
74
Halmashauri ya Manispaa
Morogoro
inayoridhisha Inayoridhisha
75
Halmashauri ya Wilaya
Ulanga
inayoridhisha Inayoridisha
76
Halmashauri ya Wilaya
Mvomero
inayoridhisha inayoridhisha
77
Halmashauri ya Wilaya
Masasi
yenye shaka Inayoridhisha
78
Halmashauri ya Wilaya
Mtwara
yenye shaka Inayoridhisha
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007117
79
Halmashauri ya Mji
Mtwara/Mikindani
inayoridhisha Yenyeshaka
80
Halmashauri ya Wilaya
Newala
inayoridhsiha Inayoridhisha
81
Halmashauri ya Wilaya
Tandahimba
Inanayoridhisha Yenye shaka
82
Mamlaka ya Mji Masasiyenye shaka Yenye shaka
83
Halmashauri ya Wilaya
Geita
yenye shaka Inayoridhisha
84
Halmashauri ya Wilaya
Kwimba
inayoridhisha Inayoridhisha
85
Halmashauri ya Wilaya
Magu
yenye shaka Inaayoridhisha
86
Misungwi Halmashauri ya
Wilaya
yenye shaka Inayoridhisha
87
Halmashauri ya Mji
Mwanza
yenye shaka Inayoridhisha
88
Halmashauri ya Wilaya
Sengerema
inayoridhisha Inayoridhisha
89
Halmashauri ya Wilaya
Ukerewe
yenye shaka Inayoridhisha
90
Halmashauri ya Wilaya
Mpanda
yenye shaka Inayoridhisha
91
Halmashauri ya Wilaya
Nkasi
inayoridhsiha Inayoridhisha
92
Halmashuri ya Wilaya
Sumbawanga
inayoridhisha inayoridhisha
93
Halmashauri ya Mji
Sumbawanga
isiyoridhisha inayoridhisha
94
Halmashauri ya Wilaya
Mbinga
inayoridhsiha Inayoridhisha
95
Halmashauri ya Manipsaa
Songea
inayoridhisha Inayoridhisha
96
Halmashauri ya Wilaya
Songea
inayoridhisha Inayoridhisha
97
Halmashauri ya Wilaya
Tunduru
yenye shaks Inayoridhisha
98
Halmashauri ya Wilaya
Namtumbo
inayoridhisha inayoridha
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007118
99
Halmashauri ya Wilaya
Bariadi
inayoridhisha Inayoridhisha
100 Halmashauri ya Wilaya
Bukombe
yenye shaka Inayoridhisha
101 Halmshauri ya Wilaya
Kahama
yenye shaka Yenye shaka
102 Halmashauri ya Wilaya
Maswa
inayoridhisha Yenye shaka
103 Halmashauri ya Wilaya
Meatu
inayoridhiiha Inayoridhisha
104 Halmashauri ya Wilaya
Shinyanga
inayoridhisha Yenye shaka
105 Halmashauri ya Manispaa
Shinyanga
yenye shaka Inayoridhisha
106
Halmashauri ya Wilaya
Kishapu
yenye shaka Yenye shaka
Mdhibiti na M kaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Maml aka za Serikali za Mitaa
2006/2007119
107
Halmashauri ya Wilaya Irambainayoridhisha Inayoridhisha
108
Halmashauri ya Wilaya Manyoniyenye shaka Inayoridhisha
109
Halmashauri ya Wilaya Singidayenye shaka Inayorithisha
110
Halmashauri ya manispaa
Singida
inayoridhisha Inayoridhisha
111
Halmashauri ya Wilaya Handeniinayoridhisha Inayoridhisha
112
Halmashauri ya Wilaya Korogweyenye shaka Inayoridhisha
113
Mamlaka ya Mji Korogweyenye shaka Inayoridhisha
114
Halmashauri ya Wilaya Lushotoinayoridhisha Inayoridhisha
115
Halmashauri ya Wilaya Muhezainayoridhisha Inayoridhisha
116
Halmashauri ya Wilaya Panganiinayoridhisha Inayoridhisha
117
Halmashauri ya Jiji Tangainayoridhisha Inayoridhisha
118
Halmashauri ya Wilaya Kilindiinayoridhisha Yenye shaka
119
Halmashauri ya Wilaya Igungaisiyoridhisha Inayoridhisha
120
Halmashauri ya Wilaya Nzegayenye shaka Yenye shaka
121
Halmashauri ya Wilaya Sikongeyenye shaka Yenye shaka
122
Halmashauri ya Wilaya Taborayenye shaka Inayoridhisha
123
Halmashauri ya Manispaa
Tabora
yenye shaka Inayoridhisha
124
Halmashauri ya Wilaya Uramboyenye shaka Yenye shaka
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
118
Kimbatisho 3
Maduhuli ya Halmashauri kulinganisha na Ruzuku za Serikali/Wahisani
Halmashauri Jumla ya maduhuli toka vyanzo vya ndani
Jumla ya maduhuli toka Serikali
/wafadhili
2005/2006 2006/2007 2005/2006 2006/2007
Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru 261,503,605 341,740,950 9,614,235,001 10,151,701,214
Halmashauri ya Wilaya ya Manispaa ya
Arusha
1,819,927,884 2,318,216,857 5,797,159,980 8,303,789,255
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 141,240,050 247,080,304 3,614,315,834 5,467,407,544
Halmashauri ya Wilaya ya Monduli 500,030,081 206,651,974 4,662,574,256 7,877,234,730
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro 246,006,280 353,960,233 2,446,467,866 2,959,128,149
Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 202,022,588 212,765,549 5,492,716,312 9,170,371,914
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 93,965,086 155,831,262 2,201,629,875 3,690,702,577
Halmashauri ya Mji Kibaha 383,889,133 331,362,842 3,097,313,090 4,645,875,329
Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 155,108,623 264,144,329 3,252,091,73 4,225,599,897
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 136,516,372 172,975,729 1,754,642,777 3,253,558,255
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 480,098,652 302,200,000 3,116,426,559 5,207,554,324
Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji/Utete 664,888,653 319,588,321 5,798,678,401 6,166,343,725
Halmashauri ya Jiji Dar es Salaam 3,826,227,406 3,771,932,881 699,334,039 699,334,039
Halimashauri ya Manispaa ya Ilala 6,916,130,759 8,014,194,430 12,838,290,969 16,673,536,056
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni
l
5,642,258,155 7,925,456,550 13,961,326,767 24,287,306,111
Halmashauri ya Manispaa yaTemeke 3,891,025,346 5,139,541,244 13,958,538,379 20,524,379,537
Halmashauri ya Wilaya ya Dodoma 117,277,673 98,316,742 6,367,498,246 9,240,905,177
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
119
Halmashauri ya Mancipa ya Dodoma 693,931,666 455,891,742 8,710,906,180 9,314,307,510
Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 63,075,654 49,777,874 8,710,906,180 8,700,644,953
Halmashauri ya Mji Kondoa 55,444,622 44,010,624 17,074,544 43,377,407
Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 222,640,169 88,063,783 3,517,379,770 7,840,607,074
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa 304,540,897 104,731,903 5,624,748,027 5,525,604,165
Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 204,904,514 615,815,403 10,092,578,053 11,859,633,768
Halmashauri ya Wilaya ya Manispaa ya
Iringa
295,729,795 463,065,765 2,895,994,674 3,732,809,032
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 58,388,920 50,776,420 4,349,646,536 6,716,384,599
Halmashauri ya Wilaya ya Makete 164,808,932 240,154,000 2,492,811,963 4,586,160,071
Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 656,576,012 863,166,332 6,038,791,920 9,110,048,560
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe 242,398,773 1,397,449,851 7,335,179,069 8,960,072,340
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 54,167,730 117,108,559 1,368,122,590 7,027,318,601
Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 246,433,577 791,113,313 6,602,115,009 11,099,978,564
Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 386,173,231 645,031,948 7,316,643,235 10,474,574,529
Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba 245,390,980 330,368,211 2,336,117,730 2,894,805,858
Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe 620,509,073 985,279,613 7,722,643,481 12,057,387,505
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 285,649,851 785,024,014 7,262,624,684 10,857,089,840
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 124,368,870 80,759,291 6,645,631,922 7,345,728,284
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 143,332,192 231,810,910 613,959,648 14,786,260,003
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 86,330,443 137,756,230 7,938,918,663 3,331,341,758
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 162,168,186 573,243,634 7,842,312,163 9,763,457,429
Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma 278,465,225 345,422,799 1,785,953,345 4,027,806,341
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
120
Halmashauri ya Wilaya ya Hai 271,873,238 294,943,471 7,550,125,048 10,844,066,388
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 443,876,354 173,436,474 8,812,183,813 14,239,633,374
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 1,086,178,814 1,093,726,088 3,420,975,181 6,035,720,888
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 124,186,127 271,832,863 3,401,184,607 6,146,820,717
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 138,763,247 273,209,394 5,866,006,343 6,241,849,439
Halmashauri ya Wilaya ya Same 293,049,761 50,358,227 5,257,598,041 8,214,843,809
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 159,927,446 241,820,250 3,886,980,641 5,176,207,989
Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 61,218,197 272,694,375 4,263,607,795 7,318,680,443
Halmashauri ya Mji wa Lindi 125,966,792 151,363,482 1,308,508,406 1,258,411,807
Halmashauri ya Wilaya ya Liwale 212,158,883, 295,602,935 2,320,444,709 3,309,596,315
Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea 264,463,861 383,444,260 3,899,476,665 5,587,113,454
Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 176,642,414 262,022,211 3,989,771,016 3,915,915,068
Halmashauri ya Wilaya ya Babati 199,978,512 224,158,024 59,23,596,817 5,276,399,939
Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ 102,300,724 233,486,994 3,969,779,978 6,194,625,409
Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 103,994,121 248,576,307 2,405,953,693 3,991,711,648
Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu 108,364,063 98,818,308 6,165,562,699 7,676,540,754
Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro 211,778,314 234,458,254 3,480,334,271 3,851,345,312
Halmashauri ya Mjii wa Babati 46,261,501 1,377,563,230 936,673,923 3,331,341,758
Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 901,721,887 188,366,715 4,957,817,782 7,047,888,252
Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 414,817,265 378,301,860 6,195,293,206 7,651,581,411
Halmashauri ya Halmashauri ya
Musoma
388,800,991 415,601,086 2,926,569,662 2,991,508,901
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti 362,839,371 211,002,813 3,689,685,111 8,253,274,664
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
121
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 302,838,947 472,278,797 8,792,421,322 10,053,136,980
Halmashauri ya Wilaya ya Chunya 562,365,519 780,549,911 322,933,169 5,919,587,691
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 50,599,749 200,709,748 2,666,611,841 3,774,870,552
Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 308,448,565 643,284,754 4,503,708,823 6,567,956,668
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 183,392,242 1,215,918,058 3,429,594,362 5,049,526,153
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 196,251,792 347,954,937 6,407,711,188 8,344,395,477
Halmashauri ya Jiji la Mbeya 1,261,282,139 1,606,115,914 4,780,791,895 10,036,741,561
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi 521,424,428 1,076,328,324 8,349,554,159 10,036,741,561
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 398,956,880 462,404,819 7,081,991,864 10,066,592,496
Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero 473,718,943 449,513,851 7,045,362,568 9,275,851,963
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 697,887,171 201,791,265 10,491,554,604 12,266,464,722
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro 335,793,958 89,236,608 7,597,868,178 9,110,498,435
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 793,057,587 1,177,159,802 6,358,439,148 8,026,669,507
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 203,399,585 255,828,570 3,708,139,076 6,028,989,257
Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero 459,485,320 179,312,842 749,904,677 5,261,400,828
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 1,721,550,075 1,353,430,162 7,814,313,510 10,471,650,640
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 152,886,296 158,198,817 3,364,595,880 4,137,516,054
Halmashauri ya Mji ya
Mtwara/Mikindani
170,682,945 235,142,657 2,019,822,165 2,830,426,264
Halmashauri ya Wilaya ya Newala 496,599,328 303,069,093 4,370,982,404 5,940,906,985
Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba 454,036,940 552,839,720 3,760,102,691 4,820,205,350
Halmashauri ya Mji wa Masasi 18,985,644 46,420,760 0 12,500,000
Halmashauri ya Wilaya ya Geita 346,395,746 729,087,153 11,553,066,159 17,261,226,382
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
122
Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 472,950,491 416,460,823 5,994,777,146 8,080,774,594
Halmashauri ya Wilaya ya Magu 414,541,435 227,500,672 5,172,374,698 9,033,101,920
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi 272,387,757 56,657,276 5,172,262,328 7,784,221,231
Halmashauri ya Jiji la Mwanza 2,241,856,708 3,626,560,036 11,982,659,308 12,269,423,132
Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema 723,356,108 962,119,734 8,218,606,326 9,310,071,046
Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 391,995,010 436,209,081 3,766,080,652 6,498,555,653
Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 610,576,920 551,247,779 5,852,563,114 9,907,465,423
Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 117,025,637 132,644,532 3,896,042,874 6,238,138,526
Halmashauri ya Wilaya ya Halmashauri
ya Wilaya ya Sumbawanga
403,369,758 216,816,008 6,958,990,985 10,381,012,407
Halmashauri ya Manisipaa ya
Sumbawanga
229,021,281 195,056,967 3,454,838,985 3,660,372,398
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 824,877,081 826,280,560 7,559,233,949 11,559,559,445
Halmashauri ya Wilaya ya Songea 262,405,160 87,750,373 5,772,040,043 6,005,101,592
Halmashauri ya Manispaa ya Songea 190,925,161 263,058,000 2,992,753,677 4,492,061,352
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 211,827,389 264,454,562 4,914,424,060 6,407,999,059
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo 24,727,783 134,760,052 1,709,203,008 5,764,919,392
Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 657,636,925 229,740,953 10,017,886,289 11,851,471,626
Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 308,856,298 445,125,798 4,289,000,448 6,582,510,935
Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 870,713,074 1,025,287,893 8,187,594,557 13,258,911,362
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa 637,122,326 503,818,843 5,487,997,797 7,606,812,208
Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 570,850,250 424,528 5,587,915,828 5,486,260,388
Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 833,693,890 158,884,710 11,862,885,154 9,082,271,502
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
123
Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 756,184,583 849,456,951 2,243,053,162 3,135,825,269
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 158,874,049 310,039,132 1,142,066,745 5,064,032,574
Halmashauri ya Wilaya ya Iramba 60,083,420 97,817,968 8,972,899,512 10,221,772,351
Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni 158,379,185 89,476,603 5,034,867,410 9,585,249,034
Halmashauri ya Wilaya ya Singida 51,367,994 89,476,603 9,393,488,920 9,585,249,034
Halmashauri ya Manispaa ya Singida 144,265,592 177,801,636 3,112,104,931 4,303,027,091
Halmashauri ya Wilaya ya Handeni 90,332,381 128,389,837 3,555,692,868 7,119,076
Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe 330,440,412 121,807,508 3,992,711,240 8,756,778,938
Mamlaka ya Mji wa Korogwe 172,410,816 75,616,286 1,149,164,132 2,323,789,791
Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto 406,169,590 200,251,221 7,077,008 11,122,878,769
Halmashauri ya Wilaya ya Muheza 177,607,604 204,085,963 5,688,666,589 8,120,403,519
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani 94,743,133 114,153,150 1,908,198,598 3,670,371,241
Halmashauri ya Wilaya Jiji la Tanga 1,183,633,026 1,614,681,338 5,056,866,623 5,825,707,710
Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi 57,869,258 83,900,982 636,557,277 4,172,935,377
Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 539,639,964 250,641,574 3,920,954,797 8,462,995,660
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega 165,174,409 507,415,495 4,736,462,824 8,613,203,551
Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 286,451,264 305,114,179 2,463,379,328 5,065,077,060
Halmashauri ya Wilaya ya Tabora 325,538,205 368,453,208 5,039,710,629 7,712,779,133
Halmashauri ya Manispaa ya Tabora 263,333,441 363,512,074 3,843,108,133 6,532,634,330
Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 539,335,977 1,114,833,120 5,507,530,944 8,721,544,115
Jumla Kuu 64,403,139,202 77,310,930,607 622,797,751,946 914,713,448,10
3
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
124
Kiambatisho 4
Matokeo ya fedha iliyotolewa na kutumika 2006/2007
Mapato yakilinganisha na matumizi ya Halmashauri
Mamlaka za Serikali za Mitaa zipatazo ishirini na mbili (22) zilitumia
kiasi cha Sh.158,479,117,510 ikilinganishwa na mapato halisi ya
Sh.152,798,363,495 hivyo kusababisha matumizi ya ziada yanayofikia
Sh.5,680,754,015
Na.
Jina la Halmashauri
Mapato (Sh) Matumizi (sh) Ziada yamatumizi (Sh)
1
Mamlaka ya Mji Kibaha 4,977,238,172 5,069,012,921 -91,774,749
2
Halmashauri ya Wilaya ya
Mkuranga
5,510,304,650 5,786,405,014 -276,100,364
3
Halmashauri ya Jiji la Dar es
Salaam
4,471,266,920 4,489,003,164 -17,736,244
4
Halmashauri ya Wilaya ya
Mpwapwa
6,321,937,867 6,461,993,282 -140,055,415
5
Halmashauri ya Wilaya ya
Karagwe
11,713,559,157 12,376,613,137 -663,053,980
6
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 11,642,113,854 12,098,930,721 -456,816,867
7
Halmashauri ya Manispaa ya
Kigoma/Ujiji
4,473,229,140 4,563,993,580 -90,764,440
8
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 6,601,907,018 6,995,493,151 -393,586,133
9
Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 7,680,831,518 7,773,204,633 -92,373,115
10
Halmashauri ya Wilaya ya Babati 5,746,469,663 6,161,506,235 -415,036,572
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
125
11
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 4,295,714,872 4,358,406,270 -62,691,398
12
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 12,468,255,987 12,681,523,396 -213,267,409
13
Halmashauri ya Wilaya ya Singida 9,674,725,637 9,872,404,291 -197,678,654
14
Halmashauri ya Wilaya ya
Tunduru
7,144,380,325 7,529,914,247 -385,533,922
15
Halmashauri ya Manispaa ya
Shinyanga
3,985,282,221 4,028,668,135 -43,385,914
16
Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 11,631,894,493 12,131,894,493 -500,000,000
17
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukombe
7,025,637,733 7,150,532,073 -124,894,340
18
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa 8,110,631,052 8,675,057,234 -564,426,182
19
Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 5,910,788,791 6,311,333,786 -400,544,995
20
Halmashauri ya Wilaya ya
Hanang’
3,855,429,365 3,956,255,531 -100,826,166
21
Halmashauri ya Wilaya ya
Ngorongoro
3,313,088,982 3,717,389,911 -404,300,929
22
Halmashauri ya Wilaya ya Newala 6,243,676,078 6,289,582,305 -45,906,227
Jumla kuu
152,798,363,495 158,479,117,510 -5,680,754,015___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
126
Halmashauri mia moja (100) zilitumia kiasi cha Sh. 687,168,956,557 huku mapato ya
Halmashauri hizo yakiwa Sh.786,851,991,645 hivyo kuwa na fedha zisizotumika kufikia
Sh.99,683,035,088
Na
Jina la Halmashauri
Jumla ya mapato(Sh)
Jumla ya
matumizi (sh)
Fedha isiyotumika
(Sh.)
2.
Halmashauri ya Manispaa ya
Arusha
10,622,006,112 8,579,479,358 2,042,526,754
3.
Halmashauri ya Wilaya ya
Karatu
5,714,487,848 5,299,694,462 414,793,386
4.
Halmashauri ya Wilaya ya
Monduli
8,083,886,704 7,764,487,202 319,399,502
5.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bagamoyo
9,383,137,463 8,279,443,385 1,103,694,078
6.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kibaha
3,846,533,839 3,210,851,770 635,682,069
7.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kisarawe
4,635,848,226 4,543,040,533 92,807,693
8.
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 3,426,533,984 3,113,383,766 313,150,218
9.
Halmashauri ya Wilaya ya
Rufiji/Utete
6,485,932,046 6,205,015,506 280,916,540
10.
Halmashauri ya Manispaa ya
Ilala
24,687,730,488 24,008,939 24,663,721,549
11.
Halmashauri ya Manispaa ya
Kinondoni
32,212,762,662 31,564,883,652 647,879,010
12.
Halmashauri ya manispaa ya 25,663,920,781 24,035,787,370 1,628,133,411
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
127
Temeke
13.
Halmashauri ya Wilaya ya
Dodoma
9,339,266,919 9,220,638,777 118,628,142
14.
Halmashauri ya Wilaya ya
Dodoma
9,314,307,510 9,266,789,592 47,517,918
15.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kondoa
8,750,422,827 7,445,614,642 1,304,808,185
16.
Halmashauri ya Mji wa Kondoa 87,388,231 73,408,644 13,979,587
17.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kongwa
7,928,670,857 7,065,714,308 862,956,549
18.
Halmashauri ya Manispaa ya
Iringa
4,186,871,797 4,180,902,668 5,969,129
19.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ludewa
6,767,125,019 6,278,833,921 488,291,098
20.
Halmashauri ya Wilaya ya
Makete
4,826,314,072 3,946,021,702 880,292,370
21.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mufindi
9,973,214,892 9,339,821,954 633,392,938
22.
Halmashauri ya Wilaya ya
Njombe
9,842,317,592 9,727,266,010 115,051,582
23.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 7,144,427,160 5,176,773,410 1,967,653,750
24.
Halmashauri ya Wilaya ya
Biharamulo
11,099,978,564 8,600,673,897 2,499,304,667
25.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukoba
11,119,606,477 10,650,759,200 468,847,277
26.
Halmashauri ya Manispaa ya
Bukoba
3,225,174,070 2,984,613,445 240,560,625
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
128
27.
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 7,426,487,575 7,075,756,801 350,730,774
28.
Halmashauri ya Jiji la Mwanza 15,895,983,168 15,885,555,576 10,427,592
29.
Halmashauri ya Wilaya ya
Misungwi
7,840,878,506 7,082,231,522 758,646,984
30.
Halmashauri ya Wilaya ya Geita 17,990,313,535 16,716,698,445 1,273,615,090
31.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sengerema
10,272,190,780 8,948,436,435 1,323,754,345
32.
Halmashauri ya Wilaya ya Magu 9,260,602,592 9,252,509,695 8,092,897
33.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ukerewe
6,934,764,734 5,765,038,428 1,169,726,306
34.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kwimba
8,497,235,417 8,040,717,241 456,518,176
35.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu
14,786,260,003 13,771,015,374 1,015,244,629
36.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kibondo
10,646,139,670 8,888,511,091 1,757,628,579
37.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kigoma
10,336,701,063 7,764,474,738 2,572,226,325
38.
Halmashauri ya Wilaya ya Hai 11,138,949,862 10,866,225,564 272,724,298
39.
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 14,736,142,749 13,863,341,066 872,801,683
40.
Halmashauri ya Manispaa ya
Moshi
7,129,446,976 6,233,677,592 895,769,384
41.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mwanga
6,418,653,580 6,011,497,206 407,156,374
42.
Halmashauri ya Wilaya ya Same 8,724,202,036 8,377,537,913 346,664,123
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
129
43.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 5,418,028,243 5,143,479,309 274,548,934
44.
Halmashauri ya Wilaya ya
Liwale
3,605,199,250 3,377,967,355 227,231,895
45.
Halmashauri ya Wilaya ya
Nachingwea
5,970,557,714 5,016,252,250 954,305,464
46.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ruangwa
4,316,931,679 3,915,775,445 401,156,234
47.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kiteto
4,246,287,955 3,956,255,531 290,032,424
48.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbulu
7,874,177,370 7,430,536,943 443,640,427
49.
Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro
4,085,803,566 3,280,241,812 805,561,754
50.
Halmashauri ya Mji wa Babati 3,469,094,988 2,517,803,947 951,291,041
51.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bunda
7,236,254,967 6,956,715,924 279,539,043
52.
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma
8,029,883,271 7,660,885,170 368,998,101
53.
Halmashauri ya Manispaa ya
Musoma
3,467,048,787 3,359,989,025 107,059,762
54.
Halmashauri ya Wilaya ya
Serengeti
8,464,277,477 7,110,970,539 1,353,306,938
55.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tarime
10,936,831,506 10,761,616,475 175,215,031
56.
Halmashauri ya Manispaa ya
Sumbawanga
3,855,429,365 3,492,331,524 363,097,841
57.
Halmashauri ya Wilaya ya 10,645,649,816 9,691,646,481 954,003,335
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
130
Sumbawanga
58.
Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 6,370,783,058 5,039,228,935 1,331,554,123
59.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mpanda
10,458,713,142 9,287,851,901 1,170,861,241
60.
Halmashauri ya Jiji la Tanga 7,440,389,048 7,054,333,975 386,055,073
61.
Halmashauri ya Wilaya ya
Pangani
3,784,524,391 3,210,846,419 573,677,972
62.
Halmashauri ya Mji wa Korogwe 2,399,406,076 1,887,801,912 511,604,164
63.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilindi
4,256,836,360 3,362,481 4,253,473,879
64.
Halmashauri ya Wilaya ya
Handeni
7,247,465,895 7,148,059,253 99,406,642
65.
Halmashauri ya Wilaya ya
Muheza
8,324,489,483 7,457,456,171 867,033,312
66.
Halmashauri ya Wilaya ya
Lushoto
11,323,129,990 10,653,630,255 669,499,735
67.
Halmashauri ya Manispaa ya
Tabora
6,896,146,404 6,547,093,833 349,052,571
68.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tabora
8,081,240,342 7,062,438,959 1,018,801,383
69.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sikonge
5,501,182,039 4,049,730,549 1,451,451,490
70.
Halmashauri ya Wilaya ya
Nzega
8,613,203,551 8,549,536,873 63,666,678
71.
Halmashauri ya Wilaya ya
Urambo
9,836,377,235 9,266,704,536 569,672,699
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
131
72.
Halmashauri ya Wilaya ya
Igunga
8,713,637,234 7,958,549,238 755,087,996
73.
Halmashauri ya Jiji la Mbeya 11,029,805,575 9,477,146,380 1,552,659,195
74.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbarali
6,265,444,211 5,286,015,238 979,428,973
75.
Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 7,211,741,422 6,643,183,707 568,557,715
76.
Halmashauri ya Wilaya ya
Chunya
6,700,137,602 6,612,083,614 88,053,988
77.
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi 14,681,470,651 14,672,507,818 8,962,833
78.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbeya
8,692,350,415 8,280,048,542 412,301,873
79.
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 3,774,870,552 3,686,629,210 88,241,342
80.
Halmashauri ya Wilaya ya
Rungwe
10,528,997,315 9,829,865,125 699,132,190
81.
Halmashauri ya Manispaa ya
Mtwara
3,065,568,921 2,946,640,705 118,928,216
82.
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi
12,489,179,585 11,404,340,942 1,084,838,643
83.
Halmashaurinya Mji Masasi wa
Msasi
58,920,760 52,589,531 6,331,229
84.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tandahimba
5,373,045,070 4,974,785,142 398,259,928
85.
Halmashauri ya Manispaa ya
Morogoro
9,203,829,310 8,850,648,288 353,181,022
86.
Halmashauri ya Wilaya ya
Morogoro
9,199,735,043 8,514,085,727 685,649,316
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
132
87.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilombero
9,507,284,013 7,533,084,585 1,974,199,428
88.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ulanga
6,284,817,827 4,923,261,191 1,361,556,636
89.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mvomero
5,440,713,670 5,198,964,465 241,749,205
90.
Halmashauri ya Wilaya ya
Namtumbo
6,150,321,658 5,500,896,278 649,425,380
91.
Halmashauri ya Manispaa ya
Songea
4,755,119,352 4,737,938,098 17,181,254
92.
Halmashauri ya Wilaya ya
Songea
6,092,851,965 5,549,112,312 543,739,653
93.
Halmashauri ya Wilaya ya
Shinyanga
9,241,156,212 6,300,653,187 2,940,503,025
94.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kishapu
5,374,071,707 5,440,941 5,368,630,766
95.
Halmashauri ya Wilaya ya
Manyoni
5,983,312,052 5,383,665,677 599,646,375
96
Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 12,475,448,169 10,835,144,034 1,640,307,137
Jumla Kuu 786,851,991,645 687,168,956,557 99,683,035,088
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
133
KIAMBATISHO 5
MAMBO YASIYOTEKELEZWA KATIKA TAARIFA ZA MALINGANISHO YA BENKI
JINA LA HALMASHAURI
MAINGIZO KATIKA
DAFTARI LA FEDHA
YASIYO PELEKWA
BENKI
HUNDI
ZISIZOWASILISHWA
BENKI
FEDHA ISIYOFIKA
BENKI
MALIPO KATIKA
BENKI YASIYO KATIKA
DAFTARI LA FEDHA
MAIGIZO KATIKA
BENKI YASIYO
KATIKA DAFTARI
LA FEDHA
Halmashauri ya Wilaya
ya Mbulu
5,000,000 0 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Rufiji
0 5,956,346 13,772,935 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Kisarawe
1,516,438 8,988,256 0 0 845,000
Halmashauri ya Manispaa
ya Kinondoni
0 36,585,465 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Dodoma
30,000,000 159,387,050 20,000,000 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Njombe
0 7,260,792 0 0 0
Halmashauri ya Manispaa
ya Kigoma Ujiji
0 0 0 97,430,865 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Ruangwa
865,531 0 0 0 0
Halmashauri ya Manispaa
ya Musoma
0 14,826,58 0 0 334,440
Halmashauri ya Wilaya
ya Musoma
631,543 100,020,466 0 56,460,342 12,115,923
Halmashauri ya Wilaya
ya Bunda
0 78,167,176 13,385,937 4,625,250 0
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
134
Halmashauri ya Wilaya
ya Tarime
1,780,645 99,885,645 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Serengeti
13,596,160 276,101,136 0 0 61,588,228
Halmashauri ya Jiji la
Mbeya
7,380,100 0 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Mbeya
0 1,918,881 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Chunya
4,195,031 0 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Rungwe
0 16,027,381 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Mbozi
10,337,833 113,227,960 0 370,000 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Mbarali
10,420,900 46,887,064 0 4,611,500 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Morogoro
0 0 1,045,793.40 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Mtwara
914,227 1,179,412 0 230,000 644,255
Halmashauri ya Wilaya
ya Magu
6,514,600 463,044,144 0 1,271,821 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Geita
0 21,488,358 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Sengereme
26,921,150 125,382,328 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Ukerewe
21,488,358 0 0 0 0
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
135
Halmashauri ya Wilaya
ya Missungwi
0 18,887,293 4,662,625 0 0
Halmashauri ya Wilaya
Kwimba
0 92,399,833 0 0 0
Halmashauri ya Manispaa
ya Shinyanga
27,265,454 163,837,366 3,723,421 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Meatu
0 20,381,049 1,587,700 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Bukombe
0 38,571,678 0 0 0
Halmashauri ya
Manispaa ya Singida
27,265,454 83,556,677 0 0 404,634,000
Halmashauri ya Wilaya
ya Ikonge
3,498,017 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Urambo
2,764,576 26,409,835 0 2,794,904 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Simanjiro
0 89,521,728 22,018,345 0 0
Halmashauri ya Mji wa
Kigoma Ujiji/
0 0 0 97,430,865 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Babati
0 197,656,886 10,051,923 1,415,068 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Bukoba
0 4,090,689 804,600 0 0
Halmashauri ya Manispaa
ya Bukoba
0 2,872,552 6,500,924 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Biharamulo
103,835 90,665,325 0 0 0
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
136
Halmashauri ya Wilaya
ya Masasi
55,710,265 73,119,238 0 3,530,371 2,583,000
Halmashauri ya Wilaya
ya Igunga
6,878,441 39,654,441 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Bariadi
0 239,053,978 113,265,087 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Kishapu
38,120,500 17,226,875 6,101,657 2,780,600 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Iramba
0 0 7,664,534 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Maswa
0 221,063,143 25,601,189 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Kahama
0 64,372,068 0 0 0
Halmashauri ya Wilaya
ya Namtumbo
92,549,882 497,202,112 0 87,558,953 6,879,425
Halmashauri ya Manispaa
ya Ilala
0 1,368,178,821 1,027,601,263 0 0
Jumla Sh.
392,220,923 4,913,727,464 1,277,787,933 360,510,539
489,624,27
1
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
137
KIAMBATISHO 6
MAMBO YASIYOTEKELEZWA YANAYOHUSU UKAGUZI ULIOPITA
1
Halmashauri ya Wilaya ya Babati 180,647,250
2
Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 55,118,480
3
Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 23,544,500
4
Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 55,071,239
5
Halmashauri ya Wilaya ya Chunya 19,600,411
6
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 51,600,994
7
Halmashauri ya Wilaya ya Dodoma 95,365,645
8
Halmashauri ya Wilaya ya Geita 12,162,241
9
Halmashauri ya Wilaya ya Hai 46,578,687
10
Halmashauri ya Wilaya ya Hanang 23,723,180
11
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa 6,462,815
12
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 65,628,704
13
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 57,968,050
14
Halmashauri ya Mji Kibaha 375,103,167
15
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 82,032,650
16
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 103,492,600
17
Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji 16,250,000
18
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 43,987,128
19
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni 460,963,409
20
Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 95,393,780
21
Halmashauri ya Mji wa Kondoa 6,511,790
22
Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe 32,080,800
23
Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 170,004,267
24
Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 9,687,450
25
Halmashauri ya Mji wa Lindi 54,474,119
26
Halmashauri ya Wilaya ya Liwale 60,674,846
27
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 820,000
28
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 38,877,390
29
Halmashauri ya Wilaya ya Magu 10,268,000
30
Halmashauri ya Wilaya ya Makete 22,021,687
31
Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni 11,491,100
32
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 42,081,100
33
Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 16,378,836
34
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi 354,292,802
35
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 46,578,689
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
138
36
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 9,840,931
37
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa 189,806,426
38
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 254,720,297
39
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mikindani 11,822,320
40
Halmashauri ya Wilaya ya Muheza 23,206,481
41
Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 463,074,416
42
Halmashauri ya Jiji la Mwanza 379,440,200
43
Halmashauri ya Wilaya ya Newala 82,845,734
44
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe 43,911,340
45
Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 20,256,600
46
Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 17,931,274
47
Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 13,805,000
48
Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro 129,781,708
49
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 113,141,606
50
Halmashauri ya Wilaya ya Tabora 20,135,000
51
Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba 30,984,756
52
Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 91,923,936
Jumla 4,643,565,831
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
139
KIAMBATISHO 7
WADAIWA WASIOLIPA
Na Jina la Halmashauri Kiasi
(Sh)
Asilimia
1.
Halmashauri ya Wilaya ya
Arumeru
91,356,211 0.02
2.
Halmashauri ya Manispaa ya
Arusha
89,216,397 0.02
3.
Halmashauri ya Wilaya ya
Babati
73,350,869 0.01
4.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bagamoyo
340,630,509 0.06
5.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bariadi
241,298,869 0.04
6.
Halmashauri ya Wilaya ya
Biharamulo
35,805,666 0.01
7.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukoba
45,167,794 0.01
8.
Halmashauri ya Manispaa ya
Bukoba
4,936,450 0.00
9.
Halmashauri ya Wilaya ya
Chunya
7,800,950 0.00
10.
Halmashauri ya Jiji la Dar es
Salaam
146,156,808 0.03
11.
Halmashauri ya Wilaya ya Geita 107,445,280 0.02
12.
Halmashauri ya Wilaya ya
Handeni
59,835,772 0.01
13.
Halmashauri ya Wilaya ya
Igunga
84,402,523 0.02
14.
Halmashauri ya Manispaa ya
Ilala
24,588,056 0.00
15.
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 11,458,570 0.00
16.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kahama
12,459,370 0.00
17.
Halmashauri ya Wilaya ya
Karatu
15,085,286 0.00
18.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kibondo
167,731,734 0.03
19.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kigoma
224,813,664 0.04
20.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilolo
4,884,950 0.00
21.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilombero
18,295,975 0.00
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
140
22.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilosa
77,378,153 0.01
23.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 61,592,235 0.01
24.
Halmashauri ya Manispaa ya
Kinondoni Municipal
227,188,437 0.04
25.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kisarawe
20,584,508 0.00
26.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kongwa
38,304,752 0.01
27.
Halmashauri ya Wilaya ya
Korogwe
226,552,212 0.04
28.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kwimba
56,644,909 0.01
29.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kyela
8,351,600 0.00
30.
Halmashauri ya Wilaya ya
Liwale
13,038,000 0.00
31.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ludewa
13,594,780 0.00
32.
Halmashauri ya Wilaya ya
Lushoto
11,806,169 0.00
33.
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 31,296,126 0.01
34.
Halmashauri ya Wilaya ya Magu 25,371,546 0.00
35.
Halmashauri ya Wilaya ya
Makete
5,603,866 0.00
36.
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi
444,356,418 0.08
37.
Halmashauri ya Wilaya ya
Maswa
60,675,261 0.01
38.
Halmashauri ya Jiji la Mbeya 41,751,719 0.01
39.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbeya
7,322,500 0.00
40.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbozi
144,447,189 0.03
41.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbulu
12,731,788 0.00
42.
Halmashauri ya Wilaya ya
Meatu
132,630,700 0.02
43.
Halmashauri ya Wilaya ya
Misungwi
7,400,888 0.00
44.
Halmashauri ya Wilaya ya
Monduli
36,326,915 0.01
45.
Halmashauri ya Wilaya ya
Morogoro
94,569,357 0.02
46.
Halmashauri ya Manispaa ya
Morogoro
18,856,535 0.00
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
141
47.
Halmashauri ya Wilaya ya
Moshi
6,204,803 0.00
48.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mtwara
203,482,746 0.04
49.
Halmashauri ya Manispaa ya
Mtwara Mikindani
45,337,620 0.01
50.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mufindi
115,663,014 0.02
51.
Halmashauri ya Wilaya ya
Muheza
137,984,906 0.02
52.
Halmashauri ya Wilaya ya
Muleba
22,013,844 0.00
53.
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma
11,885,848 0.00
54.
Halmashauri ya Manispaa ya
Musoma
32,506,523 0.01
55.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mvomero
181,469,480 0.03
56.
Halmashauri ya Jiji la
Mwanza
33,447,092 0.01
57.
Halmashauri ya Wilaya ya
Namtumbo
162,808,040 0.03
58.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ngorongoro
55,965,930 0.01
59.
Halmashauri ya Wilaya ya
Pangani
7,577,130 0.00
60.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ruangwa
72,043,820 0.01
61.
Halmashauri ya Wilaya ya
Rufiji
6,752,300 0.00
62.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sengerema
49,957,302 0.01
63.
Halmashauri ya Wilaya ya
Serengeti
61,884,663 0.01
64.
Halmashauri ya Wilaya ya
Shinyanga
22,886,882 0.00
65.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sikonge
39,346,880 0.01
66.
Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro
118,044,784 0.02
67.
Halmashauri ya Wilaya ya
Singida
9,725,700 0.00
68.
Halmashauri ya Manispaa ya
Singida
41,044,944 0.01
69.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sumbawanga
32,640,324 0.01
70.
Halmashauri ya Wilaya ya 30,910,652 0.01
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
142
Tabora
71.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tandahimba
40,942,439 0.01
72.
Halmashauri ya Jiji la Tanga 196,849,378 0.04
73.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tarime
51,107,500 0.01
74.
Halmashauri ya Manispaa ya
Temeke
144,962,536 0.03
75.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ulanga
11,287,257 0.00
76.
Halmashauri ya Wilaya ya
Urambo
42,177,452 0.01
Jumla
5,614,010,05
5
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
143
KIAMBATISHO 8
WADAI WASIOLIPWA
Na
Jina la Halmashauri
Kiasi(Shs.) Asilimia
1.
Halmashauri ya Wilaya ya
Arumeru
205,851,013 0.03
2.
Halmashauri ya Mji wa
Babati
298,717,255 0.04
3.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bagamoyo
203,022,316 0.03
4.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bariadi
172,937,497 0.02
5.
Halmashauri ya Wilaya ya
Biharamulo
14,810,985 0.00
6.
Halmashauri ya Manispaa
ya
Bukoba
10,604,000 0.00
7.
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukombe
99,523,054 0.01
8.
Halmashauri ya Wilaya ya
Chunya
35,977,010 0.00
9.
Halmashauri ya Wilaya ya
Geita
27,001,240 0.00
10.
Halmashauri ya Wilaya ya
Handeni
42,501,305 0.01
11.
Halmashauri ya Wilaya ya
Igunga
27,232,698 0.00
12.
Halmashauri ya
Manispaa ya Ilala
59,715,852 0.01
13.
Halmashauri ya Wilaya ya
Iringa
54,211,586 0.01
14.
Halmashauri ya Manispaa
ya
Iringa
55,933,186 0.01
15.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kahama
43,412,222 0.01
16.
Halmashauri ya Wilaya ya
Karatu
15,085,286 0.00
17.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kibondo
83,597,590 0.01
18.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kigoma
96,656,257 0.01
19.
Hhalmashauri ya Manispaa
Kigoma Ujiji
363,055,047 0.05
20.
Halmashauri ya Wilaya ya 22,982,937 0.00
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
144
Kilolo
21.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilombero
27,201,363 0.00
22.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilosa
32,499,992 0.00
23.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilwa
143,536,382 0.02
24.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kongwa
173,944,347 0.02
25.
Halmshauri ya Mji wa
Korogwe
95,429,799 0.01
26.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kwimba
112,835,542 0.02
27.
Halmashauri ya Wilaya ya
Kyela
45,028,145 0.01
28.
Halmashauri ya Mji wa
Lindi
54,474,119 0.01
29.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ludewa
6,318,779 0.00
30.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mafia
18,072,263 0.00
31.
Halmashauri ya Wilaya ya
Magu
92,156,516 0.01
32.
Halmashauri ya Wilaya ya
Makete
139,592,579 0.02
33.
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi
6,578,623 0.00
34.
Halmashauri ya Wilaya ya
Maswa
40,741,497 0.01
35.
Halmashauri ya jiji la
Mbeya
210,192,092 0.03
36.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbeya
3,351,570 0.00
37.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbulu
71,484,963 0.01
38.
Halmashauri ya Wilaya ya
Meatu
185,346,548 0.03
39.
Halmashauri ya Wilaya ya
Misungwi
81,043,668 0.01
40.
Halmashauri ya Wilaya ya
Morogoro
355,924,490 0.05
41.
Halmashauri ya
Manispaa ya Morogoro
46,820,800 0.01
42.
Halmashauri ya Wilaya ya
Moshi
15,868,574 0.00
43.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mounduli
14,283,227 0.00
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
145
44.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mtwara
137,289,230 0.02
45.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mufindi
63,258,592 0.01
46.
Halmashauri ya Wilaya ya
Muheza
63,301,529 0.01
47.
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma
57,625,093 0.01
48.
Halmashauri ya
Manispaa ya Musoma
43,180,078 0.01
49.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mvomero
9,015,245 0.00
50.
Halmashauri ya Wilaya ya
Mwanga
18,629,493 0.00
51.
Halmashauri ya Jiji la
Mwanza
96,034,250 0.01
52.
Halmashauri ya Wilaya ya
Namtumbo
287,767,952 0.04
53.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ngorongoro
99,079,795 0.01
54.
Halmashauri ya Wilaya ya
Njombe
13,110,290 0.00
55.
Halmashauri ya Wilaya ya
Nkasi
48,863,822 0.01
56.
Halmashauri ya Wilaya ya
Ruangwa
73,963,249 0.01
57.
Halmashauri ya Wilaya ya
Rufiji
6,651,000 0.00
58.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sengerema
197,044,173 0.03
59.
Halmashauri ya Wilaya ya
Serengeti
134,575,648 0.02
60.
Halmashauri ya Wilaya ya
Sikonge
65,768,585 0.01
61.
Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro
132,027,424 0.02
62.
Halmashauri ya Wilaya ya
Singida
11,912,335 0.00
63.
Halmashauri ya manispaa
ya Sumbwanga
116,168,598 0.02
64.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tabora
174,613,123 0.02
65.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tarime
218,120,555 0.03
66.
Halmashauri ya
Manispaa ya Temeke
213,506,063 0.03
67.
Halmashauri ya Wilaya ya 169,761,646 0.02
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
146
Ulanga
68.
Halmashauri ya Wilaya ya
Urambo
45,277,296 0.01
Jumla 6,402,099,278
KIAMBATISHO 9
MASURUFU YASIYOREJESHWA
Jina la Halmashauri Kiasi kinachodaiwa
(Sh.)
Halmashauri ya Wilaya ya
Arumeru 193,481,652
Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 4,820,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Babati 41,855,256
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukombe 5,428,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Ileje 1,426,500
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilwa 58,528,040
Halmashauri ya Wilaya ya
Kwimba 29,309,205
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi 121,416,500
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbeya 14,608,835
Halmashauri ya Wilaya ya
Morogoro 1,528,300
Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara/
Mikindani
8,163,817
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma 29,673,969
Halmashauri ya Wilaya ya
Nkasi 9,558,969
Halmashauri ya Wilaya ya
Ruangwa 10,132,442
Halmashauri ya Wilaya ya
Shinyanga 4,300,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro 26,055,500
Halmashauri ya Wilaya ya
Tarime 26,428,110
Jumla 586,715,095
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
147
KIAMBATISHO 10
VITABU VYA STAKABADHI VILIVYOKOSEKANA
Na Jina la Halmashauri Idadi ya vitabu vya
stakabadhi
1.
Halmashauri ya Wilaya ya
Arumeru
18
2.
Halmashauri ya Wilaya ya
Nzega
1
3.
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi
2
4.
Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro
4
5.
Halmashauri ya Wilaya ya
Tandahimba
956
6.
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma
1
7.
Halmashauri ya Wilaya ya
Morogoro
7
8.
Halmashauri ya Wilaya ya
Urambo
7
Jumla 996
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
148
KIAMBATISHO 11
MALIPO YENYE NYARAKA PUNGUFU
Jina la Halmashauri Kiasi
(Sh.)
Halmashauri ya Wilaya ya
Arumeru 77,173,583
Halmashauri ya Wilaya ya
Bariadi 11,709,907
Halmashauri ya Wilaya ya
Bukombe 3,736,850
Halmashauri ya Wilaya ya
Bunda 3,000,000
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 12,686,110
Halmashauri ya Wilaya ya
Hanang’ 33,095,400
Halmashauri ya Wilaya ya
Igunga 3,237,275
Halmashauri ya Wilaya ya I
leje 20,000,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Kibondo 23,479,100
Halmashauri ya Manispaa ya
Kigoma Ujiji 9,760,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Kilwa 3,824,000
Halmashauri ya Manispaa ya
Kinondoni 29,717,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Kiteto 18,534,820
Halmashauri ya Wilaya ya
Korogwe 32,080,800
Halmashauri ya Wilaya ya
Lindil 70,666,189
Halmashauri ya Wilaya ya
Lushoto 11,798,878
Halmashauri ya Wilaya ya
Manyoni 53,709,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Masasi 18,354,275
Halmashauri ya Wilaya ya
Mbeya 1,597,500
Halmashauri ya Wilaya ya
Mkuranga 12,907,143
Halmashauri ya Wilaya ya
Muheza 20,445,523
Halmashauri ya Wilaya ya
Musoma 18,000,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Mwanga 54,146,325
Halmashauri ya Wilaya ya
Nachingwea 5,703,946
Halmashauri ya Wilaya ya
Nkasi 203,373,576
Halmashauri ya Wilaya ya
Nzega 23,297,561
Halmashauri ya Wilaya ya
Ruangwa 7,761,000
___________________________________________________________________________________________________________
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ripoti ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
2006/2007
149
Halmashauri ya Wilaya ya
Sengerema 12,076,604
Halmashauri ya Wilaya ya
Shinyanga 7,264,422
Halmashauri ya Wilaya ya
Tandahimba 62,633,475
Halmashauri ya Wilaya ya
Tarime 6,838,000
Halmashauri ya Wilaya ya
Urambo 22,482,900
Jumla 895,091,162